Serikali yasitisha Ujenzi wa Bandari ya Bagamoyo. Kuimarisha Bandari za Mtwara, Dar

Serikali yasitisha Ujenzi wa Bandari ya Bagamoyo. Kuimarisha Bandari za Mtwara, Dar

Status
Not open for further replies.
...sasa mjadala ungekuwa hapo kamanda! ni upuuzi nadhani! kenya wamewezaje gharamia mradi "LLSSET'...tunaona aibu kufanya kama wao, lkn tukiboresha zaidi?!
Mi naona hiyo ndo issue maana hakuna anayekataa bandari. Suala ni kwamba tunafaika vip nayo? Uwepo wa bandari ya kisasa Bagamoyo utachukua wateja wa bandari zetu nyingine. Ukizingatia tunategemea kunufaika baada ya miaka 50 basi itakuwa imekula kwetu. Bado naamini tukiwa na mipango ya muda mrefu tunaweza kujenga wenyewe kuliko mkataba wa aina hii.
 
The Construction of the 10 billion (about Sh22 trillion) Bagamoyo Port has been suspended, The Citizen has learnt. The government wants to focus instead, on improving the capacity, performance and efficiency of the Mtwara and Dar es Salaam ports.

The Minister for Works, Transport and Communications, Prof. Makame Mbarawa, confirmed yesterday that the construction of what would be the largest port in Africa has been suspended, not shelved to pave way for upgrading berths 13 and 14 as well as developing the Mtwara Port depending on the availability of Funds. The activities would take years to complete, the minister said because the process has to start from finding funding.


Source: THE CITIZEN
View attachment 315504
Naona mmeanza kumchimba mzee wa msoga
 
Habar

Habari ina ukweli kabisa, soma The Citizen, huwa gazeti hili hawaongei mambo ya mitaani.
Serikali Awamu ya Nne inaelekea ilitumia vigezo visivyoeleweka vyema katika sekta nzima ya usafirishaji, hususan bandari.
Bagamoyo haina hata reli ya kuunga bandarini, jipu hilo!
Kwani mzee wa tezi dume kawakosea nini jamani?
 
Naona the CITIZEN na Mwananchi wanaendelea na kazi yao ya kueneza Propaganda za wakikuyu kutoka mount Kenya., very low from Kenya. Folks so afraid of Bagamoyo Port, they try everything to inflame everyone. This Mbarawa chap should take a lesson or two about how to respond to such reporters. The best answer to them should be wait for official release and NO comment.

Now that, it's clear the port is proceeding where are the PORT was useless and Magufuli is the savior for shelving it chaps?
 
...aaah..! kamanda wangu taratibu bwana! ujue tuhuma zisizothibitika ni majungu...lol....na majungu sio tu ni sehemu ufisadi, ni majipu yanayotuumiza pia...! salute kamanda wangu.. pamoja!
nchi hii ni zaidi ya uijuavyo.

by the way mikataba ya hiyo bandari ya bagamoyo umewahi kuiona?
 
Naona the CITIZEN na Mwananchi wanaendelea na kazi yao ya kueneza Propaganda za wakikuyu kutoka mount Kenya., very low from Kenya. Folks so afraid of Bagamoyo Port, they try everything to inflame everyone. This Mbarawa chap should take a lesson or two about how to respond to such reporters. The best answer to them should be wait for official release and NO comment.

Now that, it's clear the port is proceeding where are the PORT was useless and Magufuli is the savior for shelving it chaps?

Mkuu, Mbaya zaidi hizo fedha za ukararabati bado hawajazipata, Professor mzima anakimbilia kusimamisha mradi wa Bagamoyo hovyo kabisa DRC ni Tembo aliyenona kuiacha mikononi mwa Wakikuyu na Watutsi ni ujinga mkubwa.
 
Bandari tulizonazo alishindwa kuzisimamia zimekutwa na madudu kama si wadudu halafa mtu yule yule aliyeshindwa kusimamia Bandari ya Dar anataka kuijenga bandari nyingine Bagamoyo ni uwendawazimu..................

Nami nimeshangaa kusikia muda huu taarifa ya habari chanell ten waziri wa miundo mbinu akikanusha habari hizi nzuri na za kishujaa kuwa sio za kweli ujenzi wa hiyo bandari ya Bagamoyo upo pale pale.Nimechukia karibu nipasuke kuwa Magufuli wetu ametishwa na nani wakati uamuzi wa kusimamisha ujenzi huu ambao ungekuwa wa manufaa kwa nchi hii. Unajua wataalamu wa nchini hapa na wale wa kimataifa baada ya uchunguzi wao walisema bandari hiyo manufaa yake yangeanza kuonekana baada ya miaka 25 au zaidi. Walishauri ziboreshwe bandari za Dar,Tanga na Mtwara haswa kina cha bandari ya Dar na miundo mbinu kama reli na barabara. HAPA KAZI TU inaanza kupoteza mvuto.
 
