Serikali yatangaza ajira mpya 9,675 kada za Ualimu na Afya

Serikali yatangaza ajira mpya 9,675 kada za Ualimu na Afya

Majina ya kwenye cheti yapo matatu ila la Kati ni initial
Basi jaza kama ilivyo kwenye cheti kama yako sawa tutapata verification msg kwenye screen la simu yako au computer kwamba successfully added
 
Kwa tunao boresha taarifa upande wa arts mbona shule hazioneshi kama ni msingi au secondary? Na masomo tuliyoomba mwaka jana mengine hayapo katika machaguo
 
Anaehitaji msaada apite mbeleView attachment 1781046

Mkuu habari.! Hii ni mara yangu ya kwanza kuingia Tamisemi sasa najaribu kujiunga kwenye namba ya mtihani naweka lakini kinachonijia hata sikielewi
IMG_1804.png
 
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tamisemi, Ummy Mwalimu ametangaza ajira za walimu 6,949 wa shule za msingi na sekondari pamoja na watumishi wa Afya 2,726

Nafasi hizi ni kujaza nafasi wazi kutokana na vifo, kustaafu, kuacha kazi au kuhamia sekta nyingine. Waombaji wanatakiwa kuomba kupitia tovuti ya tamisemi, ajira.tamisemi.go.tz kuanzia leo tarehe 9-23 mei, 2021

Maelekezo.
  • Maombi ya ajira za UALIMU , yamefunguliwa kuanzia tarehe 2021-05-09 hadi tarehe 2021-05-23
  • Maombi ya ajira za AFYA, yamefunguliwa kuanzia tarehe 2021-05-09 hadi tarehe 2021-05-23
  • Kama ni muombaji mpya bofya kiunganishi cha juu kulia "Jisajili" kuanza kuomba
  • Ingiza namba ya kidato cha Nne ikiwa na mwaka wa kuhitimu kama jina la mtumiaji na uingize nywila yako kuingia ndani ya mfumo.
  • Baada ya kufanikiwa kuingia ndani, tafadhali kamilisha maombi yako kabla ya tarehe ya mwisho
  • Maombi yasiyokamilika hayatafanyiwa kazi
  • Hakikisha kabla ya kutuma maombi umesoma na kuelewa vizuri tangazo lilotolewa
  • Bofya hapa ili ujisajili kwa ajili ya kutuma maombi
Kwa Msaada
Tafadhali piga simu namba : 026-2160210
View attachment 1779597
TAMISEMI AWAPOKEI SIMU YANI HATA KIDOGO WAMETUWEKEA KAMA MAPAMBO JAMANI UKU TUNA SHIDA SANA KWENYE MFUMO OTEAS
 
Ni sehemu gani ndo unaweka majina ya wadhamini na namba zao za simu?na nimeona wanataka CV nayo unaiweka wapi
 
Weka yaliyoko kwenye cheti,mi mwanzo nlikua na matatu kwa mfumo ule wa mwanzo kipindi cha marehemu jiwe,ila jana ikabidi nifuate vile mfumo unavyotaka kwa kujaza majina yaliyoko kwenye cheti,so nikaweka mawili
Hivi inakubali kweli kubadili majina, maana Kuna mtu alitaka a-edit jina la Kati ikazngua
 
Back
Top Bottom