Serikali yatangaza ajira za ualimu kwa mwaka 2024 zaidi ya nafasi 11,000

Serikali yatangaza ajira za ualimu kwa mwaka 2024 zaidi ya nafasi 11,000

Kidagaa kimemwozea

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2018
Posts
3,680
Reaction score
6,554
Serikali imatengaxa ajira za ualimu 2024 zaidi ya nafasi 11,000 fungua PDF kuona

Screenshot_20240721-085357_1.jpg

---
TAMISEMI wametangaza Ajira za walimu 11,015.

TANGAZO LINASEMA HIVI:

Katibu wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma kwa niaba ya Sekretarieti za Mikoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa anakaribisha maombi ya kazi kutoka kwa Watanzania wenye sifa na uwezo wa kujaza nafasi 11,015.

NAFASI ZILIZOPO NI HIZI:

1. MWALIMU DARAJA LA III B – SOMO LA BIASHARA (COMMERCE) NAFASI 23

2. .MWALIMU DARAJA LA III B – KILIMO (AGRICULTURE) NAFASI 29

3. MWALIMU DARAJA LA III B – KIFARANSA (FRENCH) NAFASI 2

4. MWALIMU DARAJA LA III B – SOMO LA LISHE (FOOD AND HUMAN NUTRITION) NAFASI 2

5. MWALIMU DARAJA LA III B – SOMO LA USHONAJI (TEXTILE) NAFASI 2

6. MWALIMU DARAJA LA III C – KEMIA (CHEMISTRY) NAFASI 544

7. MWALIMU DARAJA LA III C – FIZIKIA (PHYSICS) NAFASI 633

8. MWALIMU DARAJA LA III C – HISABATI (MATHEMATICS) NAFASI 662

9. MWALIMU DARAJA LA III C – BAIOLOJIA (BIOLOGY) NAFASI 515

10. MWALIMU DARAJA LA III C – JIOGRAFIA (GEOGRAPHY) NAFASI 310

11. MWALIMU DARAJA LA III C – HISTORIA (HISTORY) NAFASI 211

12. MWALIMU DARAJA LA III C – KIINGEREZA ( ENGLISH) NAFASI 412

13. MWALIMU DARAJA LA III C – KISWAHILI NAFASI 184.
 

Attachments

Wanasema hayawi hayawi yamekuwa sasa .TAMISEMI wametangaza Ajira za walimu 11,015.

TANGAZO LINASEMA HIVI:

Katibu wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma kwa niaba ya Sekretarieti za Mikoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa anakaribisha maombi ya kazi kutoka kwa Watanzania wenye sifa na uwezo wa kujaza nafasi 11,015.

NAFASI ZILIZOPO NI HIZI:

1. MWALIMU DARAJA LA III B – SOMO LA BIASHARA (COMMERCE) NAFASI 23

2. .MWALIMU DARAJA LA III B – KILIMO (AGRICULTURE) NAFASI 29

3. MWALIMU DARAJA LA III B – KIFARANSA (FRENCH) NAFASI 2

4. MWALIMU DARAJA LA III B – SOMO LA LISHE (FOOD AND HUMAN NUTRITION) NAFASI 2

5. MWALIMU DARAJA LA III B – SOMO LA USHONAJI (TEXTILE) NAFASI 2

6. MWALIMU DARAJA LA III C – KEMIA (CHEMISTRY) NAFASI 544

7. MWALIMU DARAJA LA III C – FIZIKIA (PHYSICS) NAFASI 633

8. MWALIMU DARAJA LA III C – HISABATI (MATHEMATICS) NAFASI 662

9. MWALIMU DARAJA LA III C – BAIOLOJIA (BIOLOGY) NAFASI 515

10. MWALIMU DARAJA LA III C – JIOGRAFIA (GEOGRAPHY) NAFASI 310

11. MWALIMU DARAJA LA III C – HISTORIA (HISTORY) NAFASI 211

12. MWALIMU DARAJA LA III C – KIINGEREZA ( ENGLISH) NAFASI 412

13. MWALIMU DARAJA LA III C – KISWAHILI NAFASI 184.

Kazi kwenu walimu mmeletewa Ajira mikononi mwenu.

##Mama Samia Hoyeeeeee
View attachment 3047555
 
Back
Top Bottom