Serikali yatimua wanafunzi UDSM

Serikali yatimua wanafunzi UDSM

Jibu hoja kama huna uwezo acha kashfa kama Kada Mpinzani! Do I look like fisadi to you? just having opposing ideas does not make me fisadi bwana. Same would be if I were to call you a punk simply because you are CHADEMA!

Call me punk if you wish but I stand for what I have written. Unless you tell me the ideas you gave oppossing the student strike were may provacative for the sake of raising debate and seek more solution. But if you tell me that this is what you believe then I will stick to my words that ni fikra za kifisadi. Huwezi kusema wanafunzi kugomea lift kuwa mbovu katika jengo la ghorofa saba ambalo wanapandisha maji kwa kichwa ni UTOTO. Na kwamba badala ya kugoma ni akheri wangepanda ngazi as part of the exercise. Unless ufute hii kauli yako, sitafuta kauli yangu. Umewadhalilisha wasomi kwa kweli. Ukifuuta hii kauli, ama ukiitafsiri vizuri nitakuwa wa kwanza kukuomba radhi ama sivyo, soma tena maneno yangu hapo juu. I mean them with all my heart jamani

Asha
 
Mushi,

Siasa ya kujitegemea ililenga katika kuleta Juhudi na Maarifa ili kuongeza uzalishaji mali. Practicality ya kitu ni pale watu watakapo embrace the idea and start applying it.

You sound as if unataka kila kitu kifanywe, bila wewe kutoka hata jasho! I gave a suggestion on how one can look for alternative ways to get an income if Mkopo na pesa za baba hazitoshi. Nikasema, je inawezekana watu wakaanza kufanya kazi part time? au ni kwa kuwa sikuwa specific kusema part time jobs ndio mawazo yangu yamewapotosha na kuonekana ndoto za mchana?

Maana mpaka nimetoa suggestion kuwa DARUSO waende kwa Mwaibula na sasa nitaongeza Musiba wa TCCIA na kufanya mazungumzo ya kupata part time jobs.

We have educated labor that is sitting idle or waiting for handouts, why not become creative?
Hatukuandaliwa kuupokea huu mfumo wa kibepari!Tulikosa,tumekosa ama bado tunakosa viongozi bora na waaminifu,wazalendo wenye uchungu na nchi yetu!
Si lazima tuukumbatie mfumo wa ubepari to its enterity!Ila tuyakumbatie yale mazuri na kuyadrop yale mabaya..tuyachangane na baadhi ya yale mazuri ya ujamaa!
Tuweke balance nzuri ili transition isije ikatugeuka na kujenga taifa lisilotawalika!
Viongozi hawakuja na mipango madhubuti ili kuhakikisha kuwa maslahi ya taifa yanazingatiwa kwenye mchakato mzima wa kuikabidhi nchi yetu kwa watu binafsi!
Viongozi wakaamua kujikabidhi mali hizo badala ya kuwaeleimisha wananchi kwamba ni nini kinaendelea!
Kauli unazotoa zinaweza kuonekana kuwa ni right machoni mwa mwamnanchi wa kawaida!Ni kauli ambazo zikiangaliwa kwa kutumia conceptual thinking zinabakia kuwa na walakini mtupu!Kauli kama alizokuwa akitoa Lowassa everyday kuwa watu wafanye kazi kwa bidii!
Kazi zipi hizo?Wananchi wa nje na nchi jirani wanapata kazi bora kuliko mtanzania na viongozi hawajali!
Mahoteli na airports na everywhere wana kutreat vibaya sana especially kama ni mweusi!
Unajikuta ukijiuliza whether you even belong to your own country!Unajiona kama mgeni nchini kwako mwenyewe!
Nchi yetu inahitaji mabadiliko makubwa and then wananchi sasa ndio waambiwe wafanye kazi kwa bidii!Kwanza sio tu waweze kuzipata hizo kazi bali waweze kujikimu na maisha kwa kutumia kazi hizo!
We unasikia kazi bongo unafikiri zinapatikana as much easier as you think?Serikali ingekuwa na nia nzuri ingetayarisha mazingira kama hayo kwa kuja na program endelezi zenye kujenga mazingira kama hayo!Hata mabepari tunaowaiga wana program kama hizo!sasa wewe unataka kutuchanganya kwa madai ya sisi tufanye nini...or sisi tumekaa tu!What else can someone do while nobody thinks that the citizens are even smarter enough to know their basic right?Rights ambazo zinavunjwa kila kukicha kwa ubabe na ukandamizaji bila kusahau unyonyaji na ubepari mamboleo na ufisadi wa wenyewe kwa wenyewe?
 
Call me punk if you wish but I stand for what I have written. Unless you tell me the ideas you gave oppossing the student strike were may provacative for the sake of raising debate and seek more solution. But if you tell me that this is what you believe then I will stick to my words that ni fikra za kifisadi. Huwezi kusema wanafunzi kugomea lift kuwa mbovu katika jengo la ghorofa saba ambalo wanapandisha maji kwa kichwa ni UTOTO. Na kwamba badala ya kugoma ni akheri wangepanda ngazi as part of the exercise. Unless ufute hii kauli yako, sitafuta kauli yangu. Umewadhalilisha wasomi kwa kweli. Ukifuuta hii kauli, ama ukiitafsiri vizuri nitakuwa wa kwanza kukuomba radhi ama sivyo, soma tena maneno yangu hapo juu. I mean them with all my heart jamani

Asha

Ume-recite majibu yangu kwa YNIM, je uliona ambatanisho langu na majibu yangu ya kwanza kwake YNIM?

Soma nilichomjibu YNIM kwanza uelewe mwanzo wa gumzo hili ni nini. Kisha fuatilia mazungumzo yangu na MwK. La mwisho, mbona umejijibu mwenyewe kuhusu maoni yangu?

Quote:
YournameisMINE


wamegoma kwasababu, demokrasia ya wao kuchagua viongozi wa serikali ya wanafunzi wawatakao imepindishwa, wamegoma kwasababu tatizo la maji limekuwa sugu, wamegoma kwasababu umeme unakatika hovyo, lift hazifanyi kazi....mgomo huu ni halali! kama unadhani kukosa calculator ni jambo dogo, basi lazima una matatizo na wanaozihitaji ni wale ambao hawapo pale kwa degree ya history, otherwise maisha ni magumu sana kwa sayansi students bila calculator.

hayo mambo ya pombe, bangi na ngono ni vitu vya kawaida vyuoni dunia nzima! sasa kama hujafanya hayo(kwa walioamua kufanya) wakati ukiwa chuo, watayafanya hayo wakiwa wapi?? ile baa ya wanafunzi ipo kwa ajili ya nani? au ni urembo tu? argument nyingine hapa ni za kilevi kushinda hao wanafunzi mnaowaita walevi!! tuwe wakweli jamani......




YNIM,

Kugoma shule kwa ajili ya calculator ni kitu cha kijinga na kipumbavu sana.

Wewe uko Marekani, calculator alikupa nani? si uliinunua mwenyewe? je ulipewa ruzuku? hapana!

Tatizo la UDSM si kilio cha kusema hakuna maji, kama ni hivyo, basi nchi nzima igome kufanya kazi! Kama ni umeme kukatika katika, basi nchi nzima igome kufanya kazi na kuamka!

Unasema, haki yao ya kuchagua Serikali imepindwa, je imepindwa vipi? ushahidi gani ulioko kuwa Uongozi wa Chuo ulifanya kwa kusudi kubatilisha uchaguzi na kuzuia yule Mwanafunzi Mganda?

