pye Chang shen
JF-Expert Member
- Jul 11, 2016
- 11,422
- 6,108
Hii ndio point muhimu,Kwanini hawajafunga mpaka na Uganda na kuzuia safari za ndege??
Au vinginevyo tusitishane
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii ndio point muhimu,Kwanini hawajafunga mpaka na Uganda na kuzuia safari za ndege??
Kuna watu wangependa tupate wimbi la tatu na wanalingoja kwa hamu sana wapate kitu cha kuzungumza! Mungu alishatuponya na corona!! Tahadhari tunaendelea kuchukua! Ila nchi zingine za kiafrika zinadanganya kuwa kuna wimbi la tatu ili wapate mkopo!!! Akili zingine hapa Afrika wala huwezi kuzielewa! Isitokee hapa kwetu!!Serikali ya Tanzania imesema kuna viashiria vya wimbi la tatu la ugonjwa wa Covid-19 unaosababishwa na virusi vya corona kuingia nchini kutokana na nchi jirani wananchi wake kuzidi kupata maambukizi ya ugonjwa huo.
Akizungumza na waandishi wa habari leo Jumamosi Juni 19, 2021 katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA) mkurugenzi wa kinga wa Wizara ya Afya, Dk Leonard Subi ametoa maagizo kadhaa likiwemo la kuwataka wananchi kuvaa barakoa.
“Wizara inawakumbusha wananchi wote kutopuuza ugonjwa wa Covid-19. Wizara imeanza kuona viashiria vya kutokea kwa wimbi la tatu la mlipuko wa ugonjwa huu katika nchi yetu.”
“Hii ni kutokana na taarifa za ufuatiliaji wa mwenendo wa ugonjwa huu zinazofanywa na wizara na mwingiliano kati ya watu wetu na mataifa mengine,” amesema Dk Subi.
Amesema idadi ya wagonjwa wanaokutwa na vizuri vya corona barani Afrika imeongezeka ndani ya wiki tano mfululizo zikiwemo nchi jirani na Tanzania, “maambukizi yanaongezeka maradufu kuliko ilivyokuwa wimbi la pili.”
Katika maelezo yake amewataka wananchi kuchukua tahadhari kwa kuvaa barakoa, kutumia vitakasa mikono na kunawa mikono kwa maji tiririka na sabuni.
Chanzo: Mwananchi
Nikujue mara ngapi wewe kibabu,Acha upumbavu wa kurukia watu usiowajua humu. Nani alikwambia mimi Mzee? Mwenye matatizo ya akili ni wewe wahi Mirembe.
yes bro tumemzika leo mapemaAmefariki?
Nikujue mara ngapi wewe kibabu,
Utazeekea huko Canada I am telling you.
Pigwa hiyo chanjo wewe na vitoto na vijukuu vyako.
Kibabu kijinger sana hiki..Hahahaha mpuuzi kweli wewe!
yes bro tumemzika leo mapema
Kibabu kijinger sana hiki..
Huna lolote wewe ushazeeka ,Acha upumbavu wa kujifanya unanijua eti kibabu
😂😂😂😂😂😂
kibongo bongo kiukweli hakuna aliechukua tahadhari..Poleni sana Mkuu I hope hajaambukiza hapo nyumbani.
Huna lolote wewe ushazeeka ,
kibongo bongo kiukweli hakuna aliechukua tahadhari..
hata walioenda kumtoa hospital na kumuosha hawakuvaa mask zaidi ya gloves tuu..mungu atunusuru tuu.
bado tunachukulia poa sana hii kitu
Poleni sana.yes bro tumemzika leo mapema
Wapi nilipoishabikia wewe? Hebu weka mstari ambao nimeshaibikia Covid. Acha KUKURUPUKA soma kwa kituo uelewe kilichoandikwa.
Wala usishangae, ndiyo wale mburumundu mkuu.
Heri Taifa lile ambalo Mungu wa Israel ni Mungu waoUganda walichanjwa lakini wapi, hii Corona dawa ni kutoipa attention tu, kuvaa barakoa nako ni kama bahati nasibu, mimi nikivaa majirani zangu hawana habari nayo, na sidhani kama barakoa zinazuia 100% nyungu nayo haijathibitishwa popote, maombi?! kwani waganda hawamjui Mungu!, au Mungu ana upendeleo!, sijui tunahitaji kitu gani zaidi kuhusu huu ugonjwa ili tujikinge.
Kuna watu wa ajabu sana Mkuu. Utadhani niliandika kichina hivyo hakuelewa kilichoandikwa.
Kwa hiyo wewe hutazeeka?Huna lolote wewe ushazeeka ,