tamuuuuu
JF-Expert Member
- Mar 10, 2014
- 21,329
- 28,063
Nazijua mkuu na nimeomba na kufanya usaili mara kadhaa,but sikuwahi sikia usaili kwa kada ya ualimu. Itakuwa ni utaratibu mpya umeanza.Ajira za Utumishi unazijua? Na siku zote wanavyo tangaza huwa wanasema kuna usaili??