This is what I see of UDSM and its problems. There is high degree of arrogance which is accompanied with extreme childish behavior in the name of haki zetu!

This has been the culture of UDSM student acting as if they are special priviledged group in our country. The fact that most of students do not want to work hard and earn any money to support themselves, and pay for their tuition, food books and supplies, tells kila mwananchi kuwa there is something wrond with our "intellectuals"!

People need to get real; nothing is for free anymore. I would not be suprised that wataandamana kwa kuwa hawajapewa sabuni na vyoo havna toilet paper!

Wakati kina Mwabulambo na wazee wengine walipoleta mgomo in 70s, they had a cause that was relevant.

Hata migomo iliyokuja baadaye, si yote ilikuwa ya msingi.

Nailaumu Serikali kwa kulea na kuendekeza ugonjwa huu wa kitabia ambao unazorotesha maendeleo ya elimu na maendeleo ya Taifa letu. Hii dhana ya kuwa tegemezi kwa kila kitu inabidi ifutwe. Kelele za kudai sisi ni watoto wa masikini au wakulima zizimwe na zisipewe nafasi hata kidogo kusikilizwa.

It is time that scholarships be awarded to those who trully deserve them. Either you have to receive scholarship due to supreme perfomance on your "A" levels or there is a solid proof that you can not afford to borrow money from Serikali to foot your own school expenses.

Why should I entertain the thought that my tax money is being wasted by ungrateful kids? I have a battle fighting mafisadi using my tax money, but now I have to fight with spoiled bratts?

Get mkopo, get a job, pay for your own damn calculator. If the elevators are not working use the staircase, it is a good exercise!
 
Hatukuandaliwa kuupokea huu mfumo wa kibepari!Tulikosa,tumekosa ama bado tunakosa viongozi bora na waaminifu,wazalendo wenye uchungu na nchi yetu!
Si lazima tuukumbatie mfumo wa ubepari to its enterity!Ila tuyakumbatie yale mazuri na kuyadrop yale mabaya..tuyachangane na baadhi ya yale mazuri ya ujamaa!
Tuweke balance nzuri ili transition isije ikatugeuka na kujenga taifa lisilotawalika!
Viongozi hawakuja na mipango madhubuti ili kuhakikisha kuwa maslahi ya taifa yanazingatiwa kwenye mchakato mzima wa kuikabidhi nchi yetu kwa watu binafsi!
Viongozi wakaamua kujikabidhi mali hizo badala ya kuwaeleimisha wananchi kwamba ni nini kinaendelea!
Kauli unazotoa zinaweza kuonekana kuwa ni right machoni mwa mwamnanchi wa kawaida!Ni kauli ambazo zikiangaliwa kwa kutumia conceptual thinking zinabakia kuwa na walakini mtupu!Kauli kama alizokuwa akitoa Lowassa everyday kuwa watu wafanye kazi kwa bidii!
Kazi zipi hizo?Wananchi wa nje na nchi jirani wanapata kazi bora kuliko mtanzania na viongozi hawajali!
Mahoteli na airports na everywhere wana kutreat vibaya sana especially kama ni mweusi!
Unajikuta ukijiuliza whether you even belong to your own country!Unajiona kama mgeni nchini kwako mwenyewe!
Nchi yetu inahitaji mabadiliko makubwa and then wananchi sasa ndio waambiwe wafanye kazi kwa bidii!Kwanza sio tu waweze kuzipata hizo kazi bali waweze kujikimu na maisha kwa kutumia kazi hizo!
We unasikia kazi bongo unafikiri zinapatikana as much easier as you think?Serikali ingekuwa na nia nzuri ingetayarisha mazingira kama hayo kwa kuja na program endelezi zenye kujenga mazingira kama hayo!Hata mabepari tunaowaiga wana program kama hizo!sasa wewe unataka kutuchanganya kwa madai ya sisi tufanye nini...or sisi tumekaa tu!What else can someone do while nobody thinks that the citizens are even smarter enough to know their basic right?Rights ambazo zinavunjwa kila kukicha kwa ubabe na ukandamizaji bila kusahau unyonyaji na ubepari mamboleo na ufisadi wa wenyewe kwa wenyewe?

Mushi,

Thank you for coming out and admitting kuwa kuna systematic and structural problem Tanzania.

Umezungumzia maoni yangu kuwa matupu kama Lowassa. Mimi nimeongelea very simple terms za kuwa creative kupata kazi. Sasa sijui ni wapi nimekuwa complex kama Lowassa.

Je Lowassa alitoa mifano na alternative means za watu kutafuta kazi?

Narudia tena mfano wa part time job kama Konda au Utingo. Nimetoa mfano, je inawezekana Daruso kwenda kuonana na Mwaibula na kumwambia kuwa wanafunzi wangependa kupata part time jobs za kuwa makonda na Mwaibula akawakatalia?

Je wamekwenda kwa Musiba na TCCIA na kuomba kuwa na part time or work study program ambayo inaweza kumfanya Musiba kurudi kwa wafanyabiashara wenzake au wenye viwanda na kusema kuwa tuna educated labor ambayo inaweza kufanya kazi kuanzia saa fulani hadi fulani, hata kama ni shift ya kuanzia saa 10 jioni mpaka saa 4 usiku na TCCIA wakaenda wizara ya kazi ili sheria za saa za kazi zianze kuruhusu uzalishaji mali mpaka saa 5 usiku kama sheria haziruhusu?

This is what I talk about being creative and not waiting for central government to plan and hand out everything.

Sasa kama conceptual thinking yako inaona kuwa maoni yangu ni batili na hewa, basi conceptual thinking yangu pia inasema wewe hutaki kuwa creative na kuface challenges=mvivu!
 
YNIM,

Kugoma shule kwa ajili ya calculator ni kitu cha kijinga na kipumbavu sana.

Why should I entertain the thought that my tax money is being wasted by ungrateful kids? I have a battle fighting mafisadi using my tax money, but now I have to fight with spoiled bratts?

Get mkopo, get a job, pay for your own damn calculator. If the elevators are not working use the staircase, it is a good exercise!

Thats what you said my Dear! Its high time you apologize to the 'ungrateful kids alias spoiled bratts'!; ni wajinga na wapumbavu kwa kugomea lift kwa kuwa wangeweza tu kupanda ngazi kama sehemu ya mazoezi. If you won't admit the statement came as an oversight, then the right award and reward for you will be kukupongeza kwa kuwa na fikra hizi mpya za kifisadi zinazopingana na kauli mbiu zote ulizoziweka kwenye signatures zako. To err is human, anyway.

Asha
 
dada asha,
no bwana, debate ni nzuri sana so far haina haja ya name calling!! hapa tunakubaliana kuto kukubaliana......kama unafuata mtiririko wa thread hii na zile za nyerere na mijadala ya nyuma juu ya UDSM na ufisadi kwa ujumla, basi uta-enjoy sana na utajua kuwa huwa mchungaji kishoka(ingawa tupo pwani tofauti) ana point, misimamo mizuri na ni unfair kumwita fisadi! hivi hii tabia ya kuitana majina juu kwamba flani hakubaliani nawe imetoka wapi na itakoma lini?? ni tabia mbaya sana..... kwa ufupi umeukurupukia 'mdundiko' bila kujua wapi umetoka na wapi unakwenda!!.

hapa hatuzimii mipasho, @least NOT today!!.

YNIM.

