Nyafwili
JF-Expert Member
- Nov 27, 2023
- 4,240
- 10,561
Nilisha wahi kandwa na utumishi mpaka nikajiuliza au sikusoma semester zote nikiwa chuoni nini?? 🤓🤓Yah hakuna kazi bila usaili 😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nilisha wahi kandwa na utumishi mpaka nikajiuliza au sikusoma semester zote nikiwa chuoni nini?? 🤓🤓Yah hakuna kazi bila usaili 😂
HahaNilisha wahi kandwa na utumishi mpaka nikajiuliza au sikusoma semester zote nikiwa chuoni nini?? 🤓🤓
Umejuaje KAMA HAWASAHIHISHI WAKATI HUNA USHAHIDI WOWOTE ?Sikia mkuu, Hawa jamaa wa psrs hawasahihishi. Wanakadiria tu jaribu kupitia matokeo wanayoyatoa utathibitisha hili. Watu Wana uwezo mzuri tu ila ndo hivyo hawasahihishi. Imagine watu 28000+ wamesahihishwa ndani ya siku Moja kitu ambacho hakiwezekani.
naona kuna dogo kazungusha
Huyo alikuwa anashinda mitandaoni kupinga usaili 😂naona kuna dogo kazungusha
Ogopa watu walichukua kiswahili kama reference then wanaenda kukutana na matheory ya philosophy of education 🤣🤣🤣Unaambiwa uko kwenye Geography leo ni vilio vitupu watu wamekandwa hadi wamesahau vyeti vyao na mabegi yao wakati wa kuondoka
Balaa sana 🤓Haha
Unataka ushahidi??Umejuaje KAMA HAWASAHIHISHI WAKATI HUNA USHAHIDI WOWOTE ?
Ww kazi unayo 😂 utapiga domo weeeeeeee ila matokeo yako hayabadilikiUnataka ushahidi??
Wewe ndo unakibarua kigumu. Pole yako japo ndiyo kazi inayokufanya upeleke mkono kinywani.Ww kazi unayo 😂 utapiga domo weeeeeeee ila matokeo yako hayabadiliki
Sijui matokeo yake yatakuwaje ?Ogop
Ogopa watu walichukua kiswahili kama reference then wanaenda kukutana na matheory ya philosophy of education 🤣🤣🤣
Watu wamepiga ma physical geography wamelaza msabila mzima
anakutana na theory pepa nzima
Kwenye account yako ya ajira portal inasemajejaman mwenye pdf ya geography ya jana
NOT SELECTED ila nataka nijue nimepata ngapKwenye account yako ya ajira portal inasemaje
jaman mwenye pdf ya geography ya jana
Mkuu nimekutumia hapo juu....naswali kwakoNOT SELECTED ila nataka nijue nimepata ngap
Hamna swal hat moja la geo, ni ct na psyclogyMkuu nimekutumia hapo juu....naswali kwako
Kwenu nasikia walitoa mambo ya module za Geo chuo je ni kweli?
Poleni sana aiseh mkuu mbona shida...Hamna swal hat moja la geo, ni ct na psyclogy