Serikali yatimua wanafunzi UDSM

Serikali yatimua wanafunzi UDSM

It doesnt matter, serikali ya uongozi wa chuo hauna mamlaka ya kuingilia chaguzi au uendeshaji wa vyama vya wanafunzi.

Who funds students unions? who gives the student unions permision to exist? who reviews Student union charters and bylaws before they are allowed to be used?

University Administration!
 
Who funds students unions? who gives the student unions permision to exist? who reviews Student union charters and bylaws before they are allowed to be used?

University Administration!

BUT, that does not give them power to have a control over day to day running of DARUSO.

With your argument, it is fair for the GOVT to get into CUF's affair. aint it?
 
samahani hivi kwa nini hutaki elewa kuwa hiyo option ya kusoma UDSM au chuo chochote kile TANZANIA while working either part-time or fultime kwenye hizo kazi ulizozitaja ni NGUMU??

hivi unahitaji uelezwe mara ngapi kuwa solution ya matatizo ya finance kwa wanafunzi sio as easy as u imagine htem to be?

Bodi inatakiwa ifanye kazi inavyotakiwa.full stop,huo ushauri unaotoa umepokelewa lakini its very short sighted as per TZ situation.

Inaonekana Rev anatoa suluhisho kama la Lowasa. kurudisha kila kitu back to wananchi wakati mabilioni yakitumika somewhere ili wakubwa wapate vijisenti
 
Who funds students unions? who gives the student unions permision to exist? who reviews Student union charters and bylaws before they are allowed to be used?

University Administration!

BTW,

Big portion ya mapato ya Daruso ni michango ya wanafunzi na sio pesa ya fisadi na muuaji mukandala
 
I may be a frog in the wate hole but you are a grasshopper drawning on the waterhole!

Tukizungumzia Azimio la Arusha na umuhimu wa Kujitegemea, mnalalamika. Mkionyeswha njia za kujitegemea mpate pesa mnalalamika.

Well, welcome to the frog empire and since you are a stubborn grasshopper stuck in the water, you make a perfect dinner for the frogs!

Sidhani kama umeonesha chochote hapa Rev,

Leta data na uoneshe ni kazi kiasi gani zipo Dar na ni wanafunzi wangapi wanaweza kufanya ila kwa sasa hawafanyi.
 
Bi Mdogo,

Opportunity moja kubwa ambayo DARUSO wanapoteza ni kuleta mfumo bora wa elimu. Naongelea hili kwa ujumla ili nijibu maswali yako na ya Kimweri kuwa hakuna nafasi kwa mwanafunzi kufanya kazi akiwa shule.

DARUSO wana nguvu kubwa sana kuweza kushinikiza kubadilishwa kwa mitaala na kuhakikisha kuwa Elimu ya UDSM, inawapa fursa wanafunzi kushiriki katika shughuli za kujenga Taifa na kujipatia kipato.

Mnalalamika ooh, kazi za Ukonda ni ngumu kupatikana. Je DARUSO walikaa chini na kubuni shughuli na kazi ambazo wanafunzi wanaeza kuzifanya? Je kungekuwa na shida gani kwa DARUSO kwenda kwa Mwaibula wa Madaladala Dar na kuomba kuwa na program maalum ya kutoa nafasi za kazi kwa wanafunzi wawe Makonda au makarani?

Wewe si umesoma Marekani? Umefanya kazi kusafisha vyumba, choo, jikoni, Library, IT, maintenance, McDonald, Nursing home na kwingine kwingi including Target, Walmart, Sallys beauty na ile kazi ya telemarket.

Je uliwezaje kupata nafasi kwenda shule na kufanya kazi hizo na hata ukahitimu? Naamini ulipokwenda kufanya kazi, hukuenda kwa nyogo au makidai ukiwa umebenua pua na kifua kwa kujiita msomi.

Kwa nini unafikiri UDSM inashindwa kuwa gurudumu la mabadiliko ya jamii? Ni kutokana na kuwa tegemezi na kushindwa kujituma.

Nimetoa alternatives kadhaa za kumsaidia huyu Mwanafunzi Masikini, lakini majibu yamekuwa ni ya "visingizio" na si tathmini na kusema, well, this is possible. Na especially kwako wewe Dada yangu ambaye unakwenda shule huku Marekani na kupiga janta, nilitegemea ungetumia mazingira uliyoko na kujiuliza ni vipi tunaweza badilisha mazingira ya Tanzania ili mwanafunzi wa Chuo aweze kusoma na kuwa kibarua kujipatia pato la ziada.

Au ni kwa kuwa Reverend mzalendo mwenzetu kalisema, basi halina nguvu sana ikiwa wafadhili hawajalisema?

There is a need to be creative and use all resources to our advantage. We have not made an attempt to take advantage of UDSm competetive advantage, but we have succumb to surrendering and blame Serikali and System.