He started, I finnished! Kwa kweli sikuingia kwenye huu mjadala kutoa HOJA, nimekuja kukomesha VIOJA vya Rev. Kishoka. Vya kuwaita binadamu wenzake wajinga, wapumbavu, ungrateful kids na rotten bratts. Mipasho aliinza mwenyewe. Akiacha, nitaacha. Akiendelea, nitaendelea jamani

Asha
 
Thats what you said my Dear! Its high time you apologize to the 'ungrateful kids alias spoiled bratts'!; ni wajinga na wapumbavu kwa kugomea lift kwa kuwa wangeweza tu kupanda ngazi kama sehemu ya mazoezi. If you won't admit the statement came as an oversight, then the right award and reward for you will be kukupongeza kwa kuwa na fikra hizi mpya za kifisadi zinazopingana na kauli mbiu zote ulizoziweka kwenye signatures zako. To err is human, anyway.

Asha

Asha,

My words stand, I did not misspoke!.

Mgomo juu ya Calculator, Maji na Umeme ni wa kijinga. Umesababisha masomo kusimama, mali kuharibika na damu kumwagika.

Where is dialogue? nimeuliza kama wao wanafunzi walishindwa ku-level na Mukandala then, kwa nini hawakwenda Wizarani, Waziri Mkuu au Ikulu?

Nimesema, wachukue mikopo wanunue Calculators period! Nimesema tunaendekeza sana kauli kuwa kila mtu ni maskini wakati si kweli. Wale walio maskini wa kweli ni wachache na inawezekana wala hawakugoma maana kuishi kwao kimasikini, Umeme na Maji ni anasa tangu asili!

38 kids created a havoc that led to 14500 students education be interupted due to a calculators and elevetors? Where are the priorities siku hizi kuleta active resistance?

Hivyo basi utasema hata wale wanafunzi waliochoma shule kisa sukari kwenye chai na uji walikuwa sawa?

Common Asha, you are better than that!
 
Asha,

My words stand, I did not misspoke!.

Mgomo juu ya Calculator, Maji na Umeme ni wa kijinga. Umesababisha masomo kusimama, mali kuharibika na damu kumwagika.

Where is dialogue? nimeuliza kama wao wanafunzi walishindwa ku-level na Mukandala then, kwa nini hawakwenda Wizarani, Waziri Mkuu au Ikulu?

Nimesema, wachukue mikopo wanunue Calculators period! Nimesema tunaendekeza sana kauli kuwa kila mtu ni maskini wakati si kweli. Wale walio maskini wa kweli ni wachache na inawezekana wala hawakugoma maana kuishi kwao kimasikini, Umeme na Maji ni anasa tangu asili!

38 kids created a havoc that led to 14500 students education be interupted due to a calculators and elevetors? Where are the priorities siku hizi kuleta active resistance?

Hivyo basi utasema hata wale wanafunzi waliochoma shule kisa sukari kwenye chai na uji walikuwa sawa?

Common Asha, you are better than that!
Kwako wewe hivyo vitendea kazi ulivyo vimention kama vile calculator,umeme,maji etc havina umuhimu wala uzito wowote ule na sio hitaji muhimu kwenye kufacilitate elimu yao!
HATA HIVYO;
Wafaransa walifanya mapinduzi kwa sababu ya mkate..je mkate ni sababu nzito kwa wananchi wa taifa jingine kufanya mapinduzi?maybe no..however ni wazi kuwa utofauti hutegemea na wakati,mazingira na uhitaji!
Kwa hawa vijana..kwa wakati huu na mazingira haya ni wazi kuwa wanahitaji vitendea kazi hivyo kwa udi na uvumba kuliko unavyoweza kufikiri wewe kwa mtizamo wako kutoka either madhabauni ama pengine popote pale!
 
Mushi,

Thank you for coming out and admitting kuwa kuna systematic and structural problem Tanzania.

Umezungumzia maoni yangu kuwa matupu kama Lowassa. Mimi nimeongelea very simple terms za kuwa creative kupata kazi. Sasa sijui ni wapi nimekuwa complex kama Lowassa.

Je Lowassa alitoa mifano na alternative means za watu kutafuta kazi?

Narudia tena mfano wa part time job kama Konda au Utingo. Nimetoa mfano, je inawezekana Daruso kwenda kuonana na Mwaibula na kumwambia kuwa wanafunzi wangependa kupata part time jobs za kuwa makonda na Mwaibula akawakatalia?

Je wamekwenda kwa Musiba na TCCIA na kuomba kuwa na part time or work study program ambayo inaweza kumfanya Musiba kurudi kwa wafanyabiashara wenzake au wenye viwanda na kusema kuwa tuna educated labor ambayo inaweza kufanya kazi kuanzia saa fulani hadi fulani, hata kama ni shift ya kuanzia saa 10 jioni mpaka saa 4 usiku na TCCIA wakaenda wizara ya kazi ili sheria za saa za kazi zianze kuruhusu uzalishaji mali mpaka saa 5 usiku kama sheria haziruhusu?

This is what I talk about being creative and not waiting for central government to plan and hand out everything.

Sasa kama conceptual thinking yako inaona kuwa maoni yangu ni batili na hewa, basi conceptual thinking yangu pia inasema wewe hutaki kuwa creative na kuface challenges=mvivu!
Lakini kumbuka kuwa hizi ni kazi ambazo kuna watu wenye kuendesha familia zao na pia wame qualify lakini hawazipati!
Ni vizuri kuwa na program kama hizo lakini zinahitaji financial backing!Program ambayo serikali yetu nayo itashiriki kikamilifu kuifanikisha!
Reverand nataka pia nikukumbushe..kuwa licha ya kwamba nchi kama marekani ni ya kibepari bado universty nyingi tu zinamilkiwa na serikali!wafanyakazi wote maprofessa wa university and everbody ni waajiriwa wa serkali!Serikali ina mipango mingi tu kama Federal stafford loans,grants,plenty of scholarships,school work and paternships etc!
Lakini kwa masikitiko makubwa..unawashauri waende wakawanyang'anye wapiga debe na makonda kazi wanazozitegemea kuziendesha familia zao pengine hata wengine waliopo hapo hapo mlimani!
Rev. we also have to check with the reality!
 
Kwako wewe hivyo vitendea kazi ulivyo vimention kama vile calculator,umeme,maji etc havina umuhimu wala uzito wowote ule na sio hitaji muhimu kwenye kufacilitate elimu yao!
HATA HIVYO;
Wafaransa walifanya mapinduzi kwa sababu ya mkate..je mkate ni sababu nzito kwa wananchi wa taifa jingine kufanya mapinduzi?maybe no..however ni wazi kuwa utofauti hutegemea na wakati,mazingira na uhitaji!
Kwa hawa vijana..kwa wakati huu na mazingira haya ni wazi kuwa wanahitaji vitendea kazi hivyo kwa udi na uvumba kuliko unavyoweza kufikiri wewe kwa mtizamo wako kutoka either madhabauni ama pengine popote pale!

Mushi,

Mwaka wa shule UDSM unaanza lini? Je mikopo inatolewa lini? Kwa nini wanafunzi hawa hawakuwa na calculators mwaka ulipoanza walipopewa pesa za mikopo yao? Je umeme na maji vimeanza kuwa kero kwa Taifa leo au jana?

Unazungumzia Umeme na Maji, nilimuuliza YNIM, je kwa kuwa tuna shida ya maji na umeme basi kila mtu aanze fujo na kuharibu mali, wagome kwenda kazini na viwanda viache uzalishaji mali kisa mgao wa maji na umeme?

