Serikali yatangaza ajira za ualimu kwa mwaka 2024 zaidi ya nafasi 11,000

This must be bad news to our fiends in CHADEMA, makamansapipozz. I mean, sasa CCM wanatekeleza Ilani yao shindig, wanemuweka CPA kuwa Mwenezi na Miss World kwa kina Mama. Sasa imebaki ile serkali ya Majimbo yaani ukabila kama zile County za Kenya, sijui wataiuzaje?
 
Account yangu Ina 92% maombi nimetuma imeandika received apo ni tayari yamefika wakuu?
Hata mim yangu haijafika 95% na imeandika hvohvo ,lkn wengn wanasema inabid ifike 100% ndio maombi yako yaangaliwe . Sas hyo mia naifikishaje jmn. Na pale kwny professional qualifications wanajaza nin wadau?
 
Hata mim yangu haijafika 95% na imeandika hvohvo ,lkn wengn wanasema inabid ifike 100% ndio maombi yako yaangaliwe . Sas hyo mia naifikishaje jmn. Na pale kwny professional qualifications wanajaza nin wadau?
Mkuu alosema ifike 100% ndio maombi yaangaliwe nani. Utafikaje 100% wakati kuna parts kama professional qualifications haiwezekani kujaza watu wa kada ya Ualimu? 92% ndio highest mark kwa asilimia kubwa ya waalimu wanaaomba kazi kupitia ajira Portal.
 
Kwa maana ya email ya zamani nakumbuka
Mimi nilikua na shida kama yako nikawapigia wakanielekeza niandike username password wakasema niandike 1 mpaka 8 ila nakushauri wapigie kwanza
 
Mimi nilikua na shida kama yako nikawapigia wakanielekeza niandike username password wakasema niandike 1 mpaka 8 ila nakushauri wapigie kwanza
Nitumie Ile username ya za zamani ambayo sikumbuki password zake au hii mpya ninayo kumbuka password
 
Nawashukuru members wote walionielekeza
Nilikuwa nasumbuliwa na password nimepiga cm na shida yangu umeisha kabisa
Asanteni sana
 
Makosa lazima yawepo sisi binadum sio roboti
 
Ukipata akili utagundua sio lazima serikali ikuajiri
Serikali haiwezi kuajiri kila mtu, soko la ajira lipo saturated
Pia ushauri huwa nawapa jobless wengi, punguza makasiriko, punguza lawama, punguza manung'uniko. Kama ni kijana tumia muda mwingi kupambana kuliko kulaumu, hakuna tuzo ya lawama. Hili plvu ulilotoa linaonyesha kabisa ww sio mtu makini. Ajira hakuna ila kazi zipo, kama ukiendelea kulialia hivi ndio mswishoe mnaamua kujicommit suicide

Tuliza wenge
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…