Angalia Mchaga na Mpemba wanavyosakanya pesa. Nenda East and Central utakuta Mchaga anatengeneza pesa. Kigezo ni shida za nyumbani, uhaba wa ardhi migombani, hivyo anajituma kwenda kutumia maarifa kujipatia pato. Wanapoanza kuneemeka, tunawaita Mangi na Mpemba ni waroho wa pesa hata sauti ya mkasi hushituka.

Why doesn't our society change to be creative and competitive and stop depending so much to the Serikali au wafadhili? Huu utegemezi ndio unaolea unyonyaji na ufisadi for your information!

La mwisho, kwa nini DARUSO hawaku-insist on dialogue mpaka kieleweke? Mukandala alipokataa, walikwenda wizarani? je waliita bodi ya regents wa UDSM kulizungumzia? Je walikwenda kwa Waziri Mkuu au Ikulu kutoa kilio kabla hawajaanza mgomo na fujo?
 
...very interesting! hii thread imekuwa complicated sana by now!!

...Rev, slowdown kidogo! hivi huoni kama huyo chura ana advantage? unazidi kuupanua huu mjadala....fairness, kushika mpini kwa serikali ya chuo si sababu ya ku-prune watu kikandamizi!!.

MWK,
hiyo media spin ya Mukandala ndio matunda ya kumpa Mark Penn a-run university!!.

YNIM,

Complicated in what sense?

Yeye ndiye aliniita mimi chura nimekwama kwenye dimbwi, nimemjibu, kwenye dimbwi mimi ni mfalme, yeye ni panzi kaanguka kwenye dimbwi!

Tupo kuelimishana na kujengana. Ni demokrasia tupu hapa inatumika na ni hoja zinazozungumzwa.

Kuna mambo tutaofautiana kimtazamo, basi hatupigani singi na kulabuana makofi, bali twajadiliana kina kwa kina, toe to toe kama Kobe Bryant anavyompeleka Melo na AI shule!
 
Bi Mdogo,

Opportunity moja kubwa ambayo DARUSO wanapoteza ni kuleta mfumo bora wa elimu. Naongelea hili kwa ujumla ili nijibu maswali yako na ya Kimweri kuwa hakuna nafasi kwa mwanafunzi kufanya kazi akiwa shule.

Si kweli kwamba nimesema kuwa hakuna nafasi kwa wanafunzi kufanya kazi wakiwa shuleni. Nimesema kuwa kazi hazipo Dar na Tanzania kwa ujumla ili wanafunzi wafanye.

DARUSO wana nguvu kubwa sana kuweza kushinikiza kubadilishwa kwa mitaala na kuhakikisha kuwa Elimu ya UDSM, inawapa fursa wanafunzi kushiriki katika shughuli za kujenga Taifa na kujipatia kipato.

So far hili linafanyika kila mwaka according to viongozi wa wanafunzi waliopita - muulize Kitila na Zitto

Mnalalamika ooh, kazi za Ukonda ni ngumu kupatikana. Je DARUSO walikaa chini na kubuni shughuli na kazi ambazo wanafunzi wanaeza kuzifanya? Je kungekuwa na shida gani kwa DARUSO kwenda kwa Mwaibula wa Madaladala Dar na kuomba kuwa na program maalum ya kutoa nafasi za kazi kwa wanafunzi wawe Makonda au makarani?

Hili pia sikweli, mimi sijalalamikia kazi ila nimesema kuwa hata hizo kazi za ukonda na mengine hakuna. Umesahau kuwa kuna wakazi mamilioni Dar hawana hata hiyo kazi ya ukonda?

Rev, hivi umeisahau Tanzania mapema hivi?

Wewe si umesoma Marekani? Umefanya kazi kusafisha vyumba, choo, jikoni, Library, IT, maintenance, McDonald, Nursing home na kwingine kwingi including Target, Walmart, Sallys beauty na ile kazi ya telemarket.

Je uliwezaje kupata nafasi kwenda shule na kufanya kazi hizo na hata ukahitimu? Naamini ulipokwenda kufanya kazi, hukuenda kwa nyogo au makidai ukiwa umebenua pua na kifua kwa kujiita msomi.

Kwa nini unafikiri UDSM inashindwa kuwa gurudumu la mabadiliko ya jamii? Ni kutokana na kuwa tegemezi na kushindwa kujituma.

Huko kote nimefanya na wadogo zangu wanafanya lakini je tanzania kuna hizo kazi unazozitaja ili wasomi wafanye? Unaijua kasheshe ya kupata hata kazi ya library pale mlimani?

Nimetoa alternatives kadhaa za kumsaidia huyu Mwanafunzi Masikini, lakini majibu yamekuwa ni ya "visingizio" na si tathmini na kusema, well, this is possible. Na especially kwako wewe Dada yangu ambaye unakwenda shule huku Marekani na kupiga janta, nilitegemea ungetumia mazingira uliyoko na kujiuliza ni vipi tunaweza badilisha mazingira ya Tanzania ili mwanafunzi wa Chuo aweze kusoma na kuwa kibarua kujipatia pato la ziada.