Lets be realistic hapa. Tunajua tuna matatizo, lakini kuwa na matatizo si kigezo cha kukosa uungwana wa kufanya majadiliano na kukimbilia kufanya fujo.

Kila mtu anapiga kelele kuhusu Ufisadi, uhujumu, mikataba mibovu na kukosa kuwajibika. Lakini kilio hiki hakimanishi tupoteze utu na kuanza fujo na hata kuharibu mali na kusitisha uzalishaji mali!

Hilo la Maria Antionette will never fly! Litatumika kama reference lakini kama kigezo cha fujo kilikuwa ni Calculator, umeme, maji na uchaguzi kama YNIM alivyoniambia, basi tuna tatizo kubwa sana kama Taifa kuwa Kijiji chetu cha ujenzi wa Fikra komavu za kuongoza juhudi, maarifa na kurutubisha maendeleo hakiwezi kutumia uwezo wke wa "kisomi" kutatua migogoro au matatizo!
 
Mushi,

Mwaka wa shule UDSM unaanza lini? Je mikopo inatolewa lini? Kwa nini wanafunzi hawa hawakuwa na calculators mwaka ulipoanza walipopewa pesa za mikopo yao? Je umeme na maji vimeanza kuwa kero kwa Taifa leo au jana?

Unazungumzia Umeme na Maji, nilimuuliza YNIM, je kwa kuwa tuna shida ya maji na umeme basi kila mtu aanze fujo na kuharibu mali, wagome kwenda kazini na viwanda viache uzalishaji mali kisa mgao wa maji na umeme?

Lets be realistic hapa. Tunajua tuna matatizo, lakini kuwa na matatizo si kigezo cha kukosa uungwana wa kufanya majadiliano na kukimbilia kufanya fujo.

Kila mtu anapiga kelele kuhusu Ufisadi, uhujumu, mikataba mibovu na kukosa kuwajibika. Lakini kilio hiki hakimanishi tupoteze utu na kuanza fujo na hata kuharibu mali na kusitisha uzalishaji mali!

Hilo la Maria Antionette will never fly! Litatumika kama reference lakini kama kigezo cha fujo kilikuwa ni Calculator, umeme, maji na uchaguzi kama YNIM alivyoniambia, basi tuna tatizo kubwa sana kama Taifa kuwa Kijiji chetu cha ujenzi wa Fikra komavu za kuongoza juhudi, maarifa na kurutubisha maendeleo hakiwezi kutumia uwezo wke wa "kisomi" kutatua migogoro au matatizo!

Naona unataka kupindisha hapa kwa kudai kuwa wanafunzi wamegomea unayoyataja hapa wakati unajua kabisa kuwa huu mgomo wa sasa umeanza baada ya uongozi wa chuo kuingilia uchaguzi wa wanafunzi kwa kumsimamisha masomo mgombea popular kutoka Uganda na wengine watano waliokuwa wanamuunga mkono.

Kumbuka chanzo cha mgomo wa sasa na sio kuleta migomo yote ya nyuma kwenye huu.
 
Mushi,

Mwaka wa shule UDSM unaanza lini? Je mikopo inatolewa lini? Kwa nini wanafunzi hawa hawakuwa na calculators mwaka ulipoanza walipopewa pesa za mikopo yao? Je umeme na maji vimeanza kuwa kero kwa Taifa leo au jana?
Tatizo sio tatizo..bali tatizo ni usugu wa tatizo!
Unazungumzia Umeme na Maji, nilimuuliza YNIM, je kwa kuwa tuna shida ya maji na umeme basi kila mtu aanze fujo na kuharibu mali, wagome kwenda kazini na viwanda viache uzalishaji mali kisa mgao wa maji na umeme?
Hili umeshapata jibu
Lets be realistic hapa. Tunajua tuna matatizo, lakini kuwa na matatizo si kigezo cha kukosa uungwana wa kufanya majadiliano na kukimbilia kufanya fujo.

Kila mtu anapiga kelele kuhusu Ufisadi, uhujumu, mikataba mibovu na kukosa kuwajibika. Lakini kilio hiki hakimanishi tupoteze utu na kuanza fujo na hata kuharibu mali na kusitisha uzalishaji mali!
Hapa ndio penyewe!Ndio the core of the whole problem!UONGOZI BORA NI MUHIMU KULIKO UNAVYOTAKA TUFIKIRI OTHRWISE!
Hilo la Maria Antionette will never fly! Litatumika kama reference lakini kama kigezo cha fujo kilikuwa ni Calculator, umeme, maji na uchaguzi kama YNIM alivyoniambia, basi tuna tatizo kubwa sana kama Taifa kuwa Kijiji chetu cha ujenzi wa Fikra komavu za kuongoza juhudi, maarifa na kurutubisha maendeleo hakiwezi kutumia uwezo wke wa "kisomi" kutatua migogoro au matatizo!
Hayo yote ni mahitaji muhimu kwa kwa jamii kwa ujumla na siyo mlimani peke yake!
Tunajenga taifa na viongozi wa aina gani kama hatutaki kuwaonyesha kuwa maji ni hitaji muhimu!Especially mahali kama bongo ambapo hata shower mara mbili kwa siku ni justified!
Na hata ya kunywa yenyewe ni shida!Nakumbuka kabla maji ya chupa hayajapata umaarufu bongo tulikuwa tukinunua maji tsh 10 kwa glasi reja reja!
Na huko vijijini ndio balaa!watoto kutopata muda wa kujisomea badala yake kutembea kilomita na maili nyingi tu kwenda kuchota maji!MAJI NI HITAJI MUHIMU LA JAMII!
Mchungaji gani ambaye huna huruma na mahitaji muhimu ya jamii kama maji?MAJI NI UHAI MCHUNGAJI!Matatizo haya yote ni sugu na yenye kutakiwa uvumbuzi!FRIDGE ZA VIONGOZI ZINASHINDILIWA MIBIA KILA SIKU KWA PESA ZA WALIPA KODI HALAFU UNASEMA VIJANA HAWAHITAJI MAJI?!
 
Asha,

My words stand, I did not misspoke!.

Mgomo juu ya Calculator, Maji na Umeme ni wa kijinga. Umesababisha masomo kusimama, mali kuharibika na damu kumwagika.

Where is dialogue? nimeuliza kama wao wanafunzi walishindwa ku-level na Mukandala then, kwa nini hawakwenda Wizarani, Waziri Mkuu au Ikulu?

Nimesema, wachukue mikopo wanunue Calculators period! Nimesema tunaendekeza sana kauli kuwa kila mtu ni maskini wakati si kweli. Wale walio maskini wa kweli ni wachache na inawezekana wala hawakugoma maana kuishi kwao kimasikini, Umeme na Maji ni anasa tangu asili!

38 kids created a havoc that led to 14500 students education be interupted due to a calculators and elevetors? Where are the priorities siku hizi kuleta active resistance?

Hivyo basi utasema hata wale wanafunzi waliochoma shule kisa sukari kwenye chai na uji walikuwa sawa?

Common Asha, you are better than that!



I also stand with my words, a Reverend who believes in this:

“Amani Iwe Nanyi,

Camerlengo

Plu Camerlenghi- Revolutionary Right Reverend Kishoka

"Any existence deprived of freedom is a kind of death." Gen. Michel Aoun

'Who comes to give greeting to the Inkosi-kaas? Who would taste her kiss, whereof the fruit is death? I, the Woodpecker, I, the Slaughterer, I the Swiftfooted! I, Umslopogaas!" “

When he comes up and say, mgomo na maandamano ni utoto- then lazima itakuwa amelewa ufisadi na kuanza kufikiria kifisadi(note: I have not said wewe ni FISADI).

