Mbaga Jr
JF-Expert Member
- May 28, 2018
- 29,028
- 69,666
Haipiti kwa mwanasheria, n saini yako tuuHivi Jaman naona barua iliyosainiwa ni Saini hii ya kwangu au na yenyewe inapita kwa mwanasheria
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haipiti kwa mwanasheria, n saini yako tuuHivi Jaman naona barua iliyosainiwa ni Saini hii ya kwangu au na yenyewe inapita kwa mwanasheria
Kuna mtu ana Bachelor of arts with education ndivyo cheti chake kimeandikwa hvy, ila amebobea kwenye History and English ambayo naona kwenye system haipo.Bonus kwa wenye masomo mawili na mfumo ukayatambua kwa pamoja:
Mfano: Bachelor of Education in Geography and Kiswahili.
Hapo unaweza kuapply masomo yote mawili katika nafasi mbili tofauti.
Hili nimeliona jana wakati namfanyia mtu application.
Nilianza na somo moja, baada ya kumaliza nikaapply somo lingine.
NOTE: Barua zinatakiwa ziwe tofauti, yaani barua ielezee somo husika unaloomba hiyo nafasi.
hii mbona inagoma? niko namuombea mdogo wangu hapa, inaleta job application failedAndika bachelor of arts with education.
the same case wa kwangu amebobea kwenye Kiingereza na kiswahili system inagomaKuna mtu ana Bachelor of arts with education ndivyo cheti chake kimeandikwa hvy, ila amebobea kwenye History and English ambayo naona kwenye system haipo.
Hapo namsaidia vp?
Kuna mtu ana Bachelor of arts with education ndivyo cheti chake kimeandikwa hvy, ila amebobea kwenye History and English ambayo naona kwenye system haipo.
Hapo namsaidia vp?
soma hapaSet namna hii..
Kama wewe ni Mwalimu wa Mathematics halafu kipindi upo Chuo kozi yako iliitwa Bachelor of Science with/in Education lakini ukaspecialize kwenye Mathematics.
Sasa hapo Ajira portal andika BACHELOR OF EDUCATION IN MATHEMATICS kwenye sehemu ya professional qualification.
Ukimaliza pale apply hutapata shida tena.
Pia kama ulisoma masomo mawili ya kufundisha andika (mfano)
Bachelor of Education in Geaography and Kiswahili
Bachelor of Education in Physics and Mathematics
Bachelor of Education in Chemistry and Biology
n.k
Weka hiyo uone itakuwajethe same case wa kwangu amebobea kwenye Kiingereza na kiswahili system inagoma
shukrani mkuu imekubali, na kwa maana hiyo mhusika anaweza akaomba nafasi mbili yaani ya kiswahili na kiingereza sio?Weka hiyo uone itakuwajeView attachment 3048658
System itamkataa jaribushukrani mkuu imekubali, na kwa maana hiyo mhusika anaweza akaomba nafasi mbili yaani ya kiswahili na kiingereza sio?
Kama nimesoma BED ADEC au PPM ambapo masomo yangu ya kufundishia Geography na HISTORY nafanyaje.Set namna hii..
Kama wewe ni Mwalimu wa Mathematics halafu kipindi upo Chuo kozi yako iliitwa Bachelor of Science with/in Education lakini ukaspecialize kwenye Mathematics.
Sasa hapo Ajira portal andika BACHELOR OF EDUCATION IN MATHEMATICS kwenye sehemu ya professional qualification.
Ukimaliza pale apply hutapata shida tena.
Pia kama ulisoma masomo mawili ya kufundisha andika (mfano)
Bachelor of Education in Geaography and Kiswahili
Bachelor of Education in Physics and Mathematics
Bachelor of Education in Chemistry and Biology
n.k
sawa nitajaribu na baadaye ngoja nipambane na yangu kwanzaSystem itamkataa jaribu
Hawafanyi siku moja mkuu saili zikianza zinaendeshwa wiki 1 mpaka 2 kumbuka saili zitafanyika kwa siku moja na muda mmoja kwa walimu wa somo moja mfano kiswahili tarehe 1 saa moja asubhuhi,somo lingine saa 4 ,math tarehe 2 n.k nadhani umeelewaHivi kweli wataweza kuwafanyisha interview watu zaidi ya laki 3? Hizo computer watazitoa wapi? Kama interview itakuwepo basi watachukuliwa wachache sana na sio wote waliomba.