Au ni kwa kuwa Reverend mzalendo mwenzetu kalisema, basi halina nguvu sana ikiwa wafadhili hawajalisema?

Umetoa alternative kama nzuri sana lakini hali ya Tanzania hizo kazi hata kwa waliomaliza ni shida itakuwaje kwa walioko shule?

There is a need to be creative and use all resources to our advantage. We have not made an attempt to take advantage of UDSm competetive advantage, but we have succumb to surrendering and blame Serikali and System.

Angalia Mchaga na Mpemba wanavyosakanya pesa. Nenda East and Central utakuta Mchaga anatengeneza pesa. Kigezo ni shida za nyumbani, uhaba wa ardhi migombani, hivyo anajituma kwenda kutumia maarifa kujipatia pato. Wanapoanza kuneemeka, tunawaita Mangi na Mpemba ni waroho wa pesa hata sauti ya mkasi hushituka.

Yote haya yanafahamika ila kumbuka kuwa unaongelea Tanzania. Au unataka watoto waache shule wawe maustler?

Why doesn't our society change to be creative and competitive and stop depending so much to the Serikali au wafadhili? Huu utegemezi ndio unaolea unyonyaji na ufisadi for your information!

So far, elimu ni kitu cha kutegemea toka serikalini. Hakuna serikali yoyote iliyofanikiwa duniani bila kusomesha vijana wake.

La mwisho, kwa nini DARUSO hawaku-insist on dialogue mpaka kieleweke? Mukandala alipokataa, walikwenda wizarani? je waliita bodi ya regents wa UDSM kulizungumzia? Je walikwenda kwa Waziri Mkuu au Ikulu kutoa kilio kabla hawajaanza mgomo na fujo?

Daruso waliomba haya yote kabla ya kufikia mgomo. Kumbuka kuwa ilichukua karibu wiki moja toka fisadi, dikiteta na muuaji Mukandala aingilie uchaguzi mpaka wanafunzi walipoamua kugoma.

Yeye alikataa kabisa kusikiliza wanafunzi kwa vile anajiona yeye ni Prof na nimshauri wa Kikwete so inabidi anachotaka yeye ndicho kifanyike.
 
...very interesting! hii thread imekuwa complicated sana by now!!

...Rev, slowdown kidogo! hivi huoni kama huyo chura ana advantage? unazidi kuupanua huu mjadala....fairness, kushika mpini kwa serikali ya chuo si sababu ya ku-prune watu kikandamizi!!.

MWK,
hiyo media spin ya Mukandala ndio matunda ya kumpa Mark Penn a-run university
!!.

Mukandala anacheza na moto. JF itamshikia kibano hapa mpaka kieleweke. Kulingana na taarifa ya KLHNEWS, Serikali imebana na imeachia na kuamua kuwafutia kesi hao vijana.

Huu ni mwanzo mzuri.
 
Si kweli kwamba nimesema kuwa hakuna nafasi kwa wanafunzi kufanya kazi wakiwa shuleni. Nimesema kuwa kazi hazipo Dar na Tanzania kwa ujumla ili wanafunzi wafanye.

So it means we are not creative enough to create jobs. We have labor market but no jobs. Is it the sole responsibility of Serikali or society as whole? What is society doing to be creative in creating jobs? What alternatives or programs are being taken to make sure that we have jobs through sole propriatorship, private entities and communities?

So far hili linafanyika kila mwaka according to viongozi wa wanafunzi waliopita - muulize Kitila na Zitto

How do they measure progress? are there any actionable items that have been implemented? if not whose responsibility is to make sure that these plans are executed and guarantee follow up?

Hili pia sikweli, mimi sijalalamikia kazi ila nimesema kuwa hata hizo kazi za ukonda na mengine hakuna. Umesahau kuwa kuna wakazi mamilioni Dar hawana hata hiyo kazi ya ukonda?

I gave a suggestion on Ukonda, mkaniambia I have to be realistic. Sasa my take on this is that kama mimi ni mwanafunzi wa Chuo, I have an advantage kuliko mtu wa darasa la saba. Iweje nishindwe kupata kazi ya mtu wa darasa la saba? Ninaposema mnalalamika, do not take it personally, it not about MwK as a person, but I am talking about UDSM-DARUSO. Yes Dar kuna watu milioni karibu 4, kila mtu ni kuwa mjanja, je ni ubunifu gani unatumika na wasomi wetu kujitafutia kazi?

Rev, hivi umeisahau Tanzania mapema hivi?
Nope sijaisahau hata chembe. Naifahamu sana, nafahamu ukiritimba, mizengwe, ubinafsi, wivu, uhujumu na hata ufisadi. Lakini penye nia pana njia. Ndiyo maana nimekupa mfano wa Mchaga kuchacharika!

