Nemesis
JF-Expert Member
- Feb 13, 2008
- 5,517
- 4,477
Nziku,
Yaani wanajichanganya kweli kwenye suala la wanafunzi waliokamatwa na hiyo ya kifo cha mama mja mzito. Kuna taarifa kuwa wanafunzi wawili wa sayansi ya jamii hawajulikani walipo.
Inawezekana wameua zaidi ya mtu mmoja hapa!
Inawezekana Mkuu, ila habari nilizozisikia mimi ni kwamba wanafunzi 39 walikamatwa na 38 wamefikishwa mahakamani leo. ila hawakusema huyo wa 39 yupo wapi.