#COVID19 Serikali yatoa angalizo maambukizi mapya ya Corona

#COVID19 Serikali yatoa angalizo maambukizi mapya ya Corona

Serikali ihimize njia za kujikinga zaidi maana limeanza kutokea wimbi la hii kitu, unaweza kusema ni mafua ya musimu. Nashauri matumizi ya barakoa kwa kila mtu mahali popote pale na njia za kutumia vitakasa mikono zirudi kwa kasi kama ilivyokuwa awali....
 
Uganda walichanjwa lakini wapi, hii Corona dawa ni kutoipa attention tu, kuvaa barakoa nako ni kama bahati nasibu, mimi nikivaa majirani zangu hawana habari nayo, na sidhani kama barakoa zinazuia 100% nyungu nayo haijathibitishwa popote, maombi?! kwani waganda hawamjui Mungu!, au Mungu ana upendeleo!, sijui tunahitaji kitu gani zaidi kuhusu huu ugonjwa ili tujikinge.

Waliochanjwa wako hapa:


Uganda wala Kenya hawajafika kiwango cha kuitwa wamechanjwa. Danganyeni wale wanyonge wakiwamo sungu sungu kwenye list.
 
Uganda walichanjwa lakini wapi, hii Corona dawa ni kutoipa attention tu, kuvaa barakoa nako ni kama bahati nasibu, mimi nikivaa majirani zangu hawana habari nayo, na sidhani kama barakoa zinazuia 100% nyungu nayo haijathibitishwa popote, maombi?! kwani waganda hawamjui Mungu!, au Mungu ana upendeleo!, sijui tunahitaji kitu gani zaidi kuhusu huu ugonjwa ili tujikinge.
Ni maombi!! Kupanga ni kuchagua! Sisi tulichagua kumtanguliza Mungu na tahadhari ikafuata nyuma, wao walitanguliza tahadhari na Mungu akapewa nafasj ya nyuma! Tofati ya Tanzania na mataifa yote mengine ni hiyo!! Mungu. Hapa Tanzania wapo wengi tu wasiomwamini Mungu lakini wamefaidika kwa Viongozi wetu kuwa wacha Mungu na wakakumbuka kumtanguliza Mungu mbele!!
 
Acha kueneza conspiracy theory. Uganda wamechanywa chini ya 1%. Hakuna vaccines za kutosha. Nchi ambazo zimechanja wengi km USA, Israel, maambukizi yamepungua sana. Wanaolazwa wengi wao ni vijana ambao hawajachanjwa.
Uganda walichanjwa lakini wapi, hii Corona dawa ni kutoipa attention tu, kuvaa barakoa nako ni kama bahati nasibu, mimi nikivaa majirani zangu hawana habari nayo, na sidhani kama barakoa zinazuia 100% nyungu nayo haijathibitishwa popote, maombi?! kwani waganda hawamjui Mungu!, au Mungu ana upendeleo!, sijui tunahitaji kitu gani zaidi kuhusu huu ugonjwa ili tujikinge.
 
Ila wataalam wa afya semeni kweli tupu bila woga!! Corona is overated! Lakini pia barakoa is also overated!! Hakuna barakoa inayomkinga mtu kwa asilimia 100. Hizi surgical masks haziwezi kumkinga mtu dhidi ya corona hata kwa asilimia 50!! Hi£ za kujitengenezea ndio kabisaa uwezo wa wa kukinga dhidi ya corona ni mdogo zaidi! Ukiwasikiliza wataalam wa afya wanavyozisemea barakoa mtu anapata picha kuwa akivaa barakoa basi yuko salama sana na hawezj kuambukizwa! Siyo kweli! Ingekuwa ni kweli corona ingeshaisha kwenye nchi ambazo huwezi kutembea bila barakoa kama vile India. Lakini huko ,wa wavaaji wa barakoa ndo corona imeweka kambi!
Hata chanjo si mwarobaini wa çorona! Ingekuwa chanjo ni suluhisho basi huko Uingereza ambako wanaongoza kwa ku ha ja watu wengi maambukizi mapya yangekoma! Lakini ndo kwanza maambukizi mapya yanakngezeka kila siku na wamelazimika kusogeza mbele muda wa kuondoa lockdown kwa mwezi mmoja zaidi!! Lakini pia hata wao hawajawahi kusema ukichanjwa hutaambukizwa!
 