Hilo suala la Maji nk si yamejadiliwa mpaka Bunge la Muungano wa Tanzania, nini kwa Mukandala na jibu la serikali limekuwa nini- “Serikali inatambua uzito wa tatizo na itazitafutie suluhisho kero za wanafunzi pindi uwezo wa fedha utakavyoruhusu”. And this has been the same answer, year after year- And I think these ministers have a gadem template of these answers. They just haste, cut and paste.

Sasa kwani si umeona kwamba wanafunzi walipitia hatua zote za dialogue? Paparazi Muwazi si alituwekea hapa hatua za vikao ambavyo vimefanywa kabla?

Migomo hii ya wanafunzi na mivutano ya Mukandara imeanza kitambo, na huyu jamaa alieleza wazi hasira juu yao. Unakumbuka majibu yake kwa lile bango la wanafunzi “Tatizo sio bodi ya Mikopo, ni hii serikali ya Kishikaji ya Kikwete”, Unakumbuka maneno yake kuhusu Maandamano ya Wafunafunzi kupinga ufisadi yaliyoishia Jangwani? Unakumbuka kwamba mgomo ulianzia na suala la kupandishwa kwa ada? Na yeye mwenyewe umemsikia akisema ‘wanaongoza mgomo ni wale walioshindwa gharama za ada’, sasa jiulize hapa- “si rafiki yake Kikwete alisema hakuna mtoto wa masikini ambaye atashindwa kusoma kwa sababu ya ada’. Sasa si huyu Mukandala aliyewaandikia barua za kuwarudisha nyumbani kwa kushindwa kulipa ada? Hii migomo imekuwa ikiambatana mmoja baada ya mwingine, hivyo kusema ni ya “calculator’ ni kwamba umeamua kufanya ‘miscalculations’. Na hata kama ingekuwa ya calculator, kama wanafunzi walikuwa na haki ya kupewa, wamefanya dialogue chuo kimekaa- ni njia zipi za shinikizo zinazokubalika duniani? Sasa hayo mapinduzi yako yanayokufanya uwe Rev Kishoka yako kwenye nini?

Nani kakudanganya ni mgomo wa wanafunzi ndio umemwaga damu? Maandamano ya kwanza hayakumwaga damu- si unajua mwenyewe yule Dominick mwanafunzi aliyekuwa mara ya kwanza alikufa kwa ajali si maandamano?

Yeye alikuwa kiongozi wa maandamano, baada ya kazi kumalizika- akaamua kwenda kujipoza kwa kuogelea, huko akadumbukia majini na kufa, kuna uhusiano gani na kuandamana kwenda nyumbani kwa Mukandala? Ni kama tu baada ya maandamano angeenda pale UDASA kunywa supu ya Samaki akakwamwa na mwiba na kufa au angekatiza pale barabarani na kugongwa na daladala.

Ama huyu wa pili ni makosa ya wanafunzi walioandamana kwa AMANI au ya FFU waliomtisha mwanafunzi mpaka akijifungua mtoto wa kwa HOFU? Kama kuna kufa kwa yule kichanga basi walioua ni FFU wa Kikwete walioitwa na swahiba wake Mukandala!

Mnaweza kuchukulia suala hili ni dogo, hawa jamaa wakiachwa hivi wataanza utamadani wa ku-suppress dissent, watahamia kwa Wafanyakazi wakigomea mishahara, watakuja kwa Vyama Vya Upinzani. Maana tayari kwa WAMACHINGA walishamaliza kwa staili hiyo hiyo ya kuua. Na kule kwa wachimbaji wadogo waliamua kuwafukia kabisa kule Bulyankulu, na sasa Buzwagi wanajiandaa kuwaswaga kama ng’ombe, kule Tarime waandamaji hutawanywa kwa Risasi za Moto kwa kuuwawa. Kumbuka hata kule Pemba unadhani waliosababisha Raia kufa januari 26, 27 walikuwa ni CUF basi? Ni askari wa FFU ambao kwanza kabla ya kutuliza fujo wanaanzisha vujo kwa kupiga risasi na mabovu ya machozi, watu ama watakimbia na kujiumiza wenyewe au watu wataamua kujihami kwa mawe na kupambana nao, na hapo ndipo wanapopata sababu ya kuua kwa kisingizio cha kutuliza ghasia. Na mwisho wa ghasia, itaendelezwa kuwa waandamanaji wamefanya vurugu kweli kweli

Kwa hiyo endelea tu na msimamo wako kwamba waliogomea lift ni wajinga, wapumbavu, ungrateful kids na rotten bratts. What goes around, comes around. May Allah give you the blessing you deserve.


Asha
 
Lakini kumbuka kuwa hizi ni kazi ambazo kuna watu wenye kuendesha familia zao na pia wame qualify lakini hawazipati!
Ni vizuri kuwa na program kama hizo lakini zinahitaji financial backing!Program ambayo serikali yetu nayo itashiriki kikamilifu kuifanikisha!
Reverand nataka pia nikukumbushe..kuwa licha ya kwamba nchi kama marekani ni ya kibepari bado universty nyingi tu zinamilkiwa na serikali!wafanyakazi wote maprofessa wa university and everbody ni waajiriwa wa serkali!Serikali ina mipango mingi tu kama Federal stafford loans,grants,plenty of scholarships,school work and paternships etc!
Lakini kwa masikitiko makubwa..unawashauri waende wakawanyang'anye wapiga debe na makonda kazi wanazozitegemea kuziendesha familia zao pengine hata wengine waliopo hapo hapo mlimani!
Rev. we also have to check with the reality!

Mushi,

Naona dira ya thread imegeuka na kuwa mambo ya maendeleo. I hope tunaweza endelea na majadiliano.

Mimi ni mmoja wa wale staunch supporters wa ujamaa na fikra za Nyerere. Kweli wakati ule wakati tunaanza kujenga Taifa, ilibidi Serikali isaidie jamii. Lakini pamoja na kusaidia jamii huku, jamii ilikuwa inawajibika pia japo hata kwa asilimia ndogo kushiriki katika gharama za ujenzi wa Taifa ikiwa ni pamoja na vitu kama Afya na Elimu.

Tuko kwenye karne ya ushindani wa kibiashara na falsafa za kijamaa kusema Serikali ndiyo itabeba kila kitu hazifanyi kazi. Ikiwe Serikali itabeba kila kitu, basi kodi ya mapato itabidi iongezeke kwa kiwango kikubwa sana ili Serikali iendelee kubeba gharama zote za afya kwa jamii na elimu.

Lakini sisi hatujawa Sweden kuwa na uwezo wa kuzalisha rasilimali zetu kwa kutosha na hivyo Serikali kutoza kodi kubwa ili itoe elimu na afya bure kwa Taifa.

Hata Marekani, ni serikali za majimbo ambazo zinamiliki mashule, lakini gharama za kuendesha shule hizi na mahospitali zinatokana na kodi.

Kodi ninayolipa mimi kwa mshahara wangu na kila ninachotumia mpaka kodi ya kiwanja, 25-35% inakwenda kwa serikali kwa ajili ya mipango ya elimu na afya. Na kwa elimu hii ni kwa elimu wa msingi na sekondari pekee. Kwenye vyuo, kodi zinalipia mishahara na gharama nyingine za uendeshaji. Vyuo vinapata ruzuku kujiendesha. Wanafunzi wanapewa mikopo au misaada kutokana na uwezo wa kifamilia na kipato cha mwanafunzi huyu.