Huko kote nimefanya na wadogo zangu wanafanya lakini je tanzania kuna hizo kazi unazozitaja ili wasomi wafanye? Unaijua kasheshe ya kupata hata kazi ya library pale mlimani?

Huko kote wanalipa minimum wage, ulipofanya kazi huko hukuleta ngebe kudai wewe ni graduate au msomi. Ulifanya kazi kwa furaha ukapata pesa zako kukidhi mahitaji. Sitegemei na si kusudio langu kusema Tanzania iwe na Target au Walmart, lakini, je kazi zilizopo wanafunzi wa UDSM wako tayari kwenda kuzifanya hata kama ni kulipwa KCC? Ndio maana nimetumia Ukonda, Bamedi na shughuli nyingine "minion jobs" kama alternatives!

Umetoa alternative kama nzuri sana lakini hali ya Tanzania hizo kazi hata kwa waliomaliza ni shida itakuwaje kwa walioko shule?

Again we are talking about job creativity. Sasa DARUSO katika plan zao wanazungumza vipi na Serikali, Mashirika, Viwanda, Taasisi na makampuni binafsi kuhusu job placement na creation of jobs?

Yote haya yanafahamika ila kumbuka kuwa unaongelea Tanzania. Au unataka watoto waache shule wawe maustler

Nope I do not condone hustling! Hayo ni ya Mponjoli!

So far, elimu ni kitu cha kutegemea toka serikalini. Hakuna serikali yoyote iliyofanikiwa duniani bila kusomesha vijana wake.

Argument si kuwa Serikali isiwe na sera za elimu au kupata Taifa linaloelimika. Suala ni gharama za elimu ni jukumu la nani? Mazingira ya sasa si ya mwaka 1970 wakati wale walikuwa huko walisomwshwa Bure.

Mfumo wa sasa unasema, ukiwa na uwezo kujilipia, njoo, ukiwa huna uwezo wa mali chukua mkopo! kama huna uwezo, je una-qualification za merits kama Academic supremacy au absolute poverty kuwa huna uwezo? Serikali inatoa mikopo, ni lazima irudishwe, sasa kwa nini iwe shida na kazi kuomba mkopo na kufanya commitment kuwa utaulipa?

Tena kwa yule mwenye deni, ndiye atakaye kuwa na jitihada kubwa sana kusoma ili apate kazi alipe deni. Hii ndilo nililokuwa naongelea kuhusu rolling back fiscal responsibility!

Wewe hapa Marekani si umesoma kwa vyote scholarship na student loans, je ulipomaliza shule si umetafuta kazi ili uanze kulipa deni la student loan? sasa kwa nini Tanzania iwe ni vigumu?

Daruso waliomba haya yote kabla ya kufikia mgomo. Kumbuka kuwa ilichukua karibu wiki moja toka fisadi, dikiteta na muuaji Mukandala aingilie uchaguzi mpaka wanafunzi walipoamua kugoma.

Yeye alikataa kabisa kusikiliza wanafunzi kwa vile anajiona yeye ni Prof na nimshauri wa Kikwete so inabidi anachotaka yeye ndicho kifanyike.

You are making assumptions based on one side of story. You have made the issue personal and made your own conclusion kuwa whatever the case Mukandala is evil and is wrong! Hapa siwezi kukupa jibu! Nanawa mikono!
 
So it means we are not creative enough to create jobs. We have labor market but no jobs. Is it the sole responsibility of Serikali or society as whole? What is society doing to be creative in creating jobs? What alternatives or programs are being taken to make sure that we have jobs through sole propriatorship, private entities and communities?

Rev,

Meanwhile, these kids have to be in school and the GOVT (as every other GOVT in the world) should pay for their education.

How do they measure progress? are there any actionable items that have been implemented? if not whose responsibility is to make sure that these plans are executed and guarantee follow up?

That's why we have policy makers and JF for this! University students shouldnt be policy makers for the country on our behalf.

I gave a suggestion on Ukonda, mkaniambia I have to be realistic. Sasa my take on this is that kama mimi ni mwanafunzi wa Chuo, I have an advantage kuliko mtu wa darasa la saba. Iweje nishindwe kupata kazi ya mtu wa darasa la saba? Ninaposema mnalalamika, do not take it personally, it not about MwK as a person, but I am talking about UDSM-DARUSO. Yes Dar kuna watu milioni karibu 4, kila mtu ni kuwa mjanja, je ni ubunifu gani unatumika na wasomi wetu kujitafutia kazi?

No Rev,

Nimekuuliza utoe namba kama unazo za nafasi za kazi Dar es salaam ili tuone kweli kama wanafunzi wamekataa tu kuchukua hizi ajira kwa vile ni wavivu.

Upatikanaji wa kazi ni mgumu sana na unatamka sana ukonda bila kukumbuka kuwa ukonda ni kazi ya masaa 16 kwa siku na inabidi konda awepo kila siku. Si kazi ya wanafunzi kucreate ajira kama hazipo. Wanafunzi kwa sasa wanatakiwa wasome tena kwa gharama za serikali kama Tanzania inataka kupata mapinduzi ya kiuchumi kama ya Malaysia.

