Serikali yatangaza ajira za ualimu kwa mwaka 2024 zaidi ya nafasi 11,000

Serikali yatangaza ajira za ualimu kwa mwaka 2024 zaidi ya nafasi 11,000

Utumishi wako fair sana ukikandwa umekandwa TU hawana upendeleo wowote na wako makini sana na mambo Yao hawabahatishi
 
Sikia mkuu, Hawa jamaa wa psrs hawasahihishi. Wanakadiria tu jaribu kupitia matokeo wanayoyatoa utathibitisha hili. Watu Wana uwezo mzuri tu ila ndo hivyo hawasahihishi. Imagine watu 28000+ wamesahihishwa ndani ya siku Moja kitu ambacho hakiwezekani.
Umejuaje KAMA HAWASAHIHISHI WAKATI HUNA USHAHIDI WOWOTE ?
 
Ogop
Unaambiwa uko kwenye Geography leo ni vilio vitupu watu wamekandwa hadi wamesahau vyeti vyao na mabegi yao wakati wa kuondoka
Ogopa watu walichukua kiswahili kama reference then wanaenda kukutana na matheory ya philosophy of education 🤣🤣🤣

Watu wamepiga ma physical geography wamelaza msabila mzima

anakutana na theory pepa nzima
 
Ogop

Ogopa watu walichukua kiswahili kama reference then wanaenda kukutana na matheory ya philosophy of education 🤣🤣🤣

Watu wamepiga ma physical geography wamelaza msabila mzima

anakutana na theory pepa nzima
Sijui matokeo yake yatakuwaje ?
 
Back
Top Bottom