Afya na elimu ina jobless zaidi ya laki 3 ambao wastani kwa mkoa ni watu 12,000 ambapo walimu tu wanaweza kuwa 8,000 kwa kila mkoa.
Sasa ili Hawa watu wafanye interview kwa siku moja inabidi inabidi mkoa uwe na computer 1000 ili computer moja ihudumie watu 8 kwa siku nzima.
Lakini pia hata kwenye mahojiano inabidi kuwepo na panels nyingi sana maana mtu mmoja anaweza kutumia dk 20 mpaka 30 kwenye mahojiano, maanake siku nzima panel itahoji watu 15~20.
Mchakato huu huenda ukatumia bajeti kubwa sana.
Ungekuwa unapatia wasingeweka kosa maana huo mfumo ume link na database ya NIDA"sehemu ya kujaza personal details ambapo kabla ya chochote lazima uweke namba ya NIDA , shida inakuja nikiiweka namba ya NIDA na kujibu maswali kadhaa ya uthibitisho kuwa ni namba yangu, nayapatia kabisa ila Ajiraportal wanaweka alama za kosa". mwenye ujuzi hapa
Nashangaa sana account yangu ni geographia lakini nikiingia kuomba inakataa inanipeleka kwenye kilimo ndio inakubali alafu kwenye Kiswahili inaniambia already applied. Hahaha ngoja niachane nazo kichwa kinauma.nimesoma arts programme name nimejaza inayosoma kwenye certificate lakini bado wanakataa mawaachia kazi zaoNdio IIIA hao mkuu.
IIIB- Diploma
IIIC- Bachelor
Ukisusa wenzao wala😀 hii pia ni chujio namba mojaNashangaa sana account yangu ni geographia lakini nikiingia kuomba inakataa inanipeleka kwenye kilimo ndio inakubali alafu kwenye Kiswahili inaniambia already applied. Hahaha ngoja niachane nazo kichwa kinauma.nimesoma arts programme name nimejaza inayosoma kwenye certificate lakini bado wanakataa mawaachia kazi zao
Hilo hakuna tatizo mkuu,wengi tuko hivyo vyeti vyetu viko na majina mawili ila NIDA matatu na account yako itasoma majina matatu ya kwenye NIDAWakuu majina kwenye vyetu vya taaluma Ni mawili ila kwenye NIDA ambayo nimetumia kufungua account ajira portal Ni matatu...hapa hii changamoto inakauje ,Kwa aliyekutana nayo akabahatika kuitwa kwenye hata usaili huko ajira portal huwa wanachukua majina yapi matatu au mawili tu ?
Mkuu nimesoma bachelor of education in adult education and community development. Nilipoomba ikawa inakataa kwamba Job application failed. Nikasoma comment za wana JF humu nikabadilisha bachelor of education in Geography and History nikajaribu kuomba ikakubali na kweli nimesoma masomo hayo,sasa hapa nikiomba haitaleta utata kweli au niombe tu watachagua waoHilo hakuna tatizo mkuu,wengi tuko hivyo vyeti vyetu viko na majina mawili ila NIDA matatu na account yako itasoma majina matatu ya kwenye NIDA
Hivi unafikri walimu waliopo mtaani ni wachache? Yaani interview ya somo moja uwafanyie siku moja? Mfano walimu walisomea Kiswahili wapo 50000 utawafanyia interview siku 1, wafanye written, practical na oral kwa siku moja?Hawafanyi siku moja mkuu saili zikianza zinaendeshwa wiki 1 mpaka 2 kumbuka saili zitafanyika kwa siku moja na muda mmoja kwa walimu wa somo moja mfano kiswahili tarehe 1 saa moja asubhuhi,somo lingine saa 4 ,math tarehe 2 n.k nadhani umeelewa