Nope sijaisahau hata chembe. Naifahamu sana, nafahamu ukiritimba, mizengwe, ubinafsi, wivu, uhujumu na hata ufisadi. Lakini penye nia pana njia. Ndiyo maana nimekupa mfano wa Mchaga kuchacharika!

Kwa hiyo sioni kwa nini unalaumu wanafunzi kwa kutopata ajira hapa as if ni makosa yao. Kwani unataka wawe mahustler?

Huko kote wanalipa minimum wage, ulipofanya kazi huko hukuleta ngebe kudai wewe ni graduate au msomi. Ulifanya kazi kwa furaha ukapata pesa zako kukidhi mahitaji. Sitegemei na si kusudio langu kusema Tanzania iwe na Target au Walmart, lakini, je kazi zilizopo wanafunzi wa UDSM wako tayari kwenda kuzifanya hata kama ni kulipwa KCC? Ndio maana nimetumia Ukonda, Bamedi na shughuli nyingine "minion jobs" kama alternatives!

Ninarudia tena kukuomba uzitaje hizi ajira unazodai kuwa zipo kwa mifano ikiwezekana ili kuipa nguvu hoja yako. Ninavyoelewa mimi, kazi za ukonda sio rahisi hivyo kupatikana na nikazi ambazo zinahitaji long term commitment. SIo kazi kama za kwetu hapa za Mc Donalds ambazo unaweza kwenda leo na usiende tena hadi wiki ijayo.

Again we are talking about job creativity. Sasa DARUSO katika plan zao wanazungumza vipi na Serikali, Mashirika, Viwanda, Taasisi na makampuni binafsi kuhusu job placement na creation of jobs?

Fuatilia kazi za viongozi wa Daruso uone kuwa haya yote wanayafanya sana. Mtafute zitto au Kitila akupe experience yake ya uongozi.

Nope I do not condone hustling! Hayo ni ya Mponjoli!



Argument si kuwa Serikali isiwe na sera za elimu au kupata Taifa linaloelimika. Suala ni gharama za elimu ni jukumu la nani? Mazingira ya sasa si ya mwaka 1970 wakati wale walikuwa huko walisomwshwa Bure.

Kwa nchi zetu masikini hata zilioendelea (SCANDINAVIA na some of states in US) Jukumu la elimu ni la serikali kwanza kabla ya mzazi.

Mfumo wa sasa unasema, ukiwa na uwezo kujilipia, njoo, ukiwa huna uwezo wa mali chukua mkopo! kama huna uwezo, je una-qualification za merits kama Academic supremacy au absolute poverty kuwa huna uwezo? Serikali inatoa mikopo, ni lazima irudishwe, sasa kwa nini iwe shida na kazi kuomba mkopo na kufanya commitment kuwa utaulipa?

Kumbuka pia kuwa huu mkopo unahitaji guarantee ya serikali kama ilivyo hapa Marekani. BIla serikali kuweka guarantee hiyo hakuna mkopo unaotolewa.

Tena kwa yule mwenye deni, ndiye atakaye kuwa na jitihada kubwa sana kusoma ili apate kazi alipe deni. Hii ndilo nililokuwa naongelea kuhusu rolling back fiscal responsibility!

Wewe hapa Marekani si umesoma kwa vyote scholarship na student loans, je ulipomaliza shule si umetafuta kazi ili uanze kulipa deni la student loan? sasa kwa nini Tanzania iwe ni vigumu?

Sioni hii inahusiana vipi na kinachoendelea ila nitakujibu kuwa solve kwanza tatizo la kusoma na kisha wakimaliza kusoma watatafuta namna ya kulipa hiyo mikopo

You are making assumptions based on one side of story. You have made the issue personal and made your own conclusion kuwa whatever the case Mukandala is evil and is wrong! Hapa siwezi kukupa jibu! Nanawa mikono!

Si kweli, Mukandala ameingilia chaguzi huru wa wanafunzi na hilo linamfanya awe dikiteta. Ametumia vibaya pesa za chuo na hivyo chuo kukosa mahitaji muhimu na hili linamfanya awe fisadi. Ameita polisi kuja kupiga wanafunzi akiwemo mama mjamzito bila sababu yoyote na hili linamfanya awe muuaji
 
I may be a frog in the water hole but you are a grasshopper drawning on the waterhole!

Tukizungumzia Azimio la Arusha na umuhimu wa Kujitegemea, mnalalamika. Mkionyeswha njia za kujitegemea mpate pesa mnalalamika.

