Voice of Tanzania
JF-Expert Member
- Sep 23, 2018
- 2,036
- 3,107
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Amini kwambaWanapigwa Paipu ? fafanua kidogo lugha ina ukakasi yaani MWALIMU Boniface kaijage wa physics akapigwe paipu buhigwe??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Amini kwambaWanapigwa Paipu ? fafanua kidogo lugha ina ukakasi yaani MWALIMU Boniface kaijage wa physics akapigwe paipu buhigwe??
Ndiyo huwa wanatoa taarifa za kuitwa Kazini pamoja na matangazo ya UsailiWizara ya utumishi?
Kuna nini huko wakuu?
Ah sasa kwann wameongeza siku aisee, hao n waalimu wanapaswa kuendana na mfumo. Kama wanashindwa kuendana na mfumo wataweza kutoa ujinga wa watoto wetu kweli.Unataka ufanywe mbaya na walimu
Mbona mie sijaona huo muda walioongeza kiongozi?Ah sasa kwann wameongeza siku aisee, hao n waalimu wanapaswa kuendana na mfumo. Kama wanashindwa kuendana na mfumo wataweza kutoa ujinga wa watoto wetu kweli.
Ah Mm sijui, kuna jamaa hapo juu ndo amesema hvyMbona mie sijaona huo muda walioongeza kiongozi?
muongo window closedAh Mm sijui, kuna jamaa hapo juu ndo amesema hvy
Wameziweka ajira portal ajira kibaoAh Mm sijui, kuna jamaa hapo juu ndo amesema hvy
😁😁 anawachangamsha tuumuongo window closed
😁😁 anawachangamsha tu😁😁😁
Hawajaongeza yule jamaa aliamua kuchangamsha tu😂😂 kama mzee T -PainAh sasa kwann wameongeza siku aisee, hao n waalimu wanapaswa kuendana na mfumo. Kama wanashindwa kuendana na mfumo wataweza kutoa ujinga wa watoto wetu kweli.
mwijaku kwenye moja na mbiliSitaki kuamini kama kuna mwalimu yeyote kashindwa kufanya application kwa sababu zilizo katika uwezo wake.PSRS na TAMISEMI mmefanya la maana sana na ajira zote za waalimu na afya zitoke kwa mfumo huu miaka yote.Hallaaaa kimewalamba waalimu
hallaaa😁utumishi roho nyeusi sana bora hata polisi portal waliongeza sikuHawajaongeza yule jamaa aliamua kuchangamsha tu😂😂 kama mzee T -Pain
Ht mkiongezewa mwaka mzima hamtomalizahallaaa😁utumishi roho nyeusi sana bora hata polisi portal waliongeza siku
😂😂😂komasavaHt mkiongezewa mwaka mzima hamtomaliza
Hapana soon tuAfya naona hawajaitwa interview,,hizi ajira hadi kutoka labda December
Kwahy afya wameshaitwa kazini?Afya naona hawajaitwa interview,,hizi ajira hadi kutoka labda December
Hizi unasoma miaka mitatu na aumaliziWalimu ambao mnajiandaa na usaili wa written.
Ntawapa mambo ya kuzingatia maana Mimi nimefanya mara kadhaa usaili katika shule za private.
Anza kusoma haya mambo👎🏽
Curriculum and syllabus
Lesson plan
Scheme of work
Teaching Aid
Teaching method
Teacher philosophy
Media and technology in teaching
Counselor and guidance in teaching