ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
Ilishapita hiyo Iko kwenye bajeyinayoendelea na utekelezaji.Kwanza swali la msingi la kujiuliza, hivi hiyo proposal imepita Bungeni??
Au ndiyo kama kawaida yake Mama, kugawa pesa za walipa Kodi wa nchi hii kama njugu?🙄
Kama anavyofanya wakati huu za kulipa magoli ya Simba na Yanga, milioni 5 Kwa pesa zetu walipa Kodi!😭
Kama mlitumian Trilioni 12 Kwa Ajili ya Sgr ya Dar-Dom hata hizo wajengee tuu maana hii Nchi hainaga mipango Wala vipaombeleHizo ni kilomita 30 za barabara ya lami. Zingejenga barabara ya Masasi - Nachingwea kwa asilia 85
Wafanyakazi mwezi wa Tatu huu hakuna ANNUAL INCREMENTS ambazo tuliahidiwa lakini pia ni haki yetu kiutumishi, Halafu pesa zinatumika Kwa mambo ya kijinga tuSerikali imetenga Shilingi bilioni 34 kwa ajili ya utekelezaji wa mradi wa Makumbusho ya Marais nchini, unaotarajiwa kujengwa katika eneo la Mtumba, Dodoma. Mradi huo utatekelezwa kwenye eneo lenye ukubwa wa ekari 50 na unalenga kuhifadhi kumbukumbu za viongozi wakuu wa nchi pamoja na historia ya taifa.
Akizindua kitabu cha aliyekuwa Waziri Mkuu wa Tatu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Edward Moringe Sokoine (MAISHA NA UONGOZI WAKE) JNICC, Jijini Dar es Salaam Rais Samia amesema kwa kuanza mwaka huu zimetengwa zaidi ya Sh. Bilioni 1 ili kuanza utekelezaji.
Yes, mpira ni biashara na una vyanzo vingi vya mapato,mtu ananunua magoli? Kwanini asijenge vyoo vya Shule?Hata kununua magoli ni upuuzi sana.
Ndiyo vipaumbele vya taifa hivyoHii nchi hela zinachezewa sana aisee 34B kwa ajili ya makumbusho ya Marais ya nini, impact yake ni nini kwa mwananchi wa kawaida!?
Huo mzigo kama ungewekwa ili kukopesha vijana ni maisha ya vijana kiasi gani yangebadilika ambao sasa hivi wanastruggle na ajira na mitaji hawana na wala hawakopesheki na b
Ziko kama zile za kununua magoliHivi hzo hela hua ni kutoka bajeti ipi?!! maana bajet ya 2024 to 2025 tayari ishapita…