Mkaruka
JF-Expert Member
- Feb 5, 2013
- 19,629
- 34,199
CV ni CV hakuna CV za ajira za ualimu.Haa hobbies kwenye ajira za ualimu
Ualimu kibongo bongo hata application walikuwa hawatumi. Majina yanachukuliwa vyuoni.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
CV ni CV hakuna CV za ajira za ualimu.Haa hobbies kwenye ajira za ualimu
cha uongo nenda youtu.be account ya tamisemi waliongea mambo ya vyeti. wakasema vyeti siyo lazima viwe certified kikubwa vionekane vizuriii basi. usidanganye watu punguza mihemukoHii ishu waliulizwa wakajbu n lazma viwe certified,na utaratbu wa kuomba ajira hua vyet n kua certified
Halafu hivi vitu vingi vipo kwenye system hasa kwa wanafunzi wa kuanzia miaka ya 2008.A
cha uongo nenda youtu.be account ya tamisemi waliongea mambo ya vyeti. wakasema vyeti siyo lazima viwe certified kikubwa vionekane vizuriii basi. usidanganye watu punguza mihemuko
Katika maelezo yao kwenye video YouTube wamesema hakuna ulazimaVyeti n lazima viwe certified mkuu
Katika maelezo yao kwenye video YouTube wamesema hakuna ulazima
CV na barua viweke kwenye PDF moja, halafu attach kwenye sehemu ya Application letter.
Kwenye PDF tanguliza barua(page ya kwanza), page zingine weka CV
Hata Wilaya hakuna?wadau tatizo nini kwenye kufanya machaguo ya sehemu unapopendelea kufanya kazi haileti machaguo yeyot,, msaada wenu tafadhali.
Na ikawe kheri kwako huko mbeleniShukrani Boss
Weka docx zote zinazohitajika, isipokuwa zile za optional tu au za kuverify vyeti kutoka NECTA/NACTE/TCU.Wadau naomba msaada Kwa waliofanikiwa kumaliza application za wizara ya afya nimejaza taarifa zote muhimu lakn wananiambia upload all required documents nimeongea na help desk ni wahuni tu eti network yako ndombovu wanakata simu eti wapo kwenye kikao siku nzima.
Mwalimu gani mzembe hivi? Sipati picha huko kazini itakuwaje...Nimefika kwenye machaguo ya shule
Leteni mikeka yenu nikopi
AU niambieni shule zenye uhitaji wa mwl wa bios nijaze
Nimejisajili mara ya pili baada ya kusahau nywila za account ya zamani na nimejaribu sana kuzibadilisha ikashindikana, sasa hii account mpya nikiingiza vyeti inasema index number already exists. Nataka nifute acc moja ili nipambane na ile ya awali.Umekosea nini mkuu
Huwezi futa account manake tayari ipo kwenye system labda administrators wa TAMISEMI ndo waifute,imeshindikana kabisa kubadili nywila kwa akaunti yako ya zamani?Nimejisajili mara ya pili baada ya kusahau nywila za account ya zamani na nimejaribu sana kuzibadilisha ikashindikana, sasa hii account mpya nikiingiza vyeti inasema index number already exists. Nataka nifute acc moja ili nipambane na ile ya awali.
I see u Mr Big Dick!!Signs of poverty and destitution in Tanzania
Kivipi yaanHv guys mtu unaweza pta ajira za afya na hujasajiliwa