Serikali yatangaza ajira za ualimu kwa mwaka 2024 zaidi ya nafasi 11,000

Changamoto wenye postgraduate diploma ya education mfumo unagoma
 
Mimi nawashangaa hawa watu walimu ni wengi halafu wanaomba mara mbili yaani kila somo analofundisha, maanake maombi yanaweza fika laki 5, sasa watamudu vipi kuwafanyia interview watu laki 5?
Ninachojua watakata wengi sana na kutoa wachache kwa ajili ya usaili.
 
Wadau msaada
Sioni masomo yangu kila nikienda kwenye masomo naona commerce kiswahili Na Agriculture aliyakuwa mimi nataka physics and chemistry nikisach inaandika Not found
 
Hapana.

Picha inawekwa eneo la Picha kwenye profile ya ajira Portal ya muhusika
Wakubwa msaada wenu tafadhali. Kwenye upande wa picha kuna picha nilikuwa nimeiweka lakini kumbe haifai. Najaribu kuibadili lakini haibadiliki, tangu jana jioni hadi sasa. Shida itakuwa nini wakuu? Mwifwa
 
Msaada

Kwenye vacancy sioni masomo yangu physics and chemistry Na nikisach inaandika Not found

Pia sioni sehemu ya kuapply mikoa
 
Msaada

Kwenye vacancy sioni masomo yangu physics and chemistry Na nikisach inaandika Not found

Pia sioni sehemu ya kuapply mikoa
 
Msaada

Kwenye vacancy sioni masomo yangu physics and chemistry Na nikisach inaandika Not found

Pia sioni sehemu ya kuapply mikoa
 
Msaada

Kwenye vacancy sioni masomo yangu physics and chemistry Na nikisach inaandika Not found

Pia sioni sehemu ya kuapply mikoa
 
Msaada

Kwenye vacancy sioni masomo yangu physics and chemistry Na nikisach inaandika Not found

Pia sioni sehemu ya kuapply mikoa
 
Msaada

Kwenye vacancy sioni masomo yangu physics and chemistry Na nikisach inaandika Not found

Pia sioni sehemu ya kuapply mikoa
 
Msaada

Kwenye vacancy sioni masomo yangu physics and chemistry Na nikisach inaandika Not found

Pia sioni sehemu ya kuapply mikoa
 
Msaada

Kwenye vacancy sioni masomo yangu physics and chemistry Na nikisach inaandika Not found

Pia sioni sehemu ya kuapply mikoa
 
Sawa
 
Kama umishawai fanya interview na utumishi uwezo uliza swali hilo!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…