DR HAYA LAND
JF-Expert Member
- Dec 26, 2017
- 23,928
- 63,499
Mfumo tayari umefungwa ? Nauliza maana kuna MTU anajaribu kuomba anashindwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
badoMfumo tayari umefungwa ? Nauliza maana kuna MTU anajaribu kuomba anashindwa
Alikuwa wap siku zote hizo?Mfumo tayari umefungwa ? Nauliza maana kuna MTU anajaribu kuomba anashindwa
Unaujua mshahara wa mwalimu lakini au unaongea utumbo uonekane na wwBinafsi naombea interview ipigwe ili angalau tupate walimu wazuri maana kuna watu wanaajiriwa mpaka unashangaa kama ni mwalimu kweli.
Alikuwa wap siku zote hizo?
Acha uongo wewe ajiraportal hawajaanza leo hili zoezi la kusimamia sahili…Kama mchakato utafuatwa mchakato utakamilika mwakani mwezi wa 2~4.
Kukagua viambatanisho kwenye mfumo miezi 2, kuandaa orodha na kuita watu kwenye interview mwezi 1 interview ya written, practical na oral miezi ( ndo ndo muda mwingi utatumika)
Kwenye practical na oral mtu mmoja anatumia dk30~45 sasa kwa siku moja watatumia panel itahoji watu 10~15.
Kuhoji watu 1500 zitahitajika panel 100 sawa na watu 300.
Watu wa afya na waalimu wasipofanya interview aisee roho yangu itauma sana 😂Acha uongo wewe ajiraportal hawajaanza leo hili zoezi la kusimamia sahili…
Interview lazima mmpige
Mshahara unahusianaje na kufanya interview?Unaujua mshahara wa mwalimu lakini au unaongea utumbo uonekane na ww
Usingeweza kuapply bila kufanya declaration. Hiyo tick kwenye box inaonyesha tayari umefanya declaration. Kabla ya hapo box huwa wazi kabisa.Wazee hapa kwenye declaration kuna aliyefanikiwa ku blue tick?
Maana option naona haipo liveView attachment 3059903
Mshahara wa mwl unahusika na nini uwezo wa mwalimu?Unaujua mshahara wa mwalimu lakini au unaongea utumbo uonekane na ww
Sijapenda 😎ZIMEONGEZWA SIKU 6
Unataka ufanywe mbaya na walimuSijapenda 😎
Je kuna walioitwa??Umejaza profile yako vizuri Mkuu?
Maana inashauriwa ili uitwe kwenye interview profile yako walau ifike kuanzia asilimia 75 kwenda juu.
Ukiwa below Kuna possibility kubwa usiwe unaitwa kushiriki hizo interviews
Sina taarifa Mkuu, japo ukitembelea website ya wizara ya Utumishi huwa wanatoa updateJe kuna walioitwa??
Sina taarifa Mkuu, japo ukitembelea website ya wizara ya Utumishi huwa wanatoa update
Wanapigwa Paipu ? fafanua kidogo lugha ina ukakasi yaani MWALIMU Boniface kaijage wa physics akapigwe paipu buhigwe??Angalizo walimu mtakaoajiliwa mkiwa halmashauri kusaini mikataba badae huko vituoni, Ajira mpya ni sawa na mwaka wa kwanza chuo yaani wanapigwa paipu ni balaa.