Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mashsrt ganiHizi ajira zinamasharti kinyama.
Malaki mengi tu.Walimu hao msingi na sekondari we unadhan wnafika wangapi tangia mwaka 2016 hadi 2021
Kwaio unamshauri asiombe aachane nazo sioWalimu hao msingi na sekondari we unadhan wnafika wangapi tangia mwaka 2016 hadi 2021
Kwn we ujasikia vigezo na masharti we jamaa bhna!Mashsrt gani
Tuma hivyo hivyo mkuuMbona kama wanataka walimu wa sayansi tu
Labda mrambo katika Mawaziri lakini huku mataani hata 1000 bora hayupo,basi tu kwa vile ni public figure anaonekana sana ila wakawaida sana.Huyu mama mrembo sana
Masharti yakoje mzee? Manake nimecheck tangazo kwenye web naona bado hawajaliwekaKwn we ujasikia vigezo na mashart we jamaa bhna!
Sikiliza YouTube mkuuMasharti yakoje mzee? Manake nimecheck tangazo kwenye web naona bado hawajaliweka
Kumbe upo hai miaka mingi sanaHaya wenye uhitaji na ajira, fursa hizo hapo, mshindwe nyie sasa.
Awamu ya tano kulikuwa hamna haja ya connection jina la ukoo lilikuwa linakubeba . Hasa kwa waliotokea Kanda pendwa.Wenye connection kali ndo mda wao huuu sasa, hizi kwao ni nyingi sana