Mwanafunzi huyu hata akipata scholarship, bado gharama ya vitabu na malazi ni juu yake, na akipata malazi, vitabu na supplies kama calculators ni jukumu lake. ndio maana wenzetu hufanya kazi kwa kuwa zipo. Kazi zipo kutokana na juhudi na maarifa ya kuwa wabunifu kukidhi mfumuko wa ongezeko la watu na kuangalia ni vipi uzalishaji mali uongezeke na kuongeza pato la Taifa.

Je sisi safari yetu ya kwenda uchumi huria inaendaje? rejea bandiko langu la Lost in translation uone mtazamo wangu wa kuhama kutoka Ujamaa na kwenda soko huria.

Hata kama leo tungeendelea kuwa na ujamaa, bado ni wajibu wa kila mtu kuanza kuchangia sehemu ya gharama. Kama tusipofanya hivyo, basi Taifa litafilisika na maisha kuwa magumu.

Karne iliyopo ni ya ushindani wa hali ya juu. Ndio maana wengine wenu mnafanya masters, mnafanya PHD, ili uweze kuuzika kwenye soko na kuwashinda washindani wengine.

Same thinking and methods could be applied on Ukonda na Utingo. Kuwa competitive workforce that can generate more revenues with focus in providing quality service and less spending is benefitial.

Leo ningekuwa na basi, ukaja kuomba kazi na kujiuza na kufanya kazi bora, si una uhakika kazi ni yako na hata kipato chako kuongezeka?

Swala si kukosa utu, bali ni kutoa msukumo wa kuwa wabunifu. Ikiwa makonda na Utingi wataona wasomi wanaingilia kazi zao na kuongeza ufanisi wa huduma za mabasi na vipanya, basi mweye basi atapata ongezeko la kipato na wale utingo wasio wasomi watajifunza mbinu mpya za kuwa hodari na kulenga katika kuongeza mapato ya mwajiri wao.

Sasa hii bado ni batilii katika conceptual thinking yako? jee hii si reality?
 
I also stand with my words, a Reverend who believes in this:

“Amani Iwe Nanyi,

Camerlengo

Plu Camerlenghi- Revolutionary Right Reverend Kishoka

"Any existence deprived of freedom is a kind of death." Gen. Michel Aoun

'Who comes to give greeting to the Inkosi-kaas? Who would taste her kiss, whereof the fruit is death? I, the Woodpecker, I, the Slaughterer, I the Swiftfooted! I, Umslopogaas!" “

When he comes up and say, mgomo na maandamano ni utoto- then lazima itakuwa amelewa ufisadi na kuanza kufikiria kifisadi(note: I have not said wewe ni FISADI).

Hilo suala la Maji nk si yamejadiliwa mpaka Bunge la Muungano wa Tanzania, nini kwa Mukandala na jibu la serikali limekuwa nini- “Serikali inatambua uzito wa tatizo na itazitafutie suluhisho kero za wanafunzi pindi uwezo wa fedha utakavyoruhusu”. And this has been the same answer, year after year- And I think these ministers have a gadem template of these answers. They just haste, cut and paste.

Sasa kwani si umeona kwamba wanafunzi walipitia hatua zote za dialogue? Paparazi Muwazi si alituwekea hapa hatua za vikao ambavyo vimefanywa kabla?

Migomo hii ya wanafunzi na mivutano ya Mukandara imeanza kitambo, na huyu jamaa alieleza wazi hasira juu yao. Unakumbuka majibu yake kwa lile bango la wanafunzi “Tatizo sio bodi ya Mikopo, ni hii serikali ya Kishikaji ya Kikwete”, Unakumbuka maneno yake kuhusu Maandamano ya Wafunafunzi kupinga ufisadi yaliyoishia Jangwani? Unakumbuka kwamba mgomo ulianzia na suala la kupandishwa kwa ada? Na yeye mwenyewe umemsikia akisema ‘wanaongoza mgomo ni wale walioshindwa gharama za ada’, sasa jiulize hapa- “si rafiki yake Kikwete alisema hakuna mtoto wa masikini ambaye atashindwa kusoma kwa sababu ya ada’. Sasa si huyu Mukandala aliyewaandikia barua za kuwarudisha nyumbani kwa kushindwa kulipa ada? Hii migomo imekuwa ikiambatana mmoja baada ya mwingine, hivyo kusema ni ya “calculator’ ni kwamba umeamua kufanya ‘miscalculations’. Na hata kama ingekuwa ya calculator, kama wanafunzi walikuwa na haki ya kupewa, wamefanya dialogue chuo kimekaa- ni njia zipi za shinikizo zinazokubalika duniani? Sasa hayo mapinduzi yako yanayokufanya uwe Rev Kishoka yako kwenye nini?

Nani kakudanganya ni mgomo wa wanafunzi ndio umemwaga damu? Maandamano ya kwanza hayakumwaga damu- si unajua mwenyewe yule Dominick mwanafunzi aliyekuwa mara ya kwanza alikufa kwa ajali si maandamano?

Yeye alikuwa kiongozi wa maandamano, baada ya kazi kumalizika- akaamua kwenda kujipoza kwa kuogelea, huko akadumbukia majini na kufa, kuna uhusiano gani na kuandamana kwenda nyumbani kwa Mukandala? Ni kama tu baada ya maandamano angeenda pale UDASA kunywa supu ya Samaki akakwamwa na mwiba na kufa au angekatiza pale barabarani na kugongwa na daladala.

Ama huyu wa pili ni makosa ya wanafunzi walioandamana kwa AMANI au ya FFU waliomtisha mwanafunzi mpaka akijifungua mtoto wa kwa HOFU? Kama kuna kufa kwa yule kichanga basi walioua ni FFU wa Kikwete walioitwa na swahiba wake Mukandala!

Mnaweza kuchukulia suala hili ni dogo, hawa jamaa wakiachwa hivi wataanza utamadani wa ku-suppress dissent, watahamia kwa Wafanyakazi wakigomea mishahara, watakuja kwa Vyama Vya Upinzani. Maana tayari kwa WAMACHINGA walishamaliza kwa staili hiyo hiyo ya kuua. Na kule kwa wachimbaji wadogo waliamua kuwafukia kabisa kule Bulyankulu, na sasa Buzwagi wanajiandaa kuwaswaga kama ng’ombe, kule Tarime waandamaji hutawanywa kwa Risasi za Moto kwa kuuwawa. Kumbuka hata kule Pemba unadhani waliosababisha Raia kufa januari 26, 27 walikuwa ni CUF basi? Ni askari wa FFU ambao kwanza kabla ya kutuliza fujo wanaanzisha vujo kwa kupiga risasi na mabovu ya machozi, watu ama watakimbia na kujiumiza wenyewe au watu wataamua kujihami kwa mawe na kupambana nao, na hapo ndipo wanapopata sababu ya kuua kwa kisingizio cha kutuliza ghasia. Na mwisho wa ghasia, itaendelezwa kuwa waandamanaji wamefanya vurugu kweli kweli

Kwa hiyo endelea tu na msimamo wako kwamba waliogomea lift ni wajinga, wapumbavu, ungrateful kids na rotten bratts. What goes around, comes around. May Allah give you the blessing you deserve.


Asha

Asha,

You have made grand assumption ya arguments zangu kutokana na mlolongo wako wa maelezo of what happened.

Mimi nimebase majibu yangu kutokana na alichokisema YNIM kama nilivyokuonyesha.

Hayo mengine yote sikuwa nayafahamu zaidi ya vurugu za February.

