Susuviri
JF-Expert Member
- Oct 6, 2007
- 3,713
- 889
Mwafrika wa kike, ingawa wengine hapa JF wanakuona kama mwenye msimamo mkali lakini nimekukubali sana, what you say makes sense.
Hoja hapa si kuwalaumu wanafunzi eti ni vihiyo na digri za vichupi, etc. Kwani hao wanafunzi ni product ya nani au nini? Ya education system yetu, walimu wabovu since vidudu, kukosekana kwa vitendea kazi, walimu below standard, mitihani inayo-leak kila kukicha, etc! Kwa hiyo kuleta hiyo argument will not fly. Also they are entitled to choose leaders that they want.
Kumtetea Mukandala siwezi kwa sababu ni lazima atumie hekima. Wanafunzi duniani kote wanajulikana kuwa radicals, na dawa si kuwapiga na kuwafunga jela. That's unacceptable! Na kama hii issue ya mama mjamzito ni kweli, the government has to answer.
Naomba niwakumbushe tunapenda kusema "huwezi kushindana na serikali" lakini hii ni kutoka enzi za ujamaa na one party system, hivi sasa katika democratic system, the government is the people. What we giveth, we taketh. Let us prove this to CCM and taketh away their power to govern because clearly they have failed!
Hoja hapa si kuwalaumu wanafunzi eti ni vihiyo na digri za vichupi, etc. Kwani hao wanafunzi ni product ya nani au nini? Ya education system yetu, walimu wabovu since vidudu, kukosekana kwa vitendea kazi, walimu below standard, mitihani inayo-leak kila kukicha, etc! Kwa hiyo kuleta hiyo argument will not fly. Also they are entitled to choose leaders that they want.
Kumtetea Mukandala siwezi kwa sababu ni lazima atumie hekima. Wanafunzi duniani kote wanajulikana kuwa radicals, na dawa si kuwapiga na kuwafunga jela. That's unacceptable! Na kama hii issue ya mama mjamzito ni kweli, the government has to answer.
Naomba niwakumbushe tunapenda kusema "huwezi kushindana na serikali" lakini hii ni kutoka enzi za ujamaa na one party system, hivi sasa katika democratic system, the government is the people. What we giveth, we taketh. Let us prove this to CCM and taketh away their power to govern because clearly they have failed!