Serikali yatangaza ajira za ualimu kwa mwaka 2024 zaidi ya nafasi 11,000

Ndio upeleke kwa wakili copy a certify
Hakuna copy inaprintiwa moja kwa moja kwa mfumo wao ambayo nimerenew mpya, au ndio iyo ukiprint hardcopy then ile hardcopy utoe copy ndio ikapigwe muhuri?
 
Wadau msaada
Sioni masomo yangu kila nikienda kwenye masomo naona commerce kiswahili Na Agriculture aliyakuwa mimi nataka physics and chemistry nikisach inaandika Not found
Kama hujapata msaada. Angalia hapa
 

Attachments

  • Screenshot_20240725-164526.jpg
    72.2 KB · Views: 4
Bila shaka ushapata msaada
 
Yuko sahihi kabisa.

Lazima uende step by step
 
Mkandaji huna baya,

Mwenye kusikia na asikie, mwenye kufuata na afuate..
 
Mkuu mimi nida na cheti cha kuzaliwa vina majina matatu ila vyet vya taaluma vina majina mawili je affidavit inahitajika
Haina shida endapo hayo majina ya vyeti ni sawa na majina ya NIDA, BIRTH CERT.

Mfano: NIDA ni Mkandwaji Ualimu Uraia

Vyeti ni Mkandwaji Ualimu.

Hapo hamna shida yeyote.

Case Study: Mimi mwenyewe majina yangu yapo hivyo na nishapitia PSRS na kuachia wengine nafasi nao wapambane
 
Kuweka yenye somo ndio sahihi. Usipate shaka kuhusu hilo, wenye mfumo ndio wameset iwe hivyo.

Sasa unataka mfumo ukutake uweke Bachelor of Education halafu baadae wakute huna sifa maana unaweza kuweka viti tofauti.
 
Ila huu mtandao nao changamoto sana ..

Juzi wakati namfungilia account mtu .. ikaandika account inactive ,,tukaangaika wee tukatumiwa Email ya kureset email ,, baada ya hapo tukatengeneza password mpya .. tukaingia ndani ya mfumo na kufanikiwa kujaza kilakitu kilichotakiwa na kutuma maombi ...

Sasa leo,, tumejaribu ku - log in inaniandikia incorrect log in ,, tumejaribu kuomba email verification ili nitengeneze password mpya ,,chaajabu hawanitumii ,,, tukasema tuwapigie simu hazipokelewi kabisaa sasa mtu unakosa mawazo ni hatua gani uchukue
 
Naomba kuuliza, sjatumiw sms ya kuninotify km maombi yamefika,lkn kwny profile inaonesha received. Nimeapply tar 22 had leo sjaona sms kw email ,kuna shida hapo?
 
Nimejaribu ila sijatimia password mpya.
Ambayo naweza kutumia kwenye device nyingine.
Maana hii nimejaribu kwenye cm
 
Mkandaji huna baya,

Mwenye kusikia na asikie, mwenye kufuata na afuate..
Mkuu kuna jamaa angu anadai kwenye address ya mpokeaje pale mwanzo sehemu ya kuanza na KATIBU, yeye kamalizia KATIBU WA SEKRETARIETI na chini imeendelea kama kawaida na box lile lile je ,hilo neno aliloongeza mbele lina shida?
 
Umeomba kazi ambayo haina vigezo vyako? Maana hapo inaonesha vigezo ulivyonavyo haviendani na kazi unayo iomba! Tulia nagalia kwa makini kila ulichojaza! Wewe una degree gani na unaomba nini?
Bachelor of education in adult and community education somo la kufundisha kiswahili
 
Napataje new password nikitaka kulogin na device nyingine ikubali
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…