Serikali yatangaza ajira za ualimu kwa mwaka 2024 zaidi ya nafasi 11,000

Serikali yatangaza ajira za ualimu kwa mwaka 2024 zaidi ya nafasi 11,000

Waliimu mlisubili kuitwa kwa hamu sana kwenye usaili. Naona saa hii kimyaaa adabu imerejea kwa mtaa.

huna wa kumlaumu kwa kujipima mwenyewe kuwa huwez kufundisha watoto wetu sio😂😂

aya hongera kwa mlio faulu interview na polen mlio fail mjipange mwaka mwingine kuomba nafasi zikitoka.

mliobaki jiandaeni vizuri wale psprs sio mchezo mchezo🤣🤣 cutting point mpaka 80.
 
Waliimu mlisubili kuitwa kwa hamu sana kwenye usaili. Naona saa hii kimyaaa adabu imerejea kwa mtaa.

huna wa kumlaumu kwa kujipima mwenyewe kuwa huwez kufundisha watoto wetu sio😂😂

aya hongera kwa mlio faulu interview na polen mlio fail mjipange mwaka mwingine kuomba nafasi zikitoka.

mliobaki jiandaeni vizuri wale psprs sio mchezo mchezo🤣🤣 cutting point mpaka 80.
Kwani majibu yashatoka?
 
Waliimu mlisubili kuitwa kwa hamu sana kwenye usaili. Naona saa hii kimyaaa adabu imerejea kwa mtaa.

huna wa kumlaumu kwa kujipima mwenyewe kuwa huwez kufundisha watoto wetu sio😂😂

aya hongera kwa mlio faulu interview na polen mlio fail mjipange mwaka mwingine kuomba nafasi zikitoka.

mliobaki jiandaeni vizuri wale psprs sio mchezo mchezo🤣🤣 cutting point mpaka 80.
degree itaenda 95 kupanda
 
Wajomba wanauliza kuanzia form one hadi chuo kikuu huyo mwalimu atakae master content zote izo atakuwa roboti hakiamungu
Watakaofaulu wengi n wale walimu waliokua wanajitolea ama waliopo shulen ila waliokua mtaaani hawatoboi
 
Watakaofaulu wengi n wale walimu waliokua wanajitolea ama waliopo shulen ila waliokua mtaaani hawatoboi
Anaejitolea anafundisha level mahsusi mfano o level tena darasa moja tu tuseme form two

Sasa pepa ina maswali 25 yamegawanywa kwa level form one matatu, form two mawili, form three, four, five na six hadi chuo hapo utafaulu vipi?
 
Haya walimu Wa kiswahili Waliopata kuanzia 70 watu 775 kati ya 23,426

Kweli Mtihani hauna cha professional wala students
 
😂 Waalimu wanadhalilika huku 😂

Screenshot_20250127-191605.png
 
Back
Top Bottom