Well, welcome to the frog empire and since you are a stubborn grasshopper stuck in the water, you make a perfect dinner for the frogs!
Kuonyeshwa njia za kujitegemea bila means za impications ni bure mchungaji!
Ni kama pambio tu za kuomba Yesu arudi ili matatizo yetu nayo yaishe!
Ni utupu wa maneno na propaganda bila vitendo halis!i na ukweli wa kuyumnika!
Kauli za kujitegemea bila mwongozo bora ni ndoto za mchana na matumaini ya kufikirika!
Wamarekani huwa wana usemi wanautumia.."don't say you support education,show me the account"
Kwa kifupi ni kwamba hata bajeti huwa haiweki kipaumbele kwenye masuala ya elimu,haionyeshi kama kweli kuna kipaumbele kwenye elimu bora kwa vijana wetu! badala yake ni ununuzi wa mgari ya kifahari kwa viongozi na maisha bora na njia bora za kukamata mshiko kwa kina chenge na wateule wengine wa viwango vya juu!
 
Bi Mdogo,

Opportunity moja kubwa ambayo DARUSO wanapoteza ni kuleta mfumo bora wa elimu. Naongelea hili kwa ujumla ili nijibu maswali yako na ya Kimweri kuwa hakuna nafasi kwa mwanafunzi kufanya kazi akiwa shule.

DARUSO wana nguvu kubwa sana kuweza kushinikiza kubadilishwa kwa mitaala na kuhakikisha kuwa Elimu ya UDSM, inawapa fursa wanafunzi kushiriki katika shughuli za kujenga Taifa na kujipatia kipato.

Mnalalamika ooh, kazi za Ukonda ni ngumu kupatikana. Je DARUSO walikaa chini na kubuni shughuli na kazi ambazo wanafunzi wanaeza kuzifanya? Je kungekuwa na shida gani kwa DARUSO kwenda kwa Mwaibula wa Madaladala Dar na kuomba kuwa na program maalum ya kutoa nafasi za kazi kwa wanafunzi wawe Makonda au makarani?

Wewe si umesoma Marekani? Umefanya kazi kusafisha vyumba, choo, jikoni, Library, IT, maintenance, McDonald, Nursing home na kwingine kwingi including Target, Walmart, Sallys beauty na ile kazi ya telemarket.

Je uliwezaje kupata nafasi kwenda shule na kufanya kazi hizo na hata ukahitimu? Naamini ulipokwenda kufanya kazi, hukuenda kwa nyogo au makidai ukiwa umebenua pua na kifua kwa kujiita msomi.

Kwa nini unafikiri UDSM inashindwa kuwa gurudumu la mabadiliko ya jamii? Ni kutokana na kuwa tegemezi na kushindwa kujituma.

Nimetoa alternatives kadhaa za kumsaidia huyu Mwanafunzi Masikini, lakini majibu yamekuwa ni ya "visingizio" na si tathmini na kusema, well, this is possible. Na especially kwako wewe Dada yangu ambaye unakwenda shule huku Marekani na kupiga janta, nilitegemea ungetumia mazingira uliyoko na kujiuliza ni vipi tunaweza badilisha mazingira ya Tanzania ili mwanafunzi wa Chuo aweze kusoma na kuwa kibarua kujipatia pato la ziada.

Au ni kwa kuwa Reverend mzalendo mwenzetu kalisema, basi halina nguvu sana ikiwa wafadhili hawajalisema?

There is a need to be creative and use all resources to our advantage. We have not made an attempt to take advantage of UDSm competetive advantage, but we have succumb to surrendering and blame Serikali and System.

Angalia Mchaga na Mpemba wanavyosakanya pesa. Nenda East and Central utakuta Mchaga anatengeneza pesa. Kigezo ni shida za nyumbani, uhaba wa ardhi migombani, hivyo anajituma kwenda kutumia maarifa kujipatia pato. Wanapoanza kuneemeka, tunawaita Mangi na Mpemba ni waroho wa pesa hata sauti ya mkasi hushituka.

Why doesn't our society change to be creative and competitive and stop depending so much to the Serikali au wafadhili? Huu utegemezi ndio unaolea unyonyaji na ufisadi for your information!

La mwisho, kwa nini DARUSO hawaku-insist on dialogue mpaka kieleweke? Mukandala alipokataa, walikwenda wizarani? je waliita bodi ya regents wa UDSM kulizungumzia? Je walikwenda kwa Waziri Mkuu au Ikulu kutoa kilio kabla hawajaanza mgomo na fujo?
Sasa kama kazi ya ukonda wakichukua hao wasomi hata kama ni kwa part time..na hao walalahoi watafanya kazi gani?kwani we hujui kuwa wana majukumu ya kifamilia na watoto wa kuwapeleka shule?
You can never compare the availabity of jobs in the US vs Tanzania..or at least the nature and type of it!
Ni kweli kuwa wanaweza kujipatia kazi za part time kusapoti elimu yao..lakini ni hadi hapo patakapokuwa na progam endelezi zenye kujenga mazingira ya upatikanaji wa kazi hizo!Watu wa kawaida hawana hata kazi ya kuzilisha familia zao na wewe unataka wananfunzi waende wakawanyanganye tonge midomoni mwao!
I think you should come with the real solutions kwasababu sikubaliani na baadhi ya views zako kwenye hili!
 
