Serikali yatimua wanafunzi UDSM

Serikali yatimua wanafunzi UDSM

Rev i do have the same argument.I was born and rised in Mlimani, i know source kubwa ya migomo ni kitivo cha uhandisi. Why? That is the question ninalo jiuliza miaka nenda miaka rudi. uhandisi suppose to be soma soma limited.

I think its a time UDSM kiwe private then government iwe inatoa scholarship to those who qualified. I think we need to do that, i think itarudisha heshima ya Mlimani. Hakuna haja ya kuwalipia ada wasela, watu walikwenda pale mlimani kwa nia nyingine, either iwe ni kusaka wapenzi au kula ruzuku na kucheza pool kwenye cafteria zao kule mabibo hostel.

Let return the respect ya Mlimani.

Kama wewe ulizaliwa na kukulia mlimani na unaandika hii poor english basi unaabisha chuo chako. Kuna wengi waliosoma mlimani ambao wanaomba hata usiseme kuwa uliishi ubungo maana unaaibisha
 
tatizo lipi? matatizo yaliyopita kwa taarifa yako most of the yalipatiwa suluhu kwa njia hii hii ya mgomo. Kwa hili la sasa tatizo halijawekwa bayana so suluhu itapatikanaje?
kulindana? inaonyesha wewe ndio uyelijua sana hili ni vyema ungesema tu ukweli unamlinda nani.

Wewe ulikuwepo UDSM hiyo 1990s, acha kukomalia mambo bila kujua kiini. Haya kumbusha kilichowakuta kina Mbatia na uwataje hao wenzie ni kina nani.

kuitana majina sio nia njema, hao unaowaambia waache UNAZI unafikiri wanafurahia kuitwa hivyo? then unawataka waseme, waseme nini ilhali wewe unajua kila kitu na unachokijua wewe ndio sahihi? usiwafanye watu wajinga hapa, kukaa kimya sio kushindwa hoja, sometimes ni kuepuka kupewa jina.

MkamaP,

Achana na huyu mama maana ni relation officer wa UD. Sijui mwafrika wa kike yuko wapi aje kukomesha wapambe wa mafisadi wanaolipwa na serikali kutetea ufisadi kama huyu mama.
 
Hujui hata tatizo moja lililopatiwa suluhisho!hapo unathibitisha jinsi unavyochukulia mambo juu juu. Hebu toa hizo statistics hapa kama unazo. Kila mgomo una chanzo chake. Tumia akili kufikiri. Unadhani watu hawajui kuita hayo majina, na wewe una uhakika gani kama bado hujaitwa jina. Kuheshimu uhuru wa mawazo yako hata kama ni mawazo mgando hupewi jina, however jina lako utajipa mwenyewe kwa vile wewe ni bingwa wa kutoa majina.

Mbona na wewe hujatoa suluhisho au statistics hapa?
 
Usinifanishe kabisa and on top of that you wont take my dignity, hujui hata maana ya kuita majina asiyejua maana haambiwi maana, kaa hivyo hivyo kalaghabaho. Sina muda wa kukupa jibu maana huelewi king'ang'anizi we. Ufisadi unazidi nchi hii kwa watu wenye akili mnato na ambao ubongo wao uko machoni kama vile wewe. Unataka watu wakupe suluhisho badala ya kulitafuta suluhisho, we wa kutafuniwa. Mtafute Mukandala umuulize tatizo ni nini na mdiscuss suluhisho.

Wewe ndio msemaji wa Mukandala hapa kwa hiyo ndio utaulizwa utoe majibu kwa niaba yake.
 

Kwa wale wanaodhani migomo na maandamano katika vyuo vikuu ni kwetu tu hebu someni hapa:

1) Wanafunzi wa vyuo vikuu ndiyo waliongoza maandamao,migomo na harakati nyingine kupinga vita vya Vietnam. Katika hawa mmojawapo mashuhuri ni Bw. William Jefferson Clinton.

http://en.wikipedia.org/wiki/Opposition_to_the_Vietnam_War

Kuna wanafunzi walipoteza maisha yao pale Kent State mwaka 1970 katika harakati hizi ( walikuwa wanapinga uvamizi wa Cambodia).

http://en.wikipedia.org/wiki/Kent_State_shootings

Na tusisahau kuwa ni wanafunzi hao hao waliokuwa mbele katika kudai haki sawa na kwa watu weusi. Ni wanafunzi hao hao walioshinikiza vyuo vyao kujitoa katika kuwekeza katika mashirika yanayofanya biashara na serikali ya makaburu wa Afrika ya Kusini. Hii ilichangia kwa kiasi kikubwa juhudi za kuutenga utawala huo dhalimu na hatimaye kudondoka. Na ikumbukwe wanafunzi hao walifanya hivi katika miaka ya 60, maarufu kwa movement ya maHippy wakiweka mbele upendo, amani na utumiaji wa madawa ya kulevya! Jamii iliwaona wahuni tuu lakini ni peke yao waliokuwa tayari kutetea haki ya wanyonge.

