Serikali yatangaza ajira za ualimu kwa mwaka 2024 zaidi ya nafasi 11,000

ivi barua inaandikwa kwa mkono au computer?
 
Somo la kemia lipo kwenye tangazo ila kwenye mfumo hakuna sehemu wanataka u apply mwalimu wa somo KEMIA
 
Mnieleweshe, tofauti ya mwalimu daraja la III B na daraja la III C.

Halafu pia, kwenye tangazo wamesema tuambatanishe na barua ILIYOSAINIWA.. Isainiwe na nani????
 
Mnieleweshe, tofauti ya mwalimu daraja la III B na daraja la III C.

Halafu pia, kwenye tangazo wamesema tuambatanishe na barua ILIYOSAINIWA.. Isainiwe na nani????
IIIB-Diploma
IIIC-Degree
Barua ya kikazi ukimaliza kule chini si unasaini mkuu. Ni hivo tu...saini yako ya mkono iwepo kule down chini(hata km utaichapa)print ....tia saini....then scan uipandishe
 
GPA ILIYOPO kwenye transcript
 
Hivi unafikri walimu waliopo mtaani ni wachache? Yaani interview ya somo moja uwafanyie siku moja? Mfano walimu walisomea Kiswahili wapo 50000 utawafanyia interview siku 1, wafanye written, practical na oral kwa siku moja?
Mbona huwa inafanywa kila lep hivyo hivyo na kwa sasa mnafanya kwa computer
 
Vyeti unavyo viweka ni ulivyo vi certify halafu una scan unaviweka
 
Ndio inavyokuwaga
Hata kazi zingine ni hivyo
 
Wakuu naweza peleka vyeti kwa mwanasheria kwa niaba ya watu?
Pia gharama ni kiasi Gani kupigiwa muhuri?
 
Wakuu naweza peleka vyeti kwa mwanasheria kwa niaba ya watu?
Pia gharama ni kiasi Gani kupigiwa muhuri?
Pelekeni mahakama ya mwanzo Elfu 10 tu.

Ukijichanganya kwa hawa vibaka wanajiita wasomi kila cheti wanataka wasaini elfu 10 na mtu una vyeti 5
 
Hivi unafikri walimu waliopo mtaani ni wachache? Yaani interview ya somo moja uwafanyie siku moja? Mfano walimu walisomea Kiswahili wapo 50000 utawafanyia interview siku 1, wafanye written, practical na oral kwa siku moja?
Sio kwamba saili zote 3 zinafanyika kwa siku 1...Mkishafanya written wanatoa matokeo wale waliofaulu watafanya practical siku nyingine watatoa tena matokeo watakaofaulu watafanya oral siku nyingine tena then mnasubiri kuitwa kazini sasa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…