Mzee Kimamingo
JF-Expert Member
- Mar 31, 2024
- 1,861
- 4,462
Ukikosa na apa ndio basi tena
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona zenyewe hazijaorodheshwa hapo juuDaraja IIIA 2851
Mkuu huwez jua kugawana nafasi kupo tu ata huko utumishi inawezekana wakagawana pia. Cha msingi kuwa na imani muda wako utafika mkuu ata wakigawana nawewe utakuwemo mkuuMchakato this time ni mrefu, utumishi wana mlolongo siyo kama TAMISEMI wao walikuwa wanajifungia ofisini wanagawana nafasi then wanaachia.
Mimi Wala sihusiki na ajira hizi natoa maoni tu, nimesema utumishi wana mlolongo mrefu kuliko TAMISEMI. Angalia hata tangazo la utumishi lipo kiprofesional zaidi.Mkuu huwez jua kugawana nafasi kupo tu ata huko utumishi inawezekana wakagawana pia. Cha msingi kuwa na imani muda wako utafika mkuu ata wakigawana nawewe utakuwemo mkuu
Safi saana823k
Nikweli mkuuLakin bado nina kigugumiz juu ya usaili. Kuna mtu kamaliza 2015 na hata sehem ya kujitolea kufundishq alikosa akaamuq kujikita kwenye bodaboda, Leo unatangaza ajira na unamuingiza kwenye usaili na Graduate wa 2023 fresh kabisaa kutoka chuo, kichwa bado cha moto. Freshers ananafasi nzuri zaidi ya kupita kwenye usaili na kupata ajira huku yule wa 2015 akiendelea kufukuza upepo
U C H A G U Z I U M E W A D I A.Serikali imatengaxa ajira za ualimu 2024 zaidi ya nafasi 11,000 fungua PDF kuona
View attachment 3047683
---
TAMISEMI wametangaza Ajira za walimu 11,015.
TANGAZO LINASEMA HIVI:
Katibu wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma kwa niaba ya Sekretarieti za Mikoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa anakaribisha maombi ya kazi kutoka kwa Watanzania wenye sifa na uwezo wa kujaza nafasi 11,015.
NAFASI ZILIZOPO NI HIZI:
1. MWALIMU DARAJA LA III B – SOMO LA BIASHARA (COMMERCE) NAFASI 23
2. .MWALIMU DARAJA LA III B – KILIMO (AGRICULTURE) NAFASI 29
3. MWALIMU DARAJA LA III B – KIFARANSA (FRENCH) NAFASI 2
4. MWALIMU DARAJA LA III B – SOMO LA LISHE (FOOD AND HUMAN NUTRITION) NAFASI 2
5. MWALIMU DARAJA LA III B – SOMO LA USHONAJI (TEXTILE) NAFASI 2
6. MWALIMU DARAJA LA III C – KEMIA (CHEMISTRY) NAFASI 544
7. MWALIMU DARAJA LA III C – FIZIKIA (PHYSICS) NAFASI 633
8. MWALIMU DARAJA LA III C – HISABATI (MATHEMATICS) NAFASI 662
9. MWALIMU DARAJA LA III C – BAIOLOJIA (BIOLOGY) NAFASI 515
10. MWALIMU DARAJA LA III C – JIOGRAFIA (GEOGRAPHY) NAFASI 310
11. MWALIMU DARAJA LA III C – HISTORIA (HISTORY) NAFASI 211
12. MWALIMU DARAJA LA III C – KIINGEREZA ( ENGLISH) NAFASI 412
13. MWALIMU DARAJA LA III C – KISWAHILI NAFASI 184.
Au sio , interview ya ualimu sijui watafanya Namna gani kuhakikisha wote wamepita kwenye mchujo 😂
NikweliSiku hizi hakuna cha dezo..wote mnakula interview
Wapo grade 111AHivi serikali siku hizi haiajiri walimu wenye certificate??
Wapo grade 111A
Hujamuelewa tu Mkuu, huyu ka predict yajayoHao walimu walifanyia usaili wapi na waliitwa Kwa Namna gani mkuu?
Hahah nouma sanaTaarifa za mwezi Septemba 2024 zilizovuja ni kwamba, waalimu zaidi ya laki mbili walifanyiwa usaili wa aina tatu
1: Written 2: Practical 3: Oral
Ili wapatikane waalimu 11,000 tuu 😂