Serikali yatangaza ajira za ualimu kwa mwaka 2024 zaidi ya nafasi 11,000

Serikali yatangaza ajira za ualimu kwa mwaka 2024 zaidi ya nafasi 11,000

Lakin bado nina kigugumiz juu ya usaili. Kuna mtu kamaliza 2015 na hata sehem ya kujitolea kufundishq alikosa akaamuq kujikita kwenye bodaboda, Leo unatangaza ajira na unamuingiza kwenye usaili na Graduate wa 2023 fresh kabisaa kutoka chuo, kichwa bado cha moto. Freshers ananafasi nzuri zaidi ya kupita kwenye usaili na kupata ajira huku yule wa 2015 akiendelea kufukuza upepo
 
Hapo kwenye walimu daraja la IIIB masharti yake yatabeba wachache sana.
Hapo kwenye IIIC ni sawa lakini kwa masomo hayo hayo wapo walimu daraja IIIB nao Wanayo masomo hayo hayo yaani Fizikia, Mathematics, GEO, Kiswahili na mengineyo mbona wao hawajawa included.?
 
TAMISEMI AJIRA ZA WALIMU

Wanasema hayawi hayawi yamekuwa sasa .TAMISEMI wametangaza Ajira za walimu 11,015.

TANGAZO LINASEMA HIVI:

Katibu wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma kwa niaba ya Sekretarieti za Mikoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa anakaribisha maombi ya kazi kutoka kwa Watanzania wenye sifa na uwezo wa kujaza nafasi 11,015.

NAFASI ZILIZOPO NI HIZI:

1. MWALIMU DARAJA LA III B – SOMO LA BIASHARA (COMMERCE) NAFASI 23

2. .MWALIMU DARAJA LA III B – KILIMO (AGRICULTURE) NAFASI 29

3. MWALIMU DARAJA LA III B – KIFARANSA (FRENCH) NAFASI 2

4. MWALIMU DARAJA LA III B – SOMO LA LISHE (FOOD AND HUMAN NUTRITION) NAFASI 2

5. MWALIMU DARAJA LA III B – SOMO LA USHONAJI (TEXTILE) NAFASI 2

6. MWALIMU DARAJA LA III C – KEMIA (CHEMISTRY) NAFASI 544

7. MWALIMU DARAJA LA III C – FIZIKIA (PHYSICS) NAFASI 633

8. MWALIMU DARAJA LA III C – HISABATI (MATHEMATICS) NAFASI 662

9. MWALIMU DARAJA LA III C – BAIOLOJIA (BIOLOGY) NAFASI 515

10. MWALIMU DARAJA LA III C – JIOGRAFIA (GEOGRAPHY) NAFASI 310

11. MWALIMU DARAJA LA III C – HISTORIA (HISTORY) NAFASI 211

12. MWALIMU DARAJA LA III C – KIINGEREZA ( ENGLISH) NAFASI 412

13. MWALIMU DARAJA LA III C – KISWAHILI NAFASI 184.TAMISEMI AJIRA ZA WALIMU

Wanasema hayawi hayawi yamekuwa sasa .TAMISEMI wametangaza Ajira za walimu 11,015.

TANGAZO LINASEMA HIVI:

Katibu wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma kwa niaba ya Sekretarieti za Mikoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa anakaribisha maombi ya kazi kutoka kwa Watanzania wenye sifa na uwezo wa kujaza nafasi 11,015.

