Serikali yatangaza ajira za ualimu kwa mwaka 2024 zaidi ya nafasi 11,000

Serikali yatangaza ajira za ualimu kwa mwaka 2024 zaidi ya nafasi 11,000

Acha uwongo nimeingia kwenye pepa ya juzi sikujaza hata swali mkeka umetoka wameniwekea 48
Jamaa muongo wewe kwa hiyo waliopata 8 wenyewe hawakupenda kuwekewa hizo marks acheni uzushi usio na tija
 
Dah ww jamaa bhana, kwahy hata waliochaguliwa nao wamepewa marks za uongo?
Mkuu kati ya wachangiaji wa humu wewe unajitahidi ila hili la usaili sitaleta hoja dhidi yako kulingana na mtazamo wako kwa sisi walimu na usaili kwaiyo very sorry sitajibu swali lako tukutane kwenye mada zingine
 
Kikundi Cha matapeli kile kimehalalishwa Kwa manufaa ya baadhi waliokihalalisha.
Mkuu kwa hili siongei sana kama wanabisha mwingine akajaribu kama nilivyofanya mimi watakuja na majibu matokeo yakitoka
 
Mimi nimebahatika GEO, nilikuwa nawaza kupata 60+ kweli nimepata 64!
 
Dah ww jamaa bhana, kwahy hata waliochaguliwa nao wamepewa marks za uongo?
Usibishe ila ukipitia hilo pdf lao utagundua kitu.
Mimi nimeshangaa inawezekana vp namba zilizo fuatana(interview number) zipate marks sawa na sio sehemu moja yaani marks wamepata ki group.
Mfano.
12356....45
12376.......45
12383.......45
26814.......68
26834.......68
26837........68
Huu mfano ni kwa uchache tu, hapa like walikua wanacopy na ku paste.
 
Usibishe ila ukipitia hilo pdf lao utagundua kitu.
Mimi nimeshangaa inawezekana vp namba zilizo fuatana(interview number) zipate marks sawa na sio sehemu moja yaani marks wamepata ki group.
Mfano.
12356....45
12376.......45
12383.......45
26814.......68
26834.......68
26837........68
Huu mfano ni kwa uchache tu, hapa like walikua wanacopy na ku paste.
Ndiyo hivyo. Ukibahatika kuingia kwenye target Yao unapepea kwenye chombo. Mfumo huu ni wa hovyo sana.
 
Usibishe ila ukipitia hilo pdf lao utagundua kitu.
Mimi nimeshangaa inawezekana vp namba zilizo fuatana(interview number) zipate marks sawa na sio sehemu moja yaani marks wamepata ki group.
Mfano.
12356....45
12376.......45
12383.......45
26814.......68
26834.......68
26837........68
Huu mfano ni kwa uchache tu, hapa like walikua wanacopy na ku paste.
Haiwezekani waweke marks kwa kukadiria kizembe hvy, kwamba marks haziwezi kufanana? , ujue kuna la maana umeandika ndipo wakadirie, kwahy unataka kusema aliyepata 0 nae alikadiriwa hvy
 
Usibishe ila ukipitia hilo pdf lao utagundua kitu.
Mimi nimeshangaa inawezekana vp namba zilizo fuatana(interview number) zipate marks sawa na sio sehemu moja yaani marks wamepata ki group.
Mfano.
12356....45
12376.......45
12383.......45
26814.......68
26834.......68
26837........68
Huu mfano ni kwa uchache tu, hapa like walikua wanacopy na ku paste.
Mkuu mm sikufanya ya math walinitoa nnje nilkua na kop ya transcrpt, ila niseme tu huu mfumo ni mzr ,kama rushwa basi ni 20% ,ule wa tamisemi uzr wake ni kuchukua watu wa nyuma waliohtimu nyuma ila rushwa ni 50% ,aliyepata amepata mkuu,
 
Back
Top Bottom