Baba Rayhaan
JF-Expert Member
- Mar 24, 2011
- 634
- 436
Lazima ikubali, weka jina la mwanzo kisha box la kati usiweke kitu, weka jina la pili ktk box la mwishoIkakubali
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lazima ikubali, weka jina la mwanzo kisha box la kati usiweke kitu, weka jina la pili ktk box la mwishoIkakubali
Yaap ,sasa ukitaka ikubali ,hayo majina yako kama ni mawili hapo kwenye jina la Kati usijaze jaza jina la wisho,yani kichumba cha katikati kiwe emptyIkakubali
Majina ya kwenye cheti yapo matatu ila la Kati ni initialYaap ,sasa ukitaka ikubali ,hayo majina yako kama ni mawili hapo kwenye jina la Kati usijaze jaza jina la wisho,yani kichumba cha katikati kiwe empty
Angalia unavyo andika passwordWakuu msaada apo nilifungua account kipindi cha nyuma lkn nikiingia inaniambia ivyo shida nnView attachment 1781101
Weka kama yalivyo kwenye chetiMajina ya kwenye cheti yapo matatu ila la Kati ni initial
Basi jaza kama ilivyo kwenye cheti kama yako sawa tutapata verification msg kwenye screen la simu yako au computer kwamba successfully addedMajina ya kwenye cheti yapo matatu ila la Kati ni initial
Hapo unapo chagua shule juu kabisa utao wamekuandikia weka barua kwa hiyo andika barua na itakuwa unaiweka kwenye Kila chaguo la shule unayo ombaAnaekutana na hii kitu anambie au ni kwangu tyu[emoji849][emoji849][emoji45]
View attachment 1781178
Andika barua na cv kwenye file moja then attachSwali la Msingi sijasaidiwa! Mbona Shemu ya Kuattach CV haionekani? Je kuna anayeweza kusaidia?
Brother asante kwa ushauri nimefanikiwa kama ulivyonielekezaMajina ya kwenye cheti yapo matatu ila la Kati ni initial
University of Iringa si ndio Mkwawa ?Wakuu, kwenye option ya kujaza chuo Mbona University of Iringa HAKIPO? au ni kwangu tu kuna changamoto hii? Msaada wenu tafadhali
Asante.
View attachment 1782013
divyo walivyo sema kaka au unajiamulia?Andika barua na cv kwenye file moja then attach
Hapana mkuu, Mkwawa University na University of Iringa ni vyuo viwili tofauti aisee
Anaehitaji msaada apite mbeleView attachment 1781046
Hakikisha Jina umeandika kama lilivo kwenye cheti cha taaluma, kwa kuweka initial letter kwa jina la katiMkuu habari.! Hii ni mara yangu ya kwanza kuingia Tamisemi sasa najaribu kujiunga kwenye namba ya mtihani naweka lakini kinachonijia hata sikielewiView attachment 1782137
pia kama form four una vyeti viwili, angalia unatumia kipiMkuu habari.! Hii ni mara yangu ya kwanza kuingia Tamisemi sasa najaribu kujiunga kwenye namba ya mtihani naweka lakini kinachonijia hata sikielewiView attachment 1782137
TAMISEMI AWAPOKEI SIMU YANI HATA KIDOGO WAMETUWEKEA KAMA MAPAMBO JAMANI UKU TUNA SHIDA SANA KWENYE MFUMO OTEASWaziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tamisemi, Ummy Mwalimu ametangaza ajira za walimu 6,949 wa shule za msingi na sekondari pamoja na watumishi wa Afya 2,726
Nafasi hizi ni kujaza nafasi wazi kutokana na vifo, kustaafu, kuacha kazi au kuhamia sekta nyingine. Waombaji wanatakiwa kuomba kupitia tovuti ya tamisemi, ajira.tamisemi.go.tz kuanzia leo tarehe 9-23 mei, 2021
Maelekezo.
Kwa Msaada
- Maombi ya ajira za UALIMU , yamefunguliwa kuanzia tarehe 2021-05-09 hadi tarehe 2021-05-23
- Maombi ya ajira za AFYA, yamefunguliwa kuanzia tarehe 2021-05-09 hadi tarehe 2021-05-23
- Kama ni muombaji mpya bofya kiunganishi cha juu kulia "Jisajili" kuanza kuomba
- Ingiza namba ya kidato cha Nne ikiwa na mwaka wa kuhitimu kama jina la mtumiaji na uingize nywila yako kuingia ndani ya mfumo.
- Baada ya kufanikiwa kuingia ndani, tafadhali kamilisha maombi yako kabla ya tarehe ya mwisho
- Maombi yasiyokamilika hayatafanyiwa kazi
- Hakikisha kabla ya kutuma maombi umesoma na kuelewa vizuri tangazo lilotolewa
- Bofya hapa ili ujisajili kwa ajili ya kutuma maombi
Tafadhali piga simu namba : 026-2160210
View attachment 1779597
Hivi inakubali kweli kubadili majina, maana Kuna mtu alitaka a-edit jina la Kati ikaznguaWeka yaliyoko kwenye cheti,mi mwanzo nlikua na matatu kwa mfumo ule wa mwanzo kipindi cha marehemu jiwe,ila jana ikabidi nifuate vile mfumo unavyotaka kwa kujaza majina yaliyoko kwenye cheti,so nikaweka mawili