Serikali yatangaza ajira za ualimu kwa mwaka 2024 zaidi ya nafasi 11,000

Serikali yatangaza ajira za ualimu kwa mwaka 2024 zaidi ya nafasi 11,000

Changamoto wenye postgraduate diploma ya education mfumo unagoma
 
Ndo weakness kubwa ya ajira portal,,anaenufaika ni yule ambae amamaliza juzi lakin wale wa miaka ya nyuma ni ngumu kutoboa maana vitu vingi wamesahau ,mm naona tamisemi palikua panafaa zaidi maana wao ni wengi na ninajua PSRSS Hawawez kumudu usaili wa watu 250,000
Mimi nawashangaa hawa watu walimu ni wengi halafu wanaomba mara mbili yaani kila somo analofundisha, maanake maombi yanaweza fika laki 5, sasa watamudu vipi kuwafanyia interview watu laki 5?
Ninachojua watakata wengi sana na kutoa wachache kwa ajili ya usaili.
 
Wadau msaada
Sioni masomo yangu kila nikienda kwenye masomo naona commerce kiswahili Na Agriculture aliyakuwa mimi nataka physics and chemistry nikisach inaandika Not found
 
Hapana.

Picha inawekwa eneo la Picha kwenye profile ya ajira Portal ya muhusika
Wakubwa msaada wenu tafadhali. Kwenye upande wa picha kuna picha nilikuwa nimeiweka lakini kumbe haifai. Najaribu kuibadili lakini haibadiliki, tangu jana jioni hadi sasa. Shida itakuwa nini wakuu? Mwifwa
 
Msaada

Kwenye vacancy sioni masomo yangu physics and chemistry Na nikisach inaandika Not found

Pia sioni sehemu ya kuapply mikoa
 
Msaada

Kwenye vacancy sioni masomo yangu physics and chemistry Na nikisach inaandika Not found

Pia sioni sehemu ya kuapply mikoa
 
Msaada

Kwenye vacancy sioni masomo yangu physics and chemistry Na nikisach inaandika Not found

Pia sioni sehemu ya kuapply mikoa
 
Msaada

Kwenye vacancy sioni masomo yangu physics and chemistry Na nikisach inaandika Not found

Pia sioni sehemu ya kuapply mikoa
 
Msaada

Kwenye vacancy sioni masomo yangu physics and chemistry Na nikisach inaandika Not found

Pia sioni sehemu ya kuapply mikoa
 
Msaada

Kwenye vacancy sioni masomo yangu physics and chemistry Na nikisach inaandika Not found

Pia sioni sehemu ya kuapply mikoa
 
Msaada

Kwenye vacancy sioni masomo yangu physics and chemistry Na nikisach inaandika Not found

Pia sioni sehemu ya kuapply mikoa
 
Msaada

Kwenye vacancy sioni masomo yangu physics and chemistry Na nikisach inaandika Not found

Pia sioni sehemu ya kuapply mikoa
 
Wanasema hayawi hayawi yamekuwa sasa .TAMISEMI wametangaza Ajira za walimu 11,015.

TANGAZO LINASEMA HIVI:

Katibu wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma kwa niaba ya Sekretarieti za Mikoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa anakaribisha maombi ya kazi kutoka kwa Watanzania wenye sifa na uwezo wa kujaza nafasi 11,015.

NAFASI ZILIZOPO NI HIZI:

1. MWALIMU DARAJA LA III B – SOMO LA BIASHARA (COMMERCE) NAFASI 23

2. .MWALIMU DARAJA LA III B – KILIMO (AGRICULTURE) NAFASI 29

3. MWALIMU DARAJA LA III B – KIFARANSA (FRENCH) NAFASI 2

4. MWALIMU DARAJA LA III B – SOMO LA LISHE (FOOD AND HUMAN NUTRITION) NAFASI 2

5. MWALIMU DARAJA LA III B – SOMO LA USHONAJI (TEXTILE) NAFASI 2

6. MWALIMU DARAJA LA III C – KEMIA (CHEMISTRY) NAFASI 544

7. MWALIMU DARAJA LA III C – FIZIKIA (PHYSICS) NAFASI 633

8. MWALIMU DARAJA LA III C – HISABATI (MATHEMATICS) NAFASI 662

9. MWALIMU DARAJA LA III C – BAIOLOJIA (BIOLOGY) NAFASI 515

10. MWALIMU DARAJA LA III C – JIOGRAFIA (GEOGRAPHY) NAFASI 310

11. MWALIMU DARAJA LA III C – HISTORIA (HISTORY) NAFASI 211

12. MWALIMU DARAJA LA III C – KIINGEREZA ( ENGLISH) NAFASI 412

13. MWALIMU DARAJA LA III C – KISWAHILI NAFASI 184.

Kazi kwenu walimu mmeletewa Ajira mikononi mwenu.

##Mama Samia Hoyeeeeee
View attachment 3047555
Sawa
 
Mimi nawashangaa hawa watu walimu ni wengi halafu wanaomba mara mbili yaani kila somo analofundisha, maanake maombi yanaweza fika laki 5, sasa watamudu vipi kuwafanyia interview watu laki 5?
Ninachojua watakata wengi sana na kutoa wachache kwa ajili ya usaili.
Kama umishawai fanya interview na utumishi uwezo uliza swali hilo!
 
Back
Top Bottom