Kidagaa kimemwozea
JF-Expert Member
- Jul 13, 2018
- 3,680
- 6,554
Serikali imatengaxa ajira za ualimu 2024 zaidi ya nafasi 11,000 fungua PDF kuona
---
TAMISEMI wametangaza Ajira za walimu 11,015.
TANGAZO LINASEMA HIVI:
Katibu wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma kwa niaba ya Sekretarieti za Mikoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa anakaribisha maombi ya kazi kutoka kwa Watanzania wenye sifa na uwezo wa kujaza nafasi 11,015.
NAFASI ZILIZOPO NI HIZI:
1. MWALIMU DARAJA LA III B – SOMO LA BIASHARA (COMMERCE) NAFASI 23
2. .MWALIMU DARAJA LA III B – KILIMO (AGRICULTURE) NAFASI 29
3. MWALIMU DARAJA LA III B – KIFARANSA (FRENCH) NAFASI 2
4. MWALIMU DARAJA LA III B – SOMO LA LISHE (FOOD AND HUMAN NUTRITION) NAFASI 2
5. MWALIMU DARAJA LA III B – SOMO LA USHONAJI (TEXTILE) NAFASI 2
6. MWALIMU DARAJA LA III C – KEMIA (CHEMISTRY) NAFASI 544
7. MWALIMU DARAJA LA III C – FIZIKIA (PHYSICS) NAFASI 633
8. MWALIMU DARAJA LA III C – HISABATI (MATHEMATICS) NAFASI 662
9. MWALIMU DARAJA LA III C – BAIOLOJIA (BIOLOGY) NAFASI 515
10. MWALIMU DARAJA LA III C – JIOGRAFIA (GEOGRAPHY) NAFASI 310
11. MWALIMU DARAJA LA III C – HISTORIA (HISTORY) NAFASI 211
12. MWALIMU DARAJA LA III C – KIINGEREZA ( ENGLISH) NAFASI 412
13. MWALIMU DARAJA LA III C – KISWAHILI NAFASI 184.
---
TAMISEMI wametangaza Ajira za walimu 11,015.
TANGAZO LINASEMA HIVI:
Katibu wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma kwa niaba ya Sekretarieti za Mikoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa anakaribisha maombi ya kazi kutoka kwa Watanzania wenye sifa na uwezo wa kujaza nafasi 11,015.
NAFASI ZILIZOPO NI HIZI:
1. MWALIMU DARAJA LA III B – SOMO LA BIASHARA (COMMERCE) NAFASI 23
2. .MWALIMU DARAJA LA III B – KILIMO (AGRICULTURE) NAFASI 29
3. MWALIMU DARAJA LA III B – KIFARANSA (FRENCH) NAFASI 2
4. MWALIMU DARAJA LA III B – SOMO LA LISHE (FOOD AND HUMAN NUTRITION) NAFASI 2
5. MWALIMU DARAJA LA III B – SOMO LA USHONAJI (TEXTILE) NAFASI 2
6. MWALIMU DARAJA LA III C – KEMIA (CHEMISTRY) NAFASI 544
7. MWALIMU DARAJA LA III C – FIZIKIA (PHYSICS) NAFASI 633
8. MWALIMU DARAJA LA III C – HISABATI (MATHEMATICS) NAFASI 662
9. MWALIMU DARAJA LA III C – BAIOLOJIA (BIOLOGY) NAFASI 515
10. MWALIMU DARAJA LA III C – JIOGRAFIA (GEOGRAPHY) NAFASI 310
11. MWALIMU DARAJA LA III C – HISTORIA (HISTORY) NAFASI 211
12. MWALIMU DARAJA LA III C – KIINGEREZA ( ENGLISH) NAFASI 412
13. MWALIMU DARAJA LA III C – KISWAHILI NAFASI 184.