MZEE OJUAN
Member
- May 25, 2022
- 77
- 100
Wakuu Habari naweza kufuta vipi account yangu ya PSRS maana kila ajira nayoomba inakataa baseman sina vigezo hata ile ambayo ninavigezo na nimesomea.msaada tafadhali
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hongeren walimuTAMISEMI AJIRA ZA WALIMU
Wanasema hayawi hayawi yamekuwa sasa .TAMISEMI wametangaza Ajira za walimu 11,015.
TANGAZO LINASEMA HIVI:
Katibu wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma kwa niaba ya Sekretarieti za Mikoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa anakaribisha maombi ya kazi kutoka kwa Watanzania wenye sifa na uwezo wa kujaza nafasi 11,015.
NAFASI ZILIZOPO NI HIZI:
1. MWALIMU DARAJA LA III B – SOMO LA BIASHARA (COMMERCE) NAFASI 23
2. .MWALIMU DARAJA LA III B – KILIMO (AGRICULTURE) NAFASI 29
3. MWALIMU DARAJA LA III B – KIFARANSA (FRENCH) NAFASI 2
4. MWALIMU DARAJA LA III B – SOMO LA LISHE (FOOD AND HUMAN NUTRITION) NAFASI 2
5. MWALIMU DARAJA LA III B – SOMO LA USHONAJI (TEXTILE) NAFASI 2
6. MWALIMU DARAJA LA III C – KEMIA (CHEMISTRY) NAFASI 544
7. MWALIMU DARAJA LA III C – FIZIKIA (PHYSICS) NAFASI 633
8. MWALIMU DARAJA LA III C – HISABATI (MATHEMATICS) NAFASI 662
9. MWALIMU DARAJA LA III C – BAIOLOJIA (BIOLOGY) NAFASI 515
10. MWALIMU DARAJA LA III C – JIOGRAFIA (GEOGRAPHY) NAFASI 310
11. MWALIMU DARAJA LA III C – HISTORIA (HISTORY) NAFASI 211
12. MWALIMU DARAJA LA III C – KIINGEREZA ( ENGLISH) NAFASI 412
13. MWALIMU DARAJA LA III C – KISWAHILI NAFASI 184.TAMISEMI AJIRA ZA WALIMU
Wanasema hayawi hayawi yamekuwa sasa .TAMISEMI wametangaza Ajira za walimu 11,015.
TANGAZO LINASEMA HIVI:
Katibu wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma kwa niaba ya Sekretarieti za Mikoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa anakaribisha maombi ya kazi kutoka kwa Watanzania wenye sifa na uwezo wa kujaza nafasi 11,015.
NAFASI ZILIZOPO NI HIZI:
1. MWALIMU DARAJA LA III B – SOMO LA BIASHARA (COMMERCE) NAFASI 23
2. .MWALIMU DARAJA LA III B – KILIMO (AGRICULTURE) NAFASI 29
3. MWALIMU DARAJA LA III B – KIFARANSA (FRENCH) NAFASI 2
4. MWALIMU DARAJA LA III B – SOMO LA LISHE (FOOD AND HUMAN NUTRITION) NAFASI 2
5. MWALIMU DARAJA LA III B – SOMO LA USHONAJI (TEXTILE) NAFASI 2
6. MWALIMU DARAJA LA III C – KEMIA (CHEMISTRY) NAFASI 544
7. MWALIMU DARAJA LA III C – FIZIKIA (PHYSICS) NAFASI 633
8. MWALIMU DARAJA LA III C – HISABATI (MATHEMATICS) NAFASI 662
9. MWALIMU DARAJA LA III C – BAIOLOJIA (BIOLOGY) NAFASI 515
10. MWALIMU DARAJA LA III C – JIOGRAFIA (GEOGRAPHY) NAFASI 310
11. MWALIMU DARAJA LA III C – HISTORIA (HISTORY) NAFASI 211
12. MWALIMU DARAJA LA III C – KIINGEREZA ( ENGLISH) NAFASI 412
13. MWALIMU DARAJA LA III C – KISWAHILI NAFASI 184.
Umejaza profile yako vizuri Mkuu?Wakuu Habari naweza kufuta vipi account yangu ya PSRS maana kila ajira nayoomba inakataa baseman sina vigezo hata ile ambayo ninavigezo na nimesomea.msaada tafadhali
SawaWanasema hayawi hayawi yamekuwa sasa .TAMISEMI wametangaza Ajira za walimu 11,015.