2. Nchini ufaransa vyuo vikuu vililipuka mwaka 1968 kupinga utawala wa De Gaulle waliyemwona anawafanya kama watoto wadogo. Inaaminika kuwa huu ndiyo ulichangia kwa kiasi kikubwa mabadiliko katika jamii ya kifaransa kuwa more liberal na tolerant.

http://en.wikipedia.org/wiki/May_1968

hawa waliungwa mkono na wafanyakazi.

Mwaka 2006, wanafunzi wakifaransa waliingia tena mitaani kupambana na mabadiliko ya kiuchumi yaliyokuwa yanapendekezwa na serikali.

http://www.spiegel.de/international/spiegel/0,1518,406865,00.html

3. Wanafunzi wa vyuo vikuu Korea ya kusini wamekuwa kila kukicha wanapambana na serikali yao dhidi ya hali ya kisiasa katika yyao na Korea ya kaskazini pamoja na mengineyo.

Ninachotaka kusema ni kuwa Chuo Kikuu ni mahali pa mapambano ya kifikra. Ukiangalia tena kuwa wengi wanaokuwepo hapo ni wa umri ambapo wanaamini kuwa wanaweza kufanya lolote na watu wazima magoigoi tu na sell-outs to the system( wengi tumepitia hapa) panahitaji busara kubwa kuhakikisha kuwa hizi eneji zao haziwi destructive. Busara hii si katika kuwa confontational maana watajibu mapigo. Busara ni katika kuwapa nafasi kuelezea kinachowakera, na kuwaheshimu kama watu wazima wengine. Hii inajumuisha vile vile kuweka mipaka ambayo itaheshimiwa na kila mwana jumuia ( mwanafunzi na mkufunzi),k.m. masuala ya unyanyasaji wa kijinsia( mzee panch na wenziwe). Ulaya, Marekani baada ya vurugu za miaka ya sitini wametambua hili, ndiyo maana hausikii migomo ya mara kwa mara. Sisi, kwa bahati mbaya, bado tumejikita katika mtazamo wa miaka sitini, kudai heshima kwa nguvu. hata kwa mtoto wako ukifanya hivi hautafika mbali. Sembuse wa mwingine!

Nadhani wanafunzi wa uhandisi wamekuwa mstari wa mbele kwa hili kwa sababu kuna wakati ni wao tu na wakina mama waliokuwa makiingia chuoni moja kwa moja kutoka JKT (Musoma Resolution). Hao wengine walibidi wafanye kazi kwa miaka miwili kabla ya kuingia chuoni hivyo walijikuta washaonja system. Wahandisi walikuwa bado naive wakiamini bado kuwa wanaweza kupambana na system. Wengine walikuwa na toom much to loose. hii pengine imeendelea mpaka leo. I however stand to be corrected maana hizi ni speculations tu maana sijawahi kupitia hapo UDSM!

Hapa umewakata kidomodomo wote waliokuwa wanatoa mifano ya vyuo vya nje kuwa hakuna migomo. Kuna watu wanatia aibu kabisa hapa na sijui wanalipwa kiasi gani (hasa huyu anajiita mama) kuja hapa kutetea ufisadi?
 
Hapa umewakata kidomodomo wote waliokuwa wanatoa mifano ya vyuo vya nje kuwa hakuna migomo. Kuna watu wanatia aibu kabisa hapa na sijui wanalipwa kiasi gani (hasa huyu anajiita mama) kuja hapa kutetea ufisadi?


hah hah hapana bwana, jenga hoja acha vioja.

kidomodomo ni tusi.

hii web ni ya watu wote sio UD alumina

ukubali mawazo ya wengine, heshima ni muhimu bwana watu humu wana familia!!! kama unampinga tumia hoja. hujawahi kuhudhuria workshops za wasomi nini?
 
Wanafunzi Wa UDSM wanatakiwa kuendeleza mgomo ili kushinikiza tena hao 300 kurudishwa.Welldone kwa kazi mlioifanya maanake siku nne zilizopita mlikua mnatafuta ushauri.

Narudia tena fuateni procedure zile zile tena kwa nguvu kubwa zaidi tumwone huyo kada muuaji akifanya tena presscomference eti tumeamua kufunga chuo.Na sisi wananchi ndipo tutakapoinuka kummulika yeye mwenyewe.

Mpaka hapo nawapongeza sana.Halafu FFU wa hapo nyumbani nadhani ni kama marobot maanake hayatumii akili.
 
Mpaka sasa,

Press conference za Muuaji, fisadi na dikiteta Rwekaza Mukandala hajatoa sababu zozote za kutetea kitendo chake cha kuingilia demokrasia ya wanafunzi wa chuo kikuu na kuwanyima uhuru wao wa kuchagua viongozi wao wanaowapenda.
 
wamegoma kwasababu, demokrasia ya wao kuchagua viongozi wa serikali ya wanafunzi wawatakao imepindishwa, wamegoma kwasababu tatizo la maji limekuwa sugu, wamegoma kwasababu umeme unakatika hovyo, lift hazifanyi kazi....mgomo huu ni halali! kama unadhani kukosa calculator ni jambo dogo, basi lazima una matatizo na wanaozihitaji ni wale ambao hawapo pale kwa degree ya history, otherwise maisha ni magumu sana kwa sayansi students bila calculator.

hayo mambo ya pombe, bangi na ngono ni vitu vya kawaida vyuoni dunia nzima! sasa kama hujafanya hayo(kwa walioamua kufanya) wakati ukiwa chuo, watayafanya hayo wakiwa wapi?? ile baa ya wanafunzi ipo kwa ajili ya nani? au ni urembo tu? argument nyingine hapa ni za kilevi kushinda hao wanafunzi mnaowaita walevi!! tuwe wakweli jamani......

YNIM,

Kugoma shule kwa ajili ya calculator ni kitu cha kijinga na kipumbavu sana.

Wewe uko Marekani, calculator alikupa nani? si uliinunua mwenyewe? je ulipewa ruzuku? hapana!

Tatizo la UDSM si kilio cha kusema hakuna maji, kama ni hivyo, basi nchi nzima igome kufanya kazi! Kama ni umeme kukatika katika, basi nchi nzima igome kufanya kazi na kuamka!

Unasema, haki yao ya kuchagua Serikali imepindwa, je imepindwa vipi? ushahidi gani ulioko kuwa Uongozi wa Chuo ulifanya kwa kusudi kubatilisha uchaguzi na kuzuia yule Mwanafunzi Mganda?

This is what I see of UDSM and its problems. There is high degree of arrogance which is accompanied with extreme childish behavior in the name of haki zetu!

This has been the culture of UDSM student acting as if they are special priviledged group in our country. The fact that most of students do not want to work hard and earn any money to support themselves, and pay for their tuition, food books and supplies, tells kila mwananchi kuwa there is something wrond with our "intellectuals"!

People need to get real; nothing is for free anymore. I would not be suprised that wataandamana kwa kuwa hawajapewa sabuni na vyoo havna toilet paper!

Wakati kina Mwabulambo na wazee wengine walipoleta mgomo in 70s, they had a cause that was relevant.

Hata migomo iliyokuja baadaye, si yote ilikuwa ya msingi.

Nailaumu Serikali kwa kulea na kuendekeza ugonjwa huu wa kitabia ambao unazorotesha maendeleo ya elimu na maendeleo ya Taifa letu. Hii dhana ya kuwa tegemezi kwa kila kitu inabidi ifutwe. Kelele za kudai sisi ni watoto wa masikini au wakulima zizimwe na zisipewe nafasi hata kidogo kusikilizwa.

It is time that scholarships be awarded to those who trully deserve them. Either you have to receive scholarship due to supreme perfomance on your "A" levels or there is a solid proof that you can not afford to borrow money from Serikali to foot your own school expenses.

Why should I entertain the thought that my tax money is being wasted by ungrateful kids? I have a battle fighting mafisadi using my tax money, but now I have to fight with spoiled bratts?

Get mkopo, get a job, pay for your own damn calculator. If the elevators are not working use the staircase, it is a good exercise!
 
YNIM,

Kugoma shule kwa ajili ya calculator ni kitu cha kijinga na kipumbavu sana.

Wewe uko Marekani, calculator alikupa nani? si uliinunua mwenyewe? je ulipewa ruzuku? hapana!

Asilimia zaidi ya 80 ya wanafunzi wa vyuo vikuu marekani wanapata mikopo ambayo ina guarantee ya federal govt kwa hiyo wanakuwa na uwezo wa kununua calculator na mengine wanayohitaji.

Tatizo la UDSM si kilio cha kusema hakuna maji, kama ni hivyo, basi nchi nzima igome kufanya kazi! Kama ni umeme kukatika katika, basi nchi nzima igome kufanya kazi na kuamka!

Kama wasipogomea ukosefu wa maji na umeme, then watagomea nini kama wananchi wa kawaida hawana mtu wa kuwaorganize kugoma? Kumbuka kuwa serikali inalipa mabilioni kwa Dowans na Kiwira bila sababu yoyote. Huoni kama kuna sababu ya kushinikiza serikali kutoa huduma hizi?

Unasema, haki yao ya kuchagua Serikali imepindwa, je imepindwa vipi? ushahidi gani ulioko kuwa Uongozi wa Chuo ulifanya kwa kusudi kubatilisha uchaguzi na kuzuia yule Mwanafunzi Mganda?

Ukisoma thread zote zilizoanzishwa na wanafunzi hapa kipindi kile cha uchaguzi huu utagundua kuwa chuo hakikutoa sababu yoyote ya kuingilia uchaguzi wa wanafunzi.

hata kama ni hivyo, kuna sababu yoyote inayoweza kuhalalisha uongozi wa chuo kuingilia na kusimamisha uchaguzi mkuu wa wanafunzi wa chuo kikuu?

This is what I see of UDSM and its problems. There is high degree of arrogance which is accompanied with extreme childish behavior in the name of haki zetu!

This has been the culture of UDSM student acting as if they are special priviledged group in our country. The fact that most of students do not want to work hard and earn any money to support themselves, and pay for their tuition, food books and supplies, tells kila mwananchi kuwa there is something wrond with our "intellectuals"!

Ukishaona kuwa madai ya wanafunzi ni childish, unakuwa tayari umefunga mlango wa kuchambua kama kinachodaiwa kina sense or not.

People need to get real; nothing is for free anymore. I would not be suprised that wataandamana kwa kuwa hawajapewa sabuni na vyoo havna toilet paper!

Wakati kina Mwabulambo na wazee wengine walipoleta mgomo in 70s, they had a cause that was relevant.

Hata migomo iliyokuja baadaye, si yote ilikuwa ya msingi.

Kwa argument yako, I think all pple should get real and privatize everything coz there is nothing for free anymore in TZ

Nailaumu Serikali kwa kulea na kuendekeza ugonjwa huu wa kitabia ambao unazorotesha maendeleo ya elimu na maendeleo ya Taifa letu. Hii dhana ya kuwa tegemezi kwa kila kitu inabidi ifutwe. Kelele za kudai sisi ni watoto wa masikini au wakulima zizimwe na zisipewe nafasi hata kidogo kusikilizwa.

Mzee naona unaongea kama a pure republican ambao pamoja na rants zao bado wanatoa elimu bure kwenye capitalist nation kama USA

It is time that scholarships be awarded to those who trully deserve them. Either you have to receive scholarship due to supreme perfomance on your "A" levels or there is a solid proof that you can not afford to borrow money from Serikali to foot your own school expenses.

Una namba ya watu wangapi Tanzania wanaweza kulipa milioni moja tuition na milioni moja matumizi kwa mwaka ili kupata elimu ya juu?

Kwa nchi ambayo watu wengi wanamake a dollar or less a day. How is this possible?

Why should I entertain the thought that my tax money is being wasted by ungrateful kids? I have a battle fighting mafisadi using my tax money, but now I have to fight with spoiled bratts?

You should be glad that your tax money is used by university stundents and not by Chenge and his friends.

Get mkopo, get a job, pay for your own damn calculator. If the elevators are not working use the staircase, it is a good exercise!

Unaongea kama vile ni rahisi sana hapo Tanzania kupata mkopo au kazi ya kufanya haya unayosema.
 
YNIM,



If the elevators are not working use the staircase, it is a good exercise!

Ni wewe Rev?

Wanagoma nini? Kama mkate hakuna si wale keki? Umeonyesha kujali sana tax payers money. Hivi wewe kama mlipa kodi unakubali jengo la umma liwekwe lift mbovu kwa pesa yako kwa hoja tu wapandaji watumie ngazi wafanye mazoezi? Hutauliza where is my money?

PM
 
UDSM wametumia njia muafaka kwani hakuna njia nyingine ya kuwaface hawa madikteta zaidi ya civil disobidience.People's power at work
 
nchii hii watu wanawaona wanafunzi kama watoto wadogo.ndio maana muda wote wana-generalize kuwa "wanafunzi wanafanya hivi na hivi kwa sababu ya utoto".
mie naona ni udikteta.na hii mijiwazo ya kijinga kama hii sio ya kuiachia ikomae kwenye media.
wanafunzi wakiwa chuo kikuu ni watu wazima,wanaweza oa,wanaweza kupiga kura wanaweza ku hata KUGOMBEA UBUNGE!!gadaaaaaaaaaaaaamn it what more do u want 2 prove here..,sio watoto hao,just because wewe uliwahi kuzaliwa sio sababu ya kuwaona watu wote uliowazidi umri ni watoto.
mie ninavyofahamu after 18.its just not acceptable kumuita mtu mtoto.maana ni kumvunjia heshima.mbona vibaka wakiiba au wabakaji mnawahi kuwa-destinct agewise ili mwafunge??stupid double standards!!
jibuni hoja nyie,sio mnakimbilia ku-generalise kila kitu.miprofesa mizima mnashindwa kufanya research za maana kuleta alternative income mavyuoni kazi kuita wanafunzi watoto.
GROW UP YOU profesors!
 
Sheria ya majengo ina sema Ghorofa likizidi 4 floors lina hitaji lift.
So in this situation lift is a necessity, na italeta efficiency kwa masomo yao. Maana wakipanda na ndo mpaka ghorofa ya kumi, then akifika huko kachoka, hivyo hatoweza kusoma immediately , hivyo kupoteza muda wa kufanya shughuli endelevu
 
Sheria ya majengo ina sema Ghorofa likizidi 4 floors lina hitaji lift.
So in this situation lift is a necessity, na italeta efficiency kwa masomo yao. Maana wakipanda na ndo mpaka ghorofa ya kumi, then akifika huko kachoka, hivyo hatoweza kusoma immediately , hivyo kupoteza muda wa kufanya shughuli endelevu

August,

Asante sana kwa kudokeza hili. Kuna watu wanataka kabisa kufanya hawa vijana waonekane hamnazo bila sababu ya msingi. Hawa vijana wana madai mazuri na so far angalau wanasimamia haki zao.

Hii ni fight ngumu na hapa huu ni mtihani mwingine kwa Kikwete kuonesha kama anajali masilahi ya watanzania.

Jiulize swali moja tu, mafisadi wanaiba mabilioni, serikali inachukua miaka na miaka kufanya uchunguzi hata pale vitu kama Richmond vinapoonekana wazi kabisa.

Wanafunzi wanatuhumiwa kufanya fujo, inachukua masaa machache tu kuwafahamu na kuwakamata na kisha kuwafikisha mahakamani bila hata ya kusubiri uchunguzi ufanyike.

Swali,

je Tanzania ina double standards kwenye legal proceedings?
 
huyo rev hapo juu ndio sababu tanzania niipendayo haitaendelea milele.people are so comfortable with problems,people have no hope for better,or they havent seen better.with their small naive minds they take UDSM as the best place a person can be.let me tel you something rev et al.hiyo UD unayoiona kama mbinguni bado kabisa yani,its not even near Middle school standards kwa wenzetu.sasa kwa kuwa kuna wale "nimezaliwa tanzania,nimekulia tanzania,nimesomea tanzania,nimefanyia kazi tanzania,etc etc " basi wanaona UD,mabibo kama vile ndio a heaven for tanzania Youths!get over it.that place is way under par,and it needs a lot of fixes,ili ifikie hata kiwango cha kuombea maji maana hapo kilipo kinatia huruma.sasa sioni ni kwa sababu gani mabadiliko nayo yanawekewa zengwe.how can UD improve its standard kama hata maji hakuna??hao wanafunzi mnataka waweke ma-housegalz wa kuwachotea maji??mnataka wasioge??ebo!wakitoka hapo na elimu duni mnawaaambia walikuwa walevi!!nani aliwaambia drinking bear ina relation na ability au IQ ya mtu??how come a person over 18 anakuwa questioned for consuming alcohol??then mbona hata hizo baa ni nyie maprof ndio mnaziweka??sasa tuwaeleweje??get over yourselves..,
IF ANYBODY THINKS UD IS BETTER and IT DOESNT DESERVE IMPROVEMENT then that person is not the right person to speak for anyone in Tanzania.
HAITAKII MEMA TANZANIA YETU.
 
Asilimia zaidi ya 80 ya wanafunzi wa vyuo vikuu marekani wanapata mikopo ambayo ina guarantee ya federal govt kwa hiyo wanakuwa na uwezo wa kununua calculator na mengine wanayohitaji.

Umeshasema ni mkopo, which means it will be paid back!
Kama wasipogomea ukosefu wa maji na umeme, then watagomea nini kama wananchi wa kawaida hawana mtu wa kuwaorganize kugoma? Kumbuka kuwa serikali inalipa mabilioni kwa Dowans na Kiwira bila sababu yoyote. Huoni kama kuna sababu ya kushinikiza serikali kutoa huduma hizi?

Demonstrations is their right, destruction and vandalism is not! If that is the case, then the whole nation should rise and destruct everything, refuse to engage in any dialogue and civil rampage and vandalism should take place until water and electricity supply are fixed!


]Ukisoma thread zote zilizoanzishwa na wanafunzi hapa kipindi kile cha uchaguzi huu utagundua kuwa chuo hakikutoa sababu yoyote ya kuingilia uchaguzi wa wanafunzi.
hata kama ni hivyo, kuna sababu yoyote inayoweza kuhalalisha uongozi wa chuo kuingilia na kusimamisha uchaguzi mkuu wa wanafunzi wa chuo kikuu?

If I recall, the Ugandan fella was kicked out due to eligibility. In addition, there is a division between students due to their political party affiliation.

Ukishaona kuwa madai ya wanafunzi ni childish, unakuwa tayari umefunga mlango wa kuchambua kama kinachodaiwa kina sense or not.

Yes the arguments presented to me by YNIM and the overal outcry is based in immaturity and most likely delibarate movement to ignore proper protocals. Emotions are running on nitro and thus everyone has blinders and believe that "wanaonewa" sana. They were asked politelly to go back to their classes, they were asked to stand down, they refused and started creating a havoc! Now if our "intellectuals" are failing to have moral and ethical conduct to justify their "intellectual status", then how do you expect we are going to groom a nation of people who abide to the laws and behave in civil manners? Isn't that childish behaviour?


Kwa argument yako, I think all pple should get real and privatize everything coz there is nothing for free anymore in TZ Mzee naona unaongea kama a pure republican ambao pamoja na rants zao bado wanatoa elimu bure kwenye capitalist nation kama USA

Isn't that the reality now that we can not afford freebies any more? I can vauch for freebies for primary education and to some extent health care. We are trying to lump our anger on being underdeveloped due to efforts to create a welfare state, but now we have decided to drop the Ujamaa tunes, we are still struggling to admit that it is time we get real and act like the capitalists we pretend to be. In fact even in US, however affordable college education is, it is not free! Ndiyo maana kuna mikopo, scholarhips, na grants na kila wakishamaliza shule na degree zao, priority za kwanza na deni kubwa ni student loans.

It is only in elementary and secondary education, where Americans have freedom to go to school for free. Also in special cases, once a proof has been established, a student from either poor family or special needs will receive scholarship and a grant. However it does not cover everything including toilet paper. Ndio maana kuna work studies na watu wanafanya kazi McDonalds.

Soma maoni ya Katabazi anavyozungumzia jinsi gani Marehemu Dito alikwenda Chuo Kikuu huku akifanya kazi ya uchuuzi sokoni! Why is it hard for Mwanafunzi wa Tanzania katika chuo kufanya kazi hata kama ni kuwa waiter pale UDASA club akapata tips, au kuwa utingo wa daladala? are those jobs beneath his or her social status of elitism and intellectualism?

]Una namba ya watu wangapi Tanzania wanaweza kulipa milioni moja tuition na milioni moja matumizi kwa mwaka ili kupata elimu ya juu?
Kwa nchi ambayo watu wengi wanamake a dollar or less a day. How is this possible?

You are talking numbers? what is the capacity of first year entry seats at UDSM? How many students can not afford to pay upfront or obtain a loan to be repaid once they graduate and secure a job with their degree?

There is a need to roll back responsibility to each and everyone. UDSM should be a place where fiscal responsibility is being taught by telling these kids they get mkopo and atashikwa shati akipata cheki ya kwanza ya mshahara. If we do not reform the attitudes and the thinking of these kids, guess what they will graduate with sense of being entitled and follow the foot steps of Chenge and Karamagi of not being responsible and they will continue to look for shortcuts to make ends meet!

Yes there is a need to reform Bodi ya Mikopo and the whole philosophy of how Bodi ya Mikopo ya wanafunzi should work and criteria to be used. That is being reserved for anothe discussion.

You should be glad that your tax money is used by university stundents and not by Chenge and his friends. Unaongea kama vile ni rahisi sana hapo Tanzania kupata mkopo au kazi ya kufanya haya unayosema.

There is a fight against the likes of Chenge, and we are becoming winners everyday. However if we do not rol back accountability and fiscal responsibility to our UDSM students, guess what, they will soon join rank and file of he Karamagi, Chenge and others.

I would have expected these "intellectuals" would have come up with Azimio to demand Bodi ya Mikopo be reformed, I would have expect that this group of the so called elites would have come with better methods, scientific and quantitative to present their case to Mukandala and company so that they could not be perceived as whinners!

But strange childish behaviour has been demonstrated. Vandalism, physical fights, getting suspended, loosing time for a calculater and elevetor?

Dada yangu, sometimes we have to set our emotions aside in the midst of our anger for reforms and be objective. The whole UDSM 2008 saga lost its directions and objectivity when whomever decided to storm residence of Mkuu wa Chuo. That was simply probable cause for UDSM administration to stop the dialogue and call on FFU!

Lets fight intelligently, we will win, if we succumb to emotions and become subjective, the one who gets hurt is ourselves.
 
huyo rev hapo juu ndio sababu tanzania niipendayo haitaendelea milele.people are so comfortable with problems,people have no hope for better,or they havent seen better.with their small naive minds they take UDSM as the best place a person can be.let me tel you something rev et al.hiyo UD unayoiona kama mbinguni bado kabisa yani,its not even near Middle school standards kwa wenzetu.sasa kwa kuwa kuna wale "nimezaliwa tanzania,nimekulia tanzania,nimesomea tanzania,nimefanyia kazi tanzania,etc etc " basi wanaona UD,mabibo kama vile ndio a heaven for tanzania Youths!get over it.that place is way under par,and it needs a lot of fixes,ili ifikie hata kiwango cha kuombea maji maana hapo kilipo kinatia huruma.sasa sioni ni kwa sababu gani mabadiliko nayo yanawekewa zengwe.how can UD improve its standard kama hata maji hakuna??hao wanafunzi mnataka waweke ma-housegalz wa kuwachotea maji??mnataka wasioge??ebo!wakitoka hapo na elimu duni mnawaaambia walikuwa walevi!!nani aliwaambia drinking bear ina relation na ability au IQ ya mtu??how come a person over 18 anakuwa questioned for consuming alcohol??then mbona hata hizo baa ni nyie maprof ndio mnaziweka??sasa tuwaeleweje??get over yourselves..,
IF ANYBODY THINKS UD IS BETTER and IT DOESNT DESERVE IMPROVEMENT then that person is not the right person to speak for anyone in Tanzania.
HAITAKII MEMA TANZANIA YETU.


acheni kudanganya watu, yaani UD haina hata hadhi ya middle school? middle school gani za tanzania unazozungumzia. Umefika vijiji vya mkoa wa Mara? barabara ni shida, itamchukua mama mjamzito muda wa masaa zaidi ya mawili kwenda kutafuta maji! si afadhali hata nyie hapo kwenu yanatoka mara kadhaa! kwa nini msinunue ndoo nyingi kama wafanyavyo wakazi wa tabata ambao maji yaweza yatoke hata kwa muda wa miezi mitatu.

Nyie wanafunzi kufika hapo chuo ndio isiwe sababu ya kusahau kule mlipooka. Ningewaunga mkono kama mngegoma ili mama zenu kule kijijini wapate umeme na maji waache kuhangaika kutafuta pesa ya mafuta ya taa, ingalau kule vijijini wapate barabara nzuri ili wapate kusafirisha mazao yao wapate lau pesa ya sabuni.

Je wewe umesoma kwa shule ya St Mary au St Kayumba? Kama unasoma St Mary ujue mzazi wako alifanya ufisadi ndio akaweza kukulipia ada millioni mbili kwa mwaka wacha pocket money anayokupa. Kwa aliyesoma St Kayumba naona na alivumilia kula ugali na maharage mabobu na kunywa uji usio na sukari kwa miaka miwili au zaidi, nakwenda kuchota maji ya kupikia na kusafisha choo nadhani haya anaweza kuyavumilia.

Tafuteni haki kwanza haki ya kuboresha maisha vijijini then ndo mtake haki ya kuboresha mazingira hapo UD. Upigeni vita ufisadi then na sie wanakijiji tutawaona kuwa nyie ni wakombozi wetu na umuhimu wenu tutauona na tutawaunga mkono kuoigania kuboresha miundo mbinu hapo chuo.
 
kishoka bwana....maneno miiingi, halafu unaongea kama upo kwenye mars!! mzee tunaongelea bongo, ambako unemployment ipo kwenye roof!! hizo McD zipo ngapi? kuwa utingo unafikiri ni virahisi?
kuna points nzuri umetoa, lakini kiujumla una simplify hii issue kupita kiasi.....hivi unajua bei ya scientific calculator pale bongo? je katika boom na mikopo mingine wanaweka na mahesabu ya calculator?.....wewe unaongelea vitu ideal wakati sie tunaongelea vitu real! baadhi ya proposals zako ni totally impossible ktk tanzania ya leo.

vijisenti vya Chenge pale Jersey ni nuff, kununua calculators na kufix elevators zote pale UDSM......hivi ni chepi hasa ambacho ni kigumu?

Wanafunzi wa chuo hapo ndio wanajifanya kama vile baada ya kupata admission wamekuwa wazungu! piganieni maisha bora kwa kila mtanzania. Kama mnajua kuwa hao mafisadi ndio wanaofanya maisha yenu yakuwa magumu, kwa nini msiandamane kuelekea bungeni wakati kikao kilikuwa kinaendelea muwaeleze wabunge waongeze fungu kwenye bajeti.

Je unajua kwamba kuna shule za msingi na sekondari hazina vitabu na kuna baadhi zina mwalimu mmoja na huyo mwalimu ndio anafundisha masomo yote? na huyo mwalimu akisafiri kwenda kufuatilia mshahara wake kiranja mkuu ndio anachukua jukumu la ualimu ha kwa zaidi ya wiki moja? tujadili haya kwani ni nyie wanafunzi mnaomaliza kwenye vyuo mkipangiwa kazi vijijini hamtaki kwenda kisa maisha magumu, sasa nani atayafanya mazuri msipoyapigania?
 
acheni kudanganya watu, yaani UD haina hata hadhi ya middle school? middle school gani za tanzania unazozungumzia. Umefika vijiji vya mkoa wa Mara? barabara ni shida, itamchukua mama mjamzito muda wa masaa zaidi ya mawili kwenda kutafuta maji! si afadhali hata nyie hapo kwenu yanatoka mara kadhaa! kwa nini msinunue ndoo nyingi kama wafanyavyo wakazi wa tabata ambao maji yaweza yatoke hata kwa muda wa miezi mitatu.

Nyie wanafunzi kufika hapo chuo ndio isiwe sababu ya kusahau kule mlipooka. Ningewaunga mkono kama mngegoma ili mama zenu kule kijijini wapate umeme na maji waache kuhangaika kutafuta pesa ya mafuta ya taa, ingalau kule vijijini wapate barabara nzuri ili wapate kusafirisha mazao yao wapate lau pesa ya sabuni.

Je wewe umesoma kwa shule ya St Mary au St Kayumba? Kama unasoma St Mary ujue mzazi wako alifanya ufisadi ndio akaweza kukulipia ada millioni mbili kwa mwaka wacha pocket money anayokupa. Kwa aliyesoma St Kayumba naona na alivumilia kula ugali na maharage mabobu na kunywa uji usio na sukari kwa miaka miwili au zaidi, nakwenda kuchota maji ya kupikia na kusafisha choo nadhani haya anaweza kuyavumilia.

Tafuteni haki kwanza haki ya kuboresha maisha vijijini then ndo mtake haki ya kuboresha mazingira hapo UD. Upigeni vita ufisadi then na sie wanakijiji tutawaona kuwa nyie ni wakombozi wetu na umuhimu wenu tutauona na tutawaunga mkono kuoigania kuboresha miundo mbinu hapo chuo.


we chakubanga mie sio mwanafunzi,and yeah i wasn't talking about tanzanians MIDDLE schools,ayt??

soma vizuri,na kama una haraka sana dont comment.au una haraka sana??

hao wanafunzi hawapo hapo walipo kwa kuwa they dont deserve it.they do,that is almost 15 years of giving up for simple luxuries.so at least they deserve that tap water!!for your information tape water and electricity ain't laisures BUT your corrupt leaders are making you 2 belive that.
no wonder electricity is still luxury in TZ because chengez and lowasaz are offshoring cash for buying proper equipments needed to bring electricity.

wake up!!
 
Back
Top Bottom