Serikali yatenga Shilingi Bilioni 34 kujenga Makumbusho ya Marais Dodoma

Serikali yatenga Shilingi Bilioni 34 kujenga Makumbusho ya Marais Dodoma

Kwanza swali la msingi la kujiuliza, hivi hiyo proposal imepita Bungeni??

Au ndiyo kama kawaida yake Mama, kugawa pesa za walipa Kodi wa nchi hii kama njugu?🙄

Kama anavyofanya wakati huu za kulipa magoli ya Simba na Yanga, milioni 5 Kwa pesa zetu walipa Kodi!😭
Ilishapita hiyo Iko kwenye bajeyinayoendelea na utekelezaji.

Haya mambo ya kipuuzi sijui ni nani Huwa anayaanzisha.

Harafu Wanasiasa ni wanafiki sana,Sasa hapo Kwa Sokoine mlikuwan mnafanya nini ikiwa hakuna anaefuata utaratibu wake?
 
Kwa kuwa barabara kuu ya Dar Chalinze ni Lango kuu la Taifa lonaloungenisha mikoa mingi sana nchini na nchi za jirani,

Na kwa kuwa siku hizi barabara imeelemewa sana kiasi Kwamba kila mara magari na abiria kukwambia kwa masaa zaidi ya 6 na kuendelee kukwama bila kwenda mbele hata hatua moja,

Na kwa kuwa wananchi wamekuwa wakisema wana gosh wa na hali ilivyo ya hiyo barabara miaka ya zaidi ya 60 ya Uhuru ,

Je ni lini barabara hii itawekewa bajeti na kipaombele ijengwe kwa hataka kutokana na hali kuwa mbaya kila siku afadhali ya jana?
 
Serikali imetenga Shilingi bilioni 34 kwa ajili ya utekelezaji wa mradi wa Makumbusho ya Marais nchini, unaotarajiwa kujengwa katika eneo la Mtumba, Dodoma. Mradi huo utatekelezwa kwenye eneo lenye ukubwa wa ekari 50 na unalenga kuhifadhi kumbukumbu za viongozi wakuu wa nchi pamoja na historia ya taifa.

Akizindua kitabu cha aliyekuwa Waziri Mkuu wa Tatu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Edward Moringe Sokoine (MAISHA NA UONGOZI WAKE) JNICC, Jijini Dar es Salaam Rais Samia amesema kwa kuanza mwaka huu zimetengwa zaidi ya Sh. Bilioni 1 ili kuanza utekelezaji.
Wafanyakazi mwezi wa Tatu huu hakuna ANNUAL INCREMENTS ambazo tuliahidiwa lakini pia ni haki yetu kiutumishi, Halafu pesa zinatumika Kwa mambo ya kijinga tu
 
Hii nchi hela zinachezewa sana aisee 34B kwa ajili ya makumbusho ya Marais ya nini, impact yake ni nini kwa mwananchi wa kawaida!?


Huo mzigo kama ungewekwa ili kukopesha vijana ni maisha ya vijana kiasi gani yangebadilika ambao sasa hivi wanastruggle na ajira na mitaji hawana na wala hawakopesheki na b
Ndiyo vipaumbele vya taifa hivyo
 
Nawaza hiyo pesa yote kingejengwa chuo kimoja cha ufundi stadi veta si ingetosha kuweka miundo mbinu yote!!
 
Back
Top Bottom