Hata hivyo, bado hakuna justification ya kufanya vurugu na kuharibu mali.
 
Mushi,

Naona dira ya thread imegeuka na kuwa mambo ya maendeleo. I hope tunaweza endelea na majadiliano.

Mimi ni mmoja wa wale staunch supporters wa ujamaa na fikra za Nyerere. Kweli wakati ule wakati tunaanza kujenga Taifa, ilibidi Serikali isaidie jamii. Lakini pamoja na kusaidia jamii huku, jamii ilikuwa inawajibika pia japo hata kwa asilimia ndogo kushiriki katika gharama za ujenzi wa Taifa ikiwa ni pamoja na vitu kama Afya na Elimu.

Tuko kwenye karne ya ushindani wa kibiashara na falsafa za kijamaa kusema Serikali ndiyo itabeba kila kitu hazifanyi kazi. Ikiwe Serikali itabeba kila kitu, basi kodi ya mapato itabidi iongezeke kwa kiwango kikubwa sana ili Serikali iendelee kubeba gharama zote za afya kwa jamii na elimu.

Lakini sisi hatujawa Sweden kuwa na uwezo wa kuzalisha rasilimali zetu kwa kutosha na hivyo Serikali kutoza kodi kubwa ili itoe elimu na afya bure kwa Taifa.

Hata Marekani, ni serikali za majimbo ambazo zinamiliki mashule, lakini gharama za kuendesha shule hizi na mahospitali zinatokana na kodi.

Kodi ninayolipa mimi kwa mshahara wangu na kila ninachotumia mpaka kodi ya kiwanja, 25-35% inakwenda kwa serikali kwa ajili ya mipango ya elimu na afya. Na kwa elimu hii ni kwa elimu wa msingi na sekondari pekee. Kwenye vyuo, kodi zinalipia mishahara na gharama nyingine za uendeshaji. Vyuo vinapata ruzuku kujiendesha. Wanafunzi wanapewa mikopo au misaada kutokana na uwezo wa kifamilia na kipato cha mwanafunzi huyu.

Mwanafunzi huyu hata akipata scholarship, bado gharama ya vitabu na malazi ni juu yake, na akipata malazi, vitabu na supplies kama calculators ni jukumu lake. ndio maana wenzetu hufanya kazi kwa kuwa zipo. Kazi zipo kutokana na juhudi na maarifa ya kuwa wabunifu kukidhi mfumuko wa ongezeko la watu na kuangalia ni vipi uzalishaji mali uongezeke na kuongeza pato la Taifa.

Je sisi safari yetu ya kwenda uchumi huria inaendaje? rejea bandiko langu la Lost in translation uone mtazamo wangu wa kuhama kutoka Ujamaa na kwenda soko huria.

Hata kama leo tungeendelea kuwa na ujamaa, bado ni wajibu wa kila mtu kuanza kuchangia sehemu ya gharama. Kama tusipofanya hivyo, basi Taifa litafilisika na maisha kuwa magumu.

Karne iliyopo ni ya ushindani wa hali ya juu. Ndio maana wengine wenu mnafanya masters, mnafanya PHD, ili uweze kuuzika kwenye soko na kuwashinda washindani wengine.

Same thinking and methods could be applied on Ukonda na Utingo. Kuwa competitive workforce that can generate more revenues with focus in providing quality service and less spending is benefitial.

Leo ningekuwa na basi, ukaja kuomba kazi na kujiuza na kufanya kazi bora, si una uhakika kazi ni yako na hata kipato chako kuongezeka?

Swala si kukosa utu, bali ni kutoa msukumo wa kuwa wabunifu. Ikiwa makonda na Utingi wataona wasomi wanaingilia kazi zao na kuongeza ufanisi wa huduma za mabasi na vipanya, basi mweye basi atapata ongezeko la kipato na wale utingo wasio wasomi watajifunza mbinu mpya za kuwa hodari na kulenga katika kuongeza mapato ya mwajiri wao.

Sasa hii bado ni batilii katika conceptual thinking yako? jee hii si reality?
Tanzania ni taifa lenye asilimia kubwa ya watu wasiokuwa na kisomo na wewe unataka wanaobahatika kusoma waende tena wakabanane na wananchi badala ya kwenda kuwaelimisha na kushirikiana nao kuibadilisha nchi yetu na kuiletea uongozi bora na maendeleo!Thats the core!
Tunataka pia baadhi yao wakabanane na kinachenge na sio chingas!(chinga Mkapa ndani though)
Tunataka wawe na high dream na wawezeshwe kuzi impliment ideas zao bila ya kuonekana kuwa ni wahuni na ma anti uongozi!
Wengi wao watakuja kuwa viongozi wetu..mfano ni wanasiasa wengi tu machachari kama Zito Mbatia na wengineo!Tunawaandaa viongozi wa aina gani kama hatutawaonyesha kuwa uongozi ni uwajibikaji na maji ni hitaji muhimu kwa jamii?

 
Hayo yote ni mahitaji muhimu kwa kwa jamii kwa ujumla na siyo mlimani peke yake!
Tunajenga taifa na viongozi wa aina gani kama hatutaki kuwaonyesha kuwa maji ni hitaji muhimu!Especially mahali kama bongo ambapo hata shower mara mbili kwa siku ni justified!
Na hata ya kunywa yenyewe ni shida!Nakumbuka kabla maji ya chupa hayajapata umaarufu bongo tulikuwa tukinunua maji tsh 10 kwa glasi reja reja!
Na huko vijijini ndio balaa!watoto kutopata muda wa kujisomea badala yake kutembea kilomita na maili nyingi tu kwenda kuchota maji!MAJI NI HITAJI MUHIMU LA JAMII!
Mchungaji gani ambaye huna huruma na mahitaji muhimu ya jamii kama maji?MAJI NI UHAI MCHUNGAJI!Matatizo haya yote ni sugu na yenye kutakiwa uvumbuzi!FRIDGE ZA VIONGOZI ZINASHINDILIWA MIBIA KILA SIKU KWA PESA ZA WALIPA KODI HALAFU UNASEMA VIJANA HAWAHITAJI MAJI?!

Are you really sure of what you are accusing me here off? When did I state absence of basic necessities of human beings was okay?

I need you to go through my 1000+ postings and find where did I say people do not need necessities such as water? find one thread even if it is by implication!

What I questioned was the logic to create a strike, disturbing peace and create havoc which has led to temporary closure of UDSM.

Let me be straight here, I am not siding with Administration either!
 
Are you really sure of what you are accusing me here off? When did I state absence of basic necessities of human beings was okay?

I need you to go through my 1000+ postings and find where did I say people do not need necessities such as water? find one thread even if it is by implication!

What I questioned was the logic to create a strike, disturbing peace and create havoc which has led to temporary closure of UDSM.

Let me be straight here, I am not siding with Administration either!

Your either for the student or agaisnt the student, so far you have been so much against the students. Tupe upande wako wa pili basi wa mapungufu ya UTAWALA katika sakata hili zima basi.

Natamani kusikia labda nitarejesha imani.

Kauli yako ya lift na wanafunzi inakaribia kufanana na ile ya Mramba ya wananchi kula nyasi

Asha
 
Your either for the student or agaisnt the student, so far you have been so much against the students. Tupe upande wako wa pili basi wa mapungufu ya UTAWALA katika sakata hili zima basi.

Natamani kusikia labda nitarejesha imani.

Kauli yako ya lift na wanafunzi inakaribia kufanana na ile ya Mramba ya wananchi kula nyasi

Asha

Is this a threat? If it is a threat you are barking at a wrong tree! I have been againts their irrational behavior and not otherwise!