Rev,
nilikuwa naongelea minds! unajibu la kila kinachokuja mbele yako, which is a good thing!.....no wonder kibabu (rip) kilitaka kukukalisha kitako!!

swali...hivi kama ungekuwa unaandika paper juu ya matatizo ya kila aina ya wanafunzi wa mlimani na vyuo vingine(sio juu ya migomo tu), kwamba matatizo like "matatizo loaded" loaded...ni nini ingekuwa conclusion yako, yaani iwe ndio problems solver? na uliza hivi kwasababu una mawazo mazuri, lakini yapo scattered, na some unrealistic!! put it together, ni nini hasa kifanyike...??

You know you are a very good student, they should make you the president of DARUSO!

Mimi si mtaaluma au mtaalam, lakini nitajitahidi kukujibu swali lako la pili ifuatavyo. Nitatumia hiyo "Scattered" method kuwasilisha ujumbe wangu kwako na kwa wale wa DARUSO wanaosoma hapa.

Kuna tatizo kubwa la mfumo wa Elimu Tanzania na hili ni kikwazo kikubwa sana katika wakati na karne hii ya ushindani wa uchapakazi na technologia.

Elimu yetu si ya kuelimisha ili kujenga maarifa. Elimu yetu ni ya kupata vyeti kwanza, ndipo uanze kujenga maarifa.

Si jukumu la DARUSO kurekebisha mfumo wa ufundishaji au mitaala pale UDSM, lakini wanaweza kuwa na influence kubwa sana katika kuleta msukumo wa kuleta mabadiliko ambayo yatamfanya;

  • Mwanafunzi aende kuelimika na si kujijenga ili afaulu,
  • utampa mwanafunzi nafasi ya kujifunza kazi na kujituma na si kusubiri mpaka akisha vikwa joho na kofia ya miraba minne,
  • utaleta mabadiliko ya zile fikra potofu za "usomi" na hivyo kuchochea msukumo wa kuthamini kila kazi, ushiriki wa kila fani hivyo kuongeza ubunifu,
  • utamwandaa mwanafunzi na mhitimu awe tayari kuingia katika ujenzi wa taifa na kufanya kazi na si kupoteza muda kujifunza upya.
Mimi naupenda mfumo liberal wa elimu ya juu ya Marekani. Unatoa nafasi kwa yeyote kujifunza kile anachotaka, mfumo unajenga ushindani na unazalisha mazao bora ambayo yako tayari kuingia kwenye work force.

Mfumo huu unaruhusu kuwepo kwa nafasi kwa mwanafunzi kwenda shule na kufanya kazi wakati huo huo. Si mfumo uliogangamaa kama mfumo wetu ambao ni stationary!

Ukisharekebisha mfumo, basi unakuja kwenye masuala ya pesa.

Wewe ni mmoja wa wale wanaosema Mwalimu Nyerere katufanya masikini. HIvyo basi, lile wazo la kutoa elimu bure ulifute ama sivyo unapingana na kauli zako za kisa cha Tanzania kuwa masikini, mojawapo ikiwa ni fikra mbovu za elimu bure!

Hali halisi ni kuwa kila mtu achangie gharama. Tumeendelea kulelea mfumo wa Kijamaa wa kila kitu ni bure, hivyo hata wakati wa kuacha kuwa tegemezi na kuchangia gharama.

KInachohitajika ni kurekebisha mfumo wa kutoa mikopo ya elimu. Badala ya kudhania jukumu hili liiishie kwenye mabenki ya Biashara, inabidi kuwe na mfumo bora wa kibiashara ambao utatumia fungu la pesa kutoka Serikali kutoa mikopo kwa mwanafunzi yeyote na wa chuo chochote.

Masharti ya kupata mikopo yasiwe magumu, bali yawe realistic na kuhakikisha kuwa mkopaji analipa deni lake pindi anapoanza kazi baada ya kuhitimu.

If SalieMae works for Americans, and so is Perkins and Perla, then we can have similar programs in Tanzania in addition to completion to something like FASFA.

Why do we need to re-invent the wheel, while Americans, British and others have done it? why is our program so complicated? Can't we learn from others who wameendelea?

Those will be my two cents for now. Naona MwK bado tunacheza Sambulumaa!

ps. Umeona majibu yangu kule kwa Nyerere Legacy?
 
MwK,

So Nyerere policies of Ujamaa which created equal opportunity for everyone and government was responsible to foot everything was right!

Then turudi kwenye Ujamaa, maana mfumo huria na uchumi wa kibepari hatuuwezi! Which means more government subsidies on everything!
 
Huyu ndiye Rev Kishoka anayeogopa migomo na maandamano lakini wakati huo huo kwenye signature yake hapa anasema:

"Camerlengo

Plu Camerlenghi- Revolutionary Right Reverend Kishoka

"Any existence deprived of freedom is a kind of death." Gen. Michel Aoun

'Who comes to give greeting to the Inkosi-kaas? Who would taste her kiss, whereof the fruit is death? I, the Woodpecker, I, the Slaughterer, I the Swiftfooted! I, Umslopogaas!"