TANGAZO LINASEMA HIVI:
Katibu wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma kwa niaba ya Sekretarieti za Mikoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa anakaribisha maombi ya kazi kutoka kwa Watanzania wenye sifa na uwezo wa kujaza nafasi 11,015.
NAFASI ZILIZOPO NI HIZI:
1. MWALIMU DARAJA LA III B – SOMO LA BIASHARA (COMMERCE) NAFASI 23
2. .MWALIMU DARAJA LA III B – KILIMO (AGRICULTURE) NAFASI 29
3. MWALIMU DARAJA LA III B – KIFARANSA (FRENCH) NAFASI 2
4. MWALIMU DARAJA LA III B – SOMO LA LISHE (FOOD AND HUMAN NUTRITION) NAFASI 2
5. MWALIMU DARAJA LA III B – SOMO LA USHONAJI (TEXTILE) NAFASI 2
6. MWALIMU DARAJA LA III C – KEMIA (CHEMISTRY) NAFASI 544
7. MWALIMU DARAJA LA III C – FIZIKIA (PHYSICS) NAFASI 633
8. MWALIMU DARAJA LA III C – HISABATI (MATHEMATICS) NAFASI 662
9. MWALIMU DARAJA LA III C – BAIOLOJIA (BIOLOGY) NAFASI 515
10. MWALIMU DARAJA LA III C – JIOGRAFIA (GEOGRAPHY) NAFASI 310
11. MWALIMU DARAJA LA III C – HISTORIA (HISTORY) NAFASI 211
12. MWALIMU DARAJA LA III C – KIINGEREZA ( ENGLISH) NAFASI 412
13. MWALIMU DARAJA LA III C – KISWAHILI NAFASI 184.
Kazi kwenu walimu mmeletewa Ajira mikononi mwenu.
##Mama Samia Hoyeeeeee
View attachment 3047555
Hivi na hizi za ualimu nazo zinaombwa huko ajiraportal?Wakuu Habari naweza kufuta vipi account yangu ya PSRS maana kila ajira nayoomba inakataa baseman sina vigezo hata ile ambayo ninavigezo na nimesomea.msaada tafadhali
Hakuna usaili nadhaniSasa walimu wa privet sijui wataagaje vituo vya kazi ili waende kwenye usahili
Ina maa
Hivi na hizi za ualimu nazo zinaombwa huko ajiraportal?
Endelea kudhania mkuu.Hakuna usaili nadhani
Ndio mkuuIna maa
Hivi na hizi za ualimu nazo zinaombwa huko ajiraportal?
Sijaona kwenye tangazo kuwa kuna usailiNdio mkuu
Watajua tuuAu sio , interview ya ualimu sijui watafanya Namna gani kuhakikisha wote wamepita kwenye mchujo 😂
Ajira za Utumishi unazijua? Na siku zote wanavyo tangaza huwa wanasema kuna usaili??Sijaona kwenye tangazo kuwa kuna usaili
Watajua tuAu sio , interview ya ualimu sijui watafanya Namna gani kuhakikisha wote wamepita kwenye mchujo 😂
Kwan post zote zinazopita ajira Portal hua wanasema kutakuwa na usaili au n watu walijikuta kila post wanafanya usaili hvy wakazoea hvy, kwahy nanyi mjiandaeSijaona kwenye tangazo kuwa kuna usaili