On Utawala, I never said any where that Utawala was right on anything! Yes Utawala mishandled the whole situation. They bear equal responsibility same as students.

Tatizo la Utawala si Mukandala pekee, bali ni mfumo mzima wa elimu ya Tanzania na kule kujengeka kwa tabaka bovu la kuona kuwa "Usomi" na hasa Chuo Kikuu ndio kitivo kikuu, alpha na omega wa kila kitu huku jambo hilo si kweli.

Nikichukulia kwa juu juu bandiko lako lililopita kuhusu UTAWALA, Utawala umetumia mabavu ya kimamlaka kwa kushindwa kuakaa chini na kuongea na DARUSO kuhusiana na matatizo.

Aidha kwa kufuata mtiririko wa mabandiko kadhaa, Mkuu wa Chuo inaonekana hapendeki, kwa sababu moja au nyingine. Kama ni kweli unayoyasema kuwa alitumia nguvu zake kama mshikaji wa Raisi, basi kwanza hafai kuwa Mwalimu, pili hafai kuongoza taasisi yeyote.

Je tatizo ni Utawala wa UDSM pekee au ni mpaka Wizara mama na Serikali kuu? Hapo ndipo domino effcet inakuja na suala langu la kusema mfumo mzima wa elimu ni mbovu na unatokana na mazingiea mabovu yaliyoko ya kiutendaji na kiuchumi.

A responsible leadership and administration is the one which is inclusive and entertains continuos dialogue. Hapa Mukandala and others were not patient enough ku-reach out to Uongozi wa Wanafunzi au kufafanua maamuzi yao iwe ni kumzuia Mganda au kusimamisha uchaguzi.

Je Mukandala alikataa kukutana na Serikali ya Wanafunzi kutoa muongozo au ufafanuzi wa hatua yake? kama hakufanya hivyo, ni makosa.

Je ilikuwa ni lazima kuweka mabandiko provocative? huo ni upofu wa kutisha sawa na kuanzisha fujo kisa calculator!

Je tatizo la maji na umeme ni la Uongozi wa Chuo au ni la nchi nzima? What would Mukandala do if Dawasco na Tanesco wamekata maji na bili zote zimelipwa?

Nanukuu nilichomjibu YNIM tena maana ni yeye ndiye tuliyeanza gumzo hili

Quote:
YournameisMINE


Rev,
nilikuwa naongelea minds! unajibu la kila kinachokuja mbele yako, which is a good thing!.....no wonder kibabu (rip) kilitaka kukukalisha kitako!!

swali...hivi kama ungekuwa unaandika paper juu ya matatizo ya kila aina ya wanafunzi wa mlimani na vyuo vingine(sio juu ya migomo tu), kwamba matatizo like "matatizo loaded" loaded...ni nini ingekuwa conclusion yako, yaani iwe ndio problems solver? na uliza hivi kwasababu una mawazo mazuri, lakini yapo scattered, na some unrealistic!! put it together, ni nini hasa kifanyike...??




You know you are a very good student, they should make you the president of DARUSO!

Mimi si mtaaluma au mtaalam, lakini nitajitahidi kukujibu swali lako la pili ifuatavyo. Nitatumia hiyo "Scattered" method kuwasilisha ujumbe wangu kwako na kwa wale wa DARUSO wanaosoma hapa.

Kuna tatizo kubwa la mfumo wa Elimu Tanzania na hili ni kikwazo kikubwa sana katika wakati na karne hii ya ushindani wa uchapakazi na technologia.

Elimu yetu si ya kuelimisha ili kujenga maarifa. Elimu yetu ni ya kupata vyeti kwanza, ndipo uanze kujenga maarifa.

Si jukumu la DARUSO kurekebisha mfumo wa ufundishaji au mitaala pale UDSM, lakini wanaweza kuwa na influence kubwa sana katika kuleta msukumo wa kuleta mabadiliko ambayo yatamfanya;

  • Mwanafunzi aende kuelimika na si kujijenga ili afaulu,
  • utampa mwanafunzi nafasi ya kujifunza kazi na kujituma na si kusubiri mpaka akisha vikwa joho na kofia ya miraba minne,
  • utaleta mabadiliko ya zile fikra potofu za "usomi" na hivyo kuchochea msukumo wa kuthamini kila kazi, ushiriki wa kila fani hivyo kuongeza ubunifu,
  • utamwandaa mwanafunzi na mhitimu awe tayari kuingia katika ujenzi wa taifa na kufanya kazi na si kupoteza muda kujifunza upya.
Mimi naupenda mfumo liberal wa elimu ya juu ya Marekani. Unatoa nafasi kwa yeyote kujifunza kile anachotaka, mfumo unajenga ushindani na unazalisha mazao bora ambayo yako tayari kuingia kwenye work force.

Mfumo huu unaruhusu kuwepo kwa nafasi kwa mwanafunzi kwenda shule na kufanya kazi wakati huo huo. Si mfumo uliogangamaa kama mfumo wetu ambao ni stationary!

Ukisharekebisha mfumo, basi unakuja kwenye masuala ya pesa.

Wewe ni mmoja wa wale wanaosema Mwalimu Nyerere katufanya masikini. HIvyo basi, lile wazo la kutoa elimu bure ulifute ama sivyo unapingana na kauli zako za kisa cha Tanzania kuwa masikini, mojawapo ikiwa ni fikra mbovu za elimu bure!

Hali halisi ni kuwa kila mtu achangie gharama. Tumeendelea kulelea mfumo wa Kijamaa wa kila kitu ni bure, hivyo hata wakati wa kuacha kuwa tegemezi na kuchangia gharama.

Kinachohitajika ni kurekebisha mfumo wa kutoa mikopo ya elimu. Badala ya kudhania jukumu hili liiishie kwenye mabenki ya Biashara, inabidi kuwe na mfumo bora wa kibiashara ambao utatumia fungu la pesa kutoka Serikali kutoa mikopo kwa mwanafunzi yeyote na wa chuo chochote.

Masharti ya kupata mikopo yasiwe magumu, bali yawe realistic na kuhakikisha kuwa mkopaji analipa deni lake pindi anapoanza kazi baada ya kuhitimu.

If SalieMae works for Americans, and so is Perkins and Perla, then we can have similar programs in Tanzania in addition to completion to something like FASFA.

Why do we need to re-invent the wheel, while Americans, British and others have done it? why is our program so complicated? Can't we learn from others who wameendelea?
 
Kama wewe ulizaliwa na kukulia mlimani na unaandika hii poor english basi unaabisha chuo chako. Kuna wengi waliosoma mlimani ambao wanaomba hata usiseme kuwa uliishi ubungo maana unaaibisha


Unajua watanzania tuna tatizo la kucreate arguments. Point tunayoongela ni kuhusu UDSM kuwa chuo cha magester kwa miaka nenda uje. I didn't understand what was real your point?

Nimekulia Mlimani, nimesoma Telecom mlimani, wazazi wangu ni wakufunzi ndani ya mlimani. So, don't tell me anything about mlimani. I know mlimani mbele nyuma. Wanzilishi wa migomo ni
magester ambao serikali kwa kutumia kodi inawalipia ada.

Sasa Jee nani anaewatia aibu Alumni. Hawa magaster au unedited english yangu? That is the problem ya kutaka kuchangia mdahalo usio na idea nao.

Why UDSM wanagoma every year? Jibu swali na sio kutuma post 100 kuacquire premium membership
 
Back
Top Bottom