Inasikitisha sana UKAWA wameingizwa chaka na Citizen wanajadili porojo.
 
Jinga Kubwa = Chief Mangungo..Ahsanteni kwa kunielewa.
 
Lakini mbona mpaka sasa hii habari haijotoka rasmi - ni gazeti moja ambalo lina ulakini mkumbwa ndio liletoa hii habari.
 
Kwanza nashukuru sana prof kukanusha uvumi huu, na ingelikuwa ni mshangao mkubwa sana duniani kote kuachana na the first ever project like this in Tanzania na Africa nzima. Binafsi nashauri serikali iendelee na programme zake za ujenzi wa bandari Tanga na mtwara, pia to upgrade bandari ya Dar ili kuongeza capacity. Ndg zangu watanzania, tanzania ya sasa inahitaji longterm/plan ya zaidi ya miaka 50 iyajo, Dar es salaam popilation inaongezeka, after 50 yrs to come, dar pekee itakuwa na watu karibu au zaidi ya mil 10, hivyo bandari ya Dar itaweza kuhudumia watu wa dar , pwani na morogoro tu. Wakti huo tukaiangalia Mtwara na Lindi ,ruvuma kule kote miji inakuwa na population inaongezeka, wao watatumia bandari ya Mtwara. Tanga,moshi , arusha, zambia ,malawi ,uganda kule kote wanaweza tumia bandari ya tanga, walio baki wote watu kati, kanda ya ziwa hadi rwanda ,burundi , kongo wanatumia hii ya bagamoyo. Ni serikali kuamua na kuweka sheri. Tukiangalia Bagamoyo port kwa kuwa inajengwa kisasa na itakuwa na viwanda, inatoa back up kwa dar na pia kwa nchi jirani. Kuna watu wanasema bandari hii ya bagamoyo itaua bandari zetu hili sio kweli, maana serikali lazima iweke mkataba kati ya wahisani na serikali, kuna mgawanyo wa mapato, kumbukeni hii bandari itakuwa na viwanda, sehemu kubwa ya nchi za africa zitakuwa zinakuja Tanzania kuchukua bidhaa hapa, hivo pato /export kwa taifa litaongezeka, kwahiyo hata kama serikali ikichukua 40% ya mapato yote yatakayo si kidogo, 40%ya mapato ya invest of 10 B usd ni mara 10 ya mapato tutakayopata bandari ya dar. Pili watanzania ndugu zangu tujifunzeni kushindana, tunahofia bandari zetu kufa kwa sababu sisi sio washindani, waoga, wapenda madili, wizi na ufisadi, incompetence. Tujiulize, kwanini NMB inafanya kazi haijafa kukiwa na bank lukuki za wageni Tanzania? let's learn on how to compete, isije ikawa kila miradi mikubwa inakuja tanzania tunakataa kwa sababu ya kuogopa ushindani. Hatuwezi kwenda uchumi wa kati just kwa kukarabati bandari kila mwaka ndugu zangu, ni sawa na kupaka rangi upepo. Magufuli kama anataka tanzania hii ikimbie, kwanza bagamoyo port lazima ijengwe hata kama watu watalala njaa,pili piga modern airport Moshi na Zanzibar, za kisasa zaidi, pili fufua ATCL, toa kama trillion 1 ya kuanzia ili tuweze kununua ndege za kisasa kina dreamliner kama tatu/nne ziweze kwenda nje ya nchi, then serikali concentrate na kukusanya mapato. Tanzania inaweza endelea just kwa bandari na airport tukiachilia mbali madini na gesi. Leo hii tunasubiri watalii waje na KQ or ethiopia airlines wafikie nchi zao then waje Tanzania, mabog gani, Nilitegemea magufuli after muhimbili aende ATCL, natamani hata kesho magufuli tuanze kununua ndege za maana, nchi kubwa tunashindwa na rwanda , hatuna airline yetu eti tunategemea precision air na fastjet serious? . Tunahitaji good project this time ambazo zitagenerate revenue ya maana, sio huu upuuzi wa kila mwaka. Leo hii kwa sababu ya uoga wa watanzania, niambieni kama tuna investment yeyote ile nchi jirani , hata kama ni investment za ki bank owned by Tanzania government, jibu hakuna, kila mwaka tunafanya biashara pale pale dar / tanzania, tunapata mapato yale yale, niambieni watu waliko uganda, do we have NMB in uganda, kenya, rwanda or burundi? university of dar iko pale pale, do we have any branch of dar university hata kwenye taifa dogo kama sudani? taasisi kama hizi kwa sasa kwenye dunia hii ya ushindani zinatakiwa ziendeshwe kibiashara zaidi, sio kukaa na kusubiri pesa kutoka serikalini kila mwaka. Toka tupate mlimani city shopping mall , je wametapakaa popote pale hapo dar? wanakusanya pesa zinakwenda wapi kama wahawezi kuexpand market, haya ndo majibu ya miaka nenda rudi ya tanzania, leo hii tunalia lia kila siku.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom