Serikali yatimua wanafunzi UDSM

Serikali yatimua wanafunzi UDSM

kishoka bwana....maneno miiingi, halafu unaongea kama upo kwenye mars!! mzee tunaongelea bongo, ambako unemployment ipo kwenye roof!! hizo McD zipo ngapi? kuwa utingo unafikiri ni virahisi?
kuna points nzuri umetoa, lakini kiujumla una simplify hii issue kupita kiasi.....hivi unajua bei ya scientific calculator pale bongo? je katika boom na mikopo mingine wanaweka na mahesabu ya calculator?.....wewe unaongelea vitu ideal wakati sie tunaongelea vitu real! baadhi ya proposals zako ni totally impossible ktk tanzania ya leo.

vijisenti vya Chenge pale Jersey ni nuff, kununua calculators na kufix elevators zote pale UDSM......hivi ni chepi hasa ambacho ni kigumu?


Idealism? si tunamlaumu Nyerere kwa kushindwa kufanya vitu viwe practical? sasa nafasi tunayo tunatoa sababu eti "hali halisi"!

We need to be creative bwana to become successful. We have been a dependent nation, kiasi kuwa tumekuwa wavivu wa kuwa wabunifu.

Tayari unalalamika kuwa Utingo si kazi rahisi, sasa iweje iwe kazi rahisi ya Utingo imshinde msomi? Hivi hawa jamaa wasomi wakienda na kuanza kuthamini Ubamedi na Utingo si watajifunza mambo mengi tuu kama hawatapata kazi za maofisini au viwandani?

Lets say siku yako darasani ni saa 1 asubuhi mpaka saa 8 mchana, halafu huna lolote zaidi ya kubukua na homework. Ukienda kuwa konda/utingo pale Mwenge kwa masaa manne, si pumziko tosha huku ukijifunza hata hiyo kazi na kujua biashara ya vipanya inafanywaje na mapato yake yanaweza kuwa makubwa kiasi gani (mind you kuanzia saa 9 mchana mpaka saa 1 usiku ni rush hour Dar)?

Au kama hilo halitoshi, si kuna tenda kila siku za kusafisha maofisi, mazingira na vitu vingine ambavyo vinahitaji mtaji mdogo wa pesa na zaidi ni nguvu kazi? Sasa kama RevYNIM wakianzisha kakamppuni kao ka kusafisha ofisi na madarasa na kuwasilisha tenda kwa UDSM au ESRF na maofisi mengine, si hapo tunajifunza biashara na kupata pesa za kukidhi mahitaji?

Labda mwisho niseme hivi, niko Uhandisi, darasa limekweisha nakwenda pale zamani palikuwa panaitwa IPI, naanza kuchora mashine yangu ya kusukuma maji kwa kubanjua mashine mbovu na kutumia vipuri. Sasa kama nimeweka mawazo chanya na nguvu za ubunifu si nitapata kuelimika kwa kujua ninachosoma kwa nadharia na kukifanya kwa vitendo an si kusubiri chuo kikifungwa niende field work?

"Akili tunazo, tunazikalia"!
 
acha kuwajaza wafunzi ujinga, wewe ndio unachangia wale wanafunzi kufukuzwa chuo, ungewapa ushauri mzuri wenye kujenga. Na watakukumbuka maisha yao yote kama ikitokea wakakutwa na hatua kwa kusoma uliyokuwa unayaandika hapa kuwasisitiza waendelee kugoma.

Wala usifanye mimi kuwa part ya ufisadi na udikiteta aliofanya Mukandala. Kumbuka kuwa mimi nilikuwa kimya nikipambana na kina Chenge kabla huyo muuaji mukandala hajaingilia uchaguzi huru wa wanafunzi.

Sihusiki na suala la kufukuzwa wanafunzi na wala usitafute mtu kwa kulaumu kwa vitendo vya uonevu na ujangili ambavyo Mukandala amefanya dhidi ya mama mjamzito na wanafunzi wengine wasio na hatia
 
nina haraka si unajua hapa internet cafe na muda unaenda. Je unajua kuwa asilimia zaidi ya 50 ya watanzania hawana access ya umeme, na asilimia zaidi ya hiyo haina maji unayoyaita tape water? kitu gani maalum kwa hao wanafunzi walichonacho hadi kusema kuwa wenyewe ndio wana haki zaidi ya kuwa na maji ya bomba kuliko wantanzania wengine wowote?

pole.

wako pale UDSM kulitumikia taifa,the same way JWTZ wanavyolitumikia TAIFA.hao wanafunzi wa UDSM na vyuo vingine ndio future ya tanzania if u realy know what i mean.sorry but thats the real truth.they not only deserve attention but they deserve care.
and since they aren't getting any..,look where our country is heading.
 
JAMANI TUWE WAKWELI KATIKA HILI JAMBO, TUSIWE WACHOCHEZI WA MIGOMO BALI TUWAELEKEZE HAO WANAFUNZI NJIA MUAFAKA YA KUTATUA HILI TATIZO, JAZBA HAIJENGI MARA NYINGI HUBOMOA.

IDUMU VITA DHIDI YA MAFISADI (pia mafisadi wa kifikra)
 
hao wanfunzi wana kila sababu ya kupigania kwa haki za wazazi wao ambao wengi wao hawajasoma. Ninachouliza kama kweli hao wanafunzi wanauchungu na ufisadi kwa nini wanakuwa selfish na kupigania hayo wanayoyaona ni shida hapo chuo (ambapo hawatakuwa hapo kwa zaidi ya miaka minne) na kwamba watakutana nayo kwa kipindi kilichobaki cha maisha yao huko mitaani. Kwa nini wasigome kwa kuishinikiza serikali kuboresha miundo mbinu yote vijijini badala ya kulipa kampuni hewa mabilioni ya pesa?

Wanafunzi wametoa matamko mengi na hata kufikia kuandamana kupinga ufisadi. Inaonekana wewe ulikuwa sijui wapi wakati haya yakitokea
 
Soma vizuri utaiona.

Wewe unaonekana unapuuzia yote waliyofanya viongozi wa wanafunzi pale walipomshinikiza Kikwete kuwashughulikia mafisadi na vile walivyoshiriki kwenye kongamano la siku ya vijana na wakatoa matamko mbalimbali kuitaka serikali kushughulikia maswala ya watanzania.

Take time kuona kazi nzuri waliyofanya hawa ambao muuaji, dikiteta na fisadi Mukandala anawaita wavuta bangi.

na pia wewe unapuuzia yote waliofanya viongozi wa wanafunzi pale waliposhnikiza wanafunzi wenzao kupinga mgomo kwa kutamka kuwa ni mgomo batili. si ndio hao hao unaowageuka?
 
ninakupinga kwa sababu tatu;

1. kusema kuwa amekulia mlimani ni sentensi tata ambayo wewe kama mchangiaji ulipaswa kuona kama likuwa mtoto wa mkazi ya maeneo hayo, whether ni mfanyakazi or the opposite, na alikuwa anaenda kusoma shule za nje kama mlimani primary school, hata shule za secondary kama makongo ila mienendo mizima ya wanachuo alikuwa anaiona.

2. pili inawezekana amesoma hata mlimani, UDSM, na kipimo cha elimu sio Lugha kama wewe unavyotaka tuamini

3. hata hivyo, inawezekana ni typing error, maana sijaona tatizo kama vile grammar n.k.

kwa hiyo hukupaswa kutoka kwenye mada kama kweli wewe ni makini na kuanza kudeal na vitu irrelevant ambavyo havina uhusiano na hili.

ningekuwa wewe ningemuomba radhi, ila ninajua huwezi maana sio mara yako ya kwanza kutumia alibacrum.

Soma vizuri threads za mtanganyika na utaona akisema kuwa amesoma mlimani
 
pole.

wako pale UDSM kulitumikia taifa,the same way JWTZ wanavyolitumikia TAIFA.hao wanafunzi wa UDSM na vyuo vingine ndio future ya tanzania if u realy know what i mean.sorry but thats the real truth.they not only deserve attention but they deserve care.
and since they aren't getting any..,look where our country is heading.

kama wenyewe tu ndio wanataka care, wananchi wengine wenye maisha duni zaidi ya hao wanafunzi hao chuo inakuwaje. Hao wanafunzi wamepandishiwa kiwango cha posho kwa siku, watakuwa wanalipwa 10,000 kwa siku kwa wiki 17 za semista. Je ana hali gani mwananchi wa kijijini ambaye pato lake la mwaka mzima halizi 400,000. Kumbukeni watanzania walio wengi wana kipato cha chini ya dola moja kwa siku.
 
Wala usifanye mimi kuwa part ya ufisadi na udikiteta aliofanya Mukandala. Kumbuka kuwa mimi nilikuwa kimya nikipambana na kina Chenge kabla huyo muuaji mukandala hajaingilia uchaguzi huru wa wanafunzi.

Sihusiki na suala la kufukuzwa wanafunzi na wala usitafute mtu kwa kulaumu kwa vitendo vya uonevu na ujangili ambavyo Mukandala amefanya dhidi ya mama mjamzito na wanafunzi wengine wasio na hatia

hata ukikataa, maandishi yako humu hayajafutika na sidhani kama yatafutika.
 
UTASUBIRI NINI WAKATI WATU TAYARI WAMEFUNGIWA KWENYE LIBRARY, MADARASANI NA HATA KUPIGWA ETI KWA SABABU HAWAKUBALIANI NAO?

TANZANIA DAIMA YA LEO IMEMKWOTI SHIVJI AKIWASHAURI WANAFUNZI KUWA INABIDI KUJIFUNZA KUGOMA KWA MAMBO AMBAYO WATAPATA SUPPORT KUTOKA KWA WANANCHI.( nadhani alitaka kusema sio kupata support kutoka kwa akina Mwafrika wa kike maana watawapoteza. emphasis is mine)
Mwafrika wa kike sio mwananchi?Falsafa za CCM kuwa wananchi ni wana CCM peke yao?Shivji nafikiri pia alikuwa akimaanisha "jambo forums"Taifa ni la wote..we all have high stakes in the well being of our country's educational institutions..for its the core point of democracy,hope leadership and progressive minds that if propely utilized(instead of always opposing)..can yield to a more prosperous Nation.
That together we can build a trully free nation that defends and respects its citizens while using its resources for the benefits of "THE PEOPLE"
This will include providing them with appropriate social needs in order to facilitate their educational enviroments hence facilitate their ability to sustain their objectives!
That will be a lot more better than just sending the so called "vijisenti" to overseas accounts where it benefits no body neither does it play any role in any constructive ways on our national interests!
 
acha kuwawajaza jazba vijana wa chuo, waelekeza, watu kama nyie ni hatari sana kwa jamii kama mkiendelea na mwelekeo huu. Nilikusifu sana katika kuupigia kelele ufisadi na sio siri katika watu walionivutia nikajiunga na huu ukumbi ni wewe. Lakini nimesikitishwa na kauli zako katika hili.

Kama ulizani mimi nafanya hapa kupata sifa toka kwa watu kama wewe basi inabidi uende sehemu nyingine. Hapa ufisadi unakemewa kwa kila level kuanzia ya kitaifa hadi ya kwenye chuo kikuu.

Najua hapa lazima utanitukana au kunipiga kibao lakini habari ndio hiyo. Umeandika ushauri ambao wanafunzi waliouchukua na kuufanyia kazi watajuta katika maisha yao kama ikitokea wafukuzwa chuo, au wakatakiwa kudahiliwa upya.

Mimi nimeanza kuchangia hapa after facts. Sikuanzisha hii thread na sio mimi nilimtuma Mukandala kuingilia uchaguzi huru wa wanafunzi kabla ya kuleta polisi na kupiga mama mjamzito bila sababu yoyote ile.

BTW mie sio mtetezi wa mafisadi kwani najua mwenyewe ni jinsi gani mafisadi wameniathiri na hali yangu ya maisha naijua mwenyewe. Siwapendi na siwataki mafisadi.

Maneno yako yaonesha otherwise

Kwa nini hao vijana wa chuo huwa hawagomi bunge lisipofanyia kazi matatizo yao?

Wamegomea mengi sana na inaonekana hukuwa makini kipindi hicho
 
lakini ninasikia wameresume masomoni.

je wamefuata ushauri wa nani?

hata wale waliopigwa na polisi kule Buzwagi juzi wakati wakipinga makazi yao kuchukuliwa na wakoloni wamenywea na kuiachia serikali ya kimabavu ya Kikwete ifanye uonevu vile inataka.

Nani atapambana na nguvu ya polisi na uonevu hapo Tanzania?
 
Idealism? si tunamlaumu Nyerere kwa kushindwa kufanya vitu viwe practical? sasa nafasi tunayo tunatoa sababu eti "hali halisi"!

We need to be creative bwana to become successful. We have been a dependent nation, kiasi kuwa tumekuwa wavivu wa kuwa wabunifu.

Tayari unalalamika kuwa Utingo si kazi rahisi, sasa iweje iwe kazi rahisi ya Utingo imshinde msomi? Hivi hawa jamaa wasomi wakienda na kuanza kuthamini Ubamedi na Utingo si watajifunza mambo mengi tuu kama hawatapata kazi za maofisini au viwandani?

You need to be real Rev,

hizo kazi za utingo ni ngapi kuwatosha wanafunzi maelfu wa chuo kikuu?

Lets say siku yako darasani ni saa 1 asubuhi mpaka saa 8 mchana, halafu huna lolote zaidi ya kubukua na homework. Ukienda kuwa konda/utingo pale Mwenge kwa masaa manne, si pumziko tosha huku ukijifunza hata hiyo kazi na kujua biashara ya vipanya inafanywaje na mapato yake yanaweza kuwa makubwa kiasi gani (mind you kuanzia saa 9 mchana mpaka saa 1 usiku ni rush hour Dar)?

Au kama hilo halitoshi, si kuna tenda kila siku za kusafisha maofisi, mazingira na vitu vingine ambavyo vinahitaji mtaji mdogo wa pesa na zaidi ni nguvu kazi? Sasa kama RevYNIM wakianzisha kakamppuni kao ka kusafisha ofisi na madarasa na kuwasilisha tenda kwa UDSM au ESRF na maofisi mengine, si hapo tunajifunza biashara na kupata pesa za kukidhi mahitaji?

Hizo kazi zenyewe zinapatikana, kumbuka kuwa hata mamilioni ya wakazi wa Dar wanazimendea hizo kazi vile vile sio tu kupata pesa za kusomesha watoto wao bali pia kupata chakula na kulipia mamilioni ya dola kwa Richmond

Labda mwisho niseme hivi, niko Uhandisi, darasa limekweisha nakwenda pale zamani palikuwa panaitwa IPI, naanza kuchora mashine yangu ya kusukuma maji kwa kubanjua mashine mbovu na kutumia vipuri. Sasa kama nimeweka mawazo chanya na nguvu za ubunifu si nitapata kuelimika kwa kujua ninachosoma kwa nadharia na kukifanya kwa vitendo an si kusubiri chuo kikifungwa niende field work?

"Akili tunazo, tunazikalia"!

Haya yote yatafanyika kama serikali itaacha kulipa makampuni hewa na kuweka hizo pesa hapo chuoni ili wanafunzi wasome vizuri bila matatizo na bila kuuingiliwa uhuru wao na dikiteta, fisadi na muuaji mukandala.
 
JAMANI TUWE WAKWELI KATIKA HILI JAMBO, TUSIWE WACHOCHEZI WA MIGOMO BALI TUWAELEKEZE HAO WANAFUNZI NJIA MUAFAKA YA KUTATUA HILI TATIZO, JAZBA HAIJENGI MARA NYINGI HUBOMOA.

IDUMU VITA DHIDI YA MAFISADI (pia mafisadi wa kifikra)

So far naona aliyeleta FFU kupiga mama mjamzito na wanafunzi wengine wasio na hatia baada ya kuwa amengilia uhuru wao wa kuchagua viongozi wao ndio ameleta jazba.
 
kwa wanafunzi jamani chonde, ni vyema kugoma lakini muwe na sababu ya kushawishi wananchi wote. Msijipendelee tu nyie kama vile ndio binadamu wenyewe hapa tanzania. Piganieni kwa nguvu zote maisha bora kwa kila mtanzania sio maisha bora kwenu tu. Na pia msifanye vurugu za kuharibu mali na mchambue kila ushauri mnaopewa, sio kuchukua kila ushauri.

Na kwa chuo tafadhali muwashauri hawa vijana ipasavyo, na muwaache waendelee na kuchagua viongozi wanaowataka, wachukulieni hawa kama watoto wenu wa kuwazaa na kwamba ndio watakuwa viongozi wa kesho, wengine wakawa mabosi wenu hapo baadae.

IDUMU JF
 
kishoka bwana....maneno miiingi, halafu unaongea kama upo kwenye mars!! mzee tunaongelea bongo, ambako unemployment ipo kwenye roof!! hizo McD zipo ngapi? kuwa utingo unafikiri ni virahisi?
kuna points nzuri umetoa, lakini kiujumla una simplify hii issue kupita kiasi.....hivi unajua bei ya scientific calculator pale bongo? je katika boom na mikopo mingine wanaweka na mahesabu ya calculator?.....wewe unaongelea vitu ideal wakati sie tunaongelea vitu real! baadhi ya proposals zako ni totally impossible ktk tanzania ya leo.

vijisenti vya Chenge pale Jersey ni nuff, kununua calculators na kufix elevators zote pale UDSM......hivi ni chepi hasa ambacho ni kigumu?

out of touch with the reality..,

UKIWA UD huwezi pata huo muda wa kufanya temp labda likizo,na hizo temp hazipo,zilizokuwepo kuzipata hadi utoe rushwa!!
zisizohitaji rushwa tanzania haziitwi TEMP!!hebu acheni matusi jamani,since when kufanya kazi restaurant ni tempo tanzania.i know a bunch of huys living out of dinners!!kwa kifupi kwa nchi yetu kazi hizo hizo hapo juu ni EMPLOYMENT na sio temp!!

pili,kwa jinsi mijiprof ya hicho chuo inavyofuata systems za mwaka 47 haiwezi jenga mwanafunzi mbunifu hata kidogo,kwani ukileta ubunifu you are destined to fail.

mzazi gani anataka mwanae awe-dicontinued kwa kuwa alijaribu kuw ambunifu wa kubuni system ya maji??

haya mambo ya ubunifu ni kazi za graduate students under research centers za Universities husika na sio undergraduate,kwani kozi za undergraduate hasahasa engineering zinasisitiza kwenye basics,hivi mnataka kutufanya waTZ naive kiasi hiki kuwa shida za umeme na maji zitamalizwa na 3rd year students wa ENG dept UDSM??no way!!tanzanians deserve better treatment.

tatu hao maprof ndio kabisa usiseme!!there is no way wakatoa product ambayo ni research oriented wakati wanashindwa hata kuanda mihula based on their own works.yani ni jambo la ajabu basic curiculum ya UDSM haitumii vitabu kutoka UDSM.mnafanya nini hapo??kufuga kuku??

and again,msigeuze shida za wananchi,uzembe wa viongozi kuwa hoja kwenye kutatua matatizo ya wanafunzi.
 
na pia wewe unapuuzia yote waliofanya viongozi wa wanafunzi pale waliposhnikiza wanafunzi wenzao kupinga mgomo kwa kutamka kuwa ni mgomo batili. si ndio hao hao unaowageuka?

Haya ya kushinikiza unayasema wewe hapa lakini report zote zaonesha kuwa FFU walikuja chuoni na kuanza kupiga wanafunzi waliokuwa wanaendelea na maisha yao kama kawaida (akiwemo mama mjamzito ambaye hakuhusika kabisa na hayo maandamano ya amani yaliyokuwa yakiendelea
 
So far naona aliyeleta FFU kupiga mama mjamzito na wanafunzi wengine wasio na hatia baada ya kuwa amengilia uhuru wao wa kuchagua viongozi wao ndio ameleta jazba.

Na pia wanafunzi waache kuongopa eti mwanafunzi kauawa, tuwe wakweli..ndio jazba zenyewe ili kuvuta symphathy ya wananchi. Hasa hasa huku kwetu musoma tumewashtukia kuwa nyie ni wanok nok.
 
kama wenyewe tu ndio wanataka care, wananchi wengine wenye maisha duni zaidi ya hao wanafunzi hao chuo inakuwaje. Hao wanafunzi wamepandishiwa kiwango cha posho kwa siku, watakuwa wanalipwa 10,000 kwa siku kwa wiki 17 za semista. Je ana hali gani mwananchi wa kijijini ambaye pato lake la mwaka mzima halizi 400,000. Kumbukeni watanzania walio wengi wana kipato cha chini ya dola moja kwa siku.

Hao wananchi inabidi wafanye kama kile walichofanya wananchi wa BUzwagi cha kupinga mkakati wa ccm wa kuuza ardhi yao kwa wazungu. Wasimamie haki yao hata kama serikali itatumia mabavu kama kawaida yake na kuwapiga mabomu na vifimbo vya FFU
 
Back
Top Bottom