NAFASI ZILIZOPO NI HIZI:

1. MWALIMU DARAJA LA III B – SOMO LA BIASHARA (COMMERCE) NAFASI 23

2. .MWALIMU DARAJA LA III B – KILIMO (AGRICULTURE) NAFASI 29

3. MWALIMU DARAJA LA III B – KIFARANSA (FRENCH) NAFASI 2

4. MWALIMU DARAJA LA III B – SOMO LA LISHE (FOOD AND HUMAN NUTRITION) NAFASI 2

5. MWALIMU DARAJA LA III B – SOMO LA USHONAJI (TEXTILE) NAFASI 2

6. MWALIMU DARAJA LA III C – KEMIA (CHEMISTRY) NAFASI 544

7. MWALIMU DARAJA LA III C – FIZIKIA (PHYSICS) NAFASI 633

8. MWALIMU DARAJA LA III C – HISABATI (MATHEMATICS) NAFASI 662

9. MWALIMU DARAJA LA III C – BAIOLOJIA (BIOLOGY) NAFASI 515

10. MWALIMU DARAJA LA III C – JIOGRAFIA (GEOGRAPHY) NAFASI 310

11. MWALIMU DARAJA LA III C – HISTORIA (HISTORY) NAFASI 211

12. MWALIMU DARAJA LA III C – KIINGEREZA ( ENGLISH) NAFASI 412

13. MWALIMU DARAJA LA III C – KISWAHILI NAFASI 184.
Hongeren walimu
 
Wakuu Habari naweza kufuta vipi account yangu ya PSRS maana kila ajira nayoomba inakataa baseman sina vigezo hata ile ambayo ninavigezo na nimesomea.msaada tafadhali
Umejaza profile yako vizuri Mkuu?

Maana inashauriwa ili uitwe kwenye interview profile yako walau ifike kuanzia asilimia 75 kwenda juu.

Ukiwa below Kuna possibility kubwa usiwe unaitwa kushiriki hizo interviews
 
Wanasema hayawi hayawi yamekuwa sasa .TAMISEMI wametangaza Ajira za walimu 11,015.

TANGAZO LINASEMA HIVI:

Katibu wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma kwa niaba ya Sekretarieti za Mikoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa anakaribisha maombi ya kazi kutoka kwa Watanzania wenye sifa na uwezo wa kujaza nafasi 11,015.

NAFASI ZILIZOPO NI HIZI:

1. MWALIMU DARAJA LA III B – SOMO LA BIASHARA (COMMERCE) NAFASI 23

2. .MWALIMU DARAJA LA III B – KILIMO (AGRICULTURE) NAFASI 29

3. MWALIMU DARAJA LA III B – KIFARANSA (FRENCH) NAFASI 2

4. MWALIMU DARAJA LA III B – SOMO LA LISHE (FOOD AND HUMAN NUTRITION) NAFASI 2

5. MWALIMU DARAJA LA III B – SOMO LA USHONAJI (TEXTILE) NAFASI 2

6. MWALIMU DARAJA LA III C – KEMIA (CHEMISTRY) NAFASI 544

7. MWALIMU DARAJA LA III C – FIZIKIA (PHYSICS) NAFASI 633

8. MWALIMU DARAJA LA III C – HISABATI (MATHEMATICS) NAFASI 662

9. MWALIMU DARAJA LA III C – BAIOLOJIA (BIOLOGY) NAFASI 515

10. MWALIMU DARAJA LA III C – JIOGRAFIA (GEOGRAPHY) NAFASI 310

11. MWALIMU DARAJA LA III C – HISTORIA (HISTORY) NAFASI 211

12. MWALIMU DARAJA LA III C – KIINGEREZA ( ENGLISH) NAFASI 412

13. MWALIMU DARAJA LA III C – KISWAHILI NAFASI 184.

Kazi kwenu walimu mmeletewa Ajira mikononi mwenu.

##Mama Samia Hoyeeeeee
View attachment 3047555
Sawa
 
Ina maa
Wakuu Habari naweza kufuta vipi account yangu ya PSRS maana kila ajira nayoomba inakataa baseman sina vigezo hata ile ambayo ninavigezo na nimesomea.msaada tafadhali
Hivi na hizi za ualimu nazo zinaombwa huko ajiraportal?
 
Ina maa

Hivi na hizi za ualimu nazo zinaombwa huko ajiraportal?
Screenshot_20240721-080937.jpg
 
Back
Top Bottom