Quote:
YournameisMINE
wamegoma kwasababu, demokrasia ya wao kuchagua viongozi wa serikali ya wanafunzi wawatakao imepindishwa, wamegoma kwasababu tatizo la maji limekuwa sugu, wamegoma kwasababu umeme unakatika hovyo, lift hazifanyi kazi....mgomo huu ni halali! kama unadhani kukosa calculator ni jambo dogo, basi lazima una matatizo na wanaozihitaji ni wale ambao hawapo pale kwa degree ya history, otherwise maisha ni magumu sana kwa sayansi students bila calculator.
hayo mambo ya pombe, bangi na ngono ni vitu vya kawaida vyuoni dunia nzima! sasa kama hujafanya hayo(kwa walioamua kufanya) wakati ukiwa chuo, watayafanya hayo wakiwa wapi?? ile baa ya wanafunzi ipo kwa ajili ya nani? au ni urembo tu? argument nyingine hapa ni za kilevi kushinda hao wanafunzi mnaowaita walevi!! tuwe wakweli jamani......
YNIM,
Kugoma shule kwa ajili ya calculator ni kitu cha kijinga na kipumbavu sana.
Wewe uko Marekani, calculator alikupa nani? si uliinunua mwenyewe? je ulipewa ruzuku? hapana!
Tatizo la UDSM si kilio cha kusema hakuna maji, kama ni hivyo, basi nchi nzima igome kufanya kazi! Kama ni umeme kukatika katika, basi nchi nzima igome kufanya kazi na kuamka!
Unasema, haki yao ya kuchagua Serikali imepindwa, je imepindwa vipi? ushahidi gani ulioko kuwa Uongozi wa Chuo ulifanya kwa kusudi kubatilisha uchaguzi na kuzuia yule Mwanafunzi Mganda?
This is what I see of UDSM and its problems. There is high degree of arrogance which is accompanied with extreme childish behavior in the name of haki zetu!
This has been the culture of UDSM student acting as if they are special priviledged group in our country. The fact that most of students do not want to work hard and earn any money to support themselves, and pay for their tuition, food books and supplies, tells kila mwananchi kuwa there is something wrond with our "intellectuals"!
People need to get real; nothing is for free anymore. I would not be suprised that wataandamana kwa kuwa hawajapewa sabuni na vyoo havna toilet paper!
Wakati kina Mwabulambo na wazee wengine walipoleta mgomo in 70s, they had a cause that was relevant.
Hata migomo iliyokuja baadaye, si yote ilikuwa ya msingi.
Nailaumu Serikali kwa kulea na kuendekeza ugonjwa huu wa kitabia ambao unazorotesha maendeleo ya elimu na maendeleo ya Taifa letu. Hii dhana ya kuwa tegemezi kwa kila kitu inabidi ifutwe. Kelele za kudai sisi ni watoto wa masikini au wakulima zizimwe na zisipewe nafasi hata kidogo kusikilizwa.
It is time that scholarships be awarded to those who trully deserve them. Either you have to receive scholarship due to supreme perfomance on your "A" levels or there is a solid proof that you can not afford to borrow money from Serikali to foot your own school expenses.
Why should I entertain the thought that my tax money is being wasted by ungrateful kids? I have a battle fighting mafisadi using my tax money, but now I have to fight with spoiled bratts?
Get mkopo, get a job, pay for your own damn calculator. If the elevators are not working use the staircase, it is a good exercise!