Je, anafanana na Chama Cha Mapinduzi kinachoogopa Mapinduzi? Au ufisadi umemlevya na sasa anafikiri kama mwanachama wa Chama Cha Mafisadi?

Asha
 
Kuonyeshwa njia za kujitegemea bila means za impications ni bure mchungaji!
Ni kama pambio tu za kuomba Yesu arudi ili matatizo yetu nayo yaishe!
Ni utupu wa maneno na propaganda bila vitendo halis!i na ukweli wa kuyumnika!
Kauli za kujitegemea bila mwongozo bora ni ndoto za mchana na matumaini ya kufikirika!
Wamarekani huwa wana usemi wanautumia.."don't say you support education,show me the account"
Kwa kifupi ni kwamba hata bajeti huwa haiweki kipaumbele kwenye masuala ya elimu,haionyeshi kama kweli kuna kipaumbele kwenye elimu bora kwa vijana wetu! badala yake ni ununuzi wa mgari ya kifahari kwa viongozi na maisha bora na njia bora za kukamata mshiko kwa kina chenge na wateule wengine wa viwango vya juu!

Mushi,

Siasa ya kujitegemea ililenga katika kuleta Juhudi na Maarifa ili kuongeza uzalishaji mali. Practicality ya kitu ni pale watu watakapo embrace the idea and start applying it.

You sound as if unataka kila kitu kifanywe, bila wewe kutoka hata jasho! I gave a suggestion on how one can look for alternative ways to get an income if Mkopo na pesa za baba hazitoshi. Nikasema, je inawezekana watu wakaanza kufanya kazi part time? au ni kwa kuwa sikuwa specific kusema part time jobs ndio mawazo yangu yamewapotosha na kuonekana ndoto za mchana?

Maana mpaka nimetoa suggestion kuwa DARUSO waende kwa Mwaibula na sasa nitaongeza Musiba wa TCCIA na kufanya mazungumzo ya kupata part time jobs.

We have educated labor that is sitting idle or waiting for handouts, why not become creative?
 
Sasa kama kazi ya ukonda wakichukua hao wasomi hata kama ni kwa part time..na hao walalahoi watafanya kazi gani?kwani we hujui kuwa wana majukumu ya kifamilia na watoto wa kuwapeleka shule?
You can never compare the availabity of jobs in the US vs Tanzania..or at least the nature and type of it!
Ni kweli kuwa wanaweza kujipatia kazi za part time kusapoti elimu yao..lakini ni hadi hapo patakapokuwa na progam endelezi zenye kujenga mazingira ya upatikanaji wa kazi hizo!Watu wa kawaida hawana hata kazi ya kuzilisha familia zao na wewe unataka wananfunzi waende wakawanyanganye tonge midomoni mwao!
I think you should come with the real solutions kwasababu sikubaliani na baadhi ya views zako kwenye hili!


You have a right to oppose my views, no one is disputing that.

Sasa nikuulize, je ni jukumu la nani kujenga mazingira ya kuwepo na mfumo bora wa ajira? Je ni serikali pekee? what about you and I?

Wakati Serikali ilipokuwa Baba na Mama na kutoa handout, tulifurahia lakini tukalaumu sera za kijamaa ambazo zilifanya Serikali itoe huduma na ajira kuwa ndio chanzo cha umasikini wetu. Sasa serikali imejitoa katika uendeshaji na ni jukumu letu, tunalalamika ahh haiwezekani?

Angalia hayo maandishi mekundu hapo juu, nafikiri ni wajibu wetu sote kuhakikisha kuwa tunaunda mfumo bora wa kiuchumi na elimu ambao si utatoa ushindani tuu, bali ni hata ubunifu na kuongeza ajira.
 
Huyu ndiye Rev Kishoka anayeogopa migomo na maandamano lakini wakati huo huo kwenye signature yake hapa anasema:

"Camerlengo

Plu Camerlenghi- Revolutionary Right Reverend Kishoka

"Any existence deprived of freedom is a kind of death." Gen. Michel Aoun

'Who comes to give greeting to the Inkosi-kaas? Who would taste her kiss, whereof the fruit is death? I, the Woodpecker, I, the Slaughterer, I the Swiftfooted! I, Umslopogaas!"

Je, anafanana na Chama Cha Mapinduzi kinachoogopa Mapinduzi? Au ufisadi umemlevya na sasa anafikiri kama mwanachama wa Chama Cha Mafisadi?

Asha

Jibu hoja kama huna uwezo acha kashfa kama Kada Mpinzani! Do I look like fisadi to you? just having opposing ideas does not make me fisadi bwana. Same would be if I were to call you a punk simply because you are CHADEMA!
 
Back
Top Bottom