Acha kueneza conspiracy theory. Uganda wamechanywa chini ya 1%. Hakuna vaccines za kutosha. Nchi ambazo zimechanja wengi km USA, Israel, maambukizi yamepungua sana. Wanaolazwa wengi wao ni vijana ambao hawajachanjwa.
Hakuna nchi ya kiafrika inayoweza kuchanja zaidi ya asilimia 20 ya watu wake! Hivyo hiyo chanjo haiwezi kutupatia herd immunity inayotakiwa kutukinga na corona ambayo ni kuchanja asilimia 70!! Matumizi ya chanjo kwa hiźi nchi zetu ni kusaidia kuchanja wale ambao wanalazimika kusafiri nje ya nchi ili waruhusiwe na nchi wanakokwenda, fullstop! Hakuna cha kinga wala baba yake na kinga! Ni faida9 kwa mabeberu maana yanapiga pesa ndefu!! Ni biashara ya kulazimishwa na viongozi wetu wanajua!! Kwa masikitiko makubwa sana ni viongozi adimu sana wenye ubavu wa kuwaambia mabeberu hapana!
Njia nzuri ya kujilinda baada ya kumtanguliza Mungu ni kunawa mikono mara kwa maji kwa kutumia maji tiririka, kutakasa mkono mara kwa mara kwa kutumia sanitizer yenye alcohol 70%. Kujièpusha na misongamano ni muhimu. Lakini hili la barakoa ni kujipa ujasiri batili tu!
 
Serikali ya Tanzania imesema kuna viashiria vya wimbi la tatu la ugonjwa wa Covid-19 unaosababishwa na virusi vya corona kuingia nchini kutokana na nchi jirani wananchi wake kuzidi kupata maambukizi ya ugonjwa huo.

Akizungumza na waandishi wa habari leo Jumamosi Juni 19, 2021 katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA) mkurugenzi wa kinga wa Wizara ya Afya, Dk Leonard Subi ametoa maagizo kadhaa likiwemo la kuwataka wananchi kuvaa barakoa.

“Wizara inawakumbusha wananchi wote kutopuuza ugonjwa wa Covid-19. Wizara imeanza kuona viashiria vya kutokea kwa wimbi la tatu la mlipuko wa ugonjwa huu katika nchi yetu.”

“Hii ni kutokana na taarifa za ufuatiliaji wa mwenendo wa ugonjwa huu zinazofanywa na wizara na mwingiliano kati ya watu wetu na mataifa mengine,” amesema Dk Subi.

Amesema idadi ya wagonjwa wanaokutwa na vizuri vya corona barani Afrika imeongezeka ndani ya wiki tano mfululizo zikiwemo nchi jirani na Tanzania, “maambukizi yanaongezeka maradufu kuliko ilivyokuwa wimbi la pili.”

Katika maelezo yake amewataka wananchi kuchukua tahadhari kwa kuvaa barakoa, kutumia vitakasa mikono na kunawa mikono kwa maji tiririka na sabuni.

Chanzo: Mwananchi

Mpaka wametema ndoano basi ni hatari ,enzi za mwendazake huyu jamaa alikuwa anasema hakuna corona tz kabisa.
 
mpaka sasa ni dk ya 70

mwendazake: 3
WHO: 0

Imagine majirani wanaotuzunguka wamefanya tahadhari zote bt bado corona inawaendesha kuliko sisi.

imagine mpaka sasa hatujafunga mipaka wala kuweka masharti kwa wageni bt bado corona haijatuathiri.

tukatae tukubali kumtanguliza mungu ndo imekua afueni ya taifa letu na si vingine, tumtumainieni sana mungu maana yeye ndo muweza wa yote ndugu zangu.
 
Uganda walichanjwa lakini wapi, hii Corona dawa ni kutoipa attention tu, kuvaa barakoa nako ni kama bahati nasibu, mimi nikivaa majirani zangu hawana habari nayo, na sidhani kama barakoa zinazuia 100% nyungu nayo haijathibitishwa popote, maombi?! kwani waganda hawamjui Mungu!, au Mungu ana upendeleo!, sijui tunahitaji kitu gani zaidi kuhusu huu ugonjwa ili tujikinge.
Namba huwa hazidanganyi. Kenya, Uganda, Zambia, India nk walipoanza kuchanjana tu mlipuko wa gonjwa hili uliongezeka sana. Yaani unakuwa kama umeuchokoza vile. Tusubiri na sisi itakuaje tutakapoanza hizo chanjo ambazo tayari tumeshaziagiza baada ya watu fulani kuzililia sana. Mtoto akililia wembe mpe umkate.
 
Hadithi za Corona tushazisahahu huku kitaa labda kama wana target misaada.
Tukutane July 3 kwa Mkapa kwenye Kariakoo dabi na nyomi la mashabiki.
 
Sasa km hauna hela za kuchanja watu wako, unamlalamikia nani? Tengeneza vaccines zako uuze upata faida. Nani anakuzuia kutengeza? Acheni umasikini jeuri wenu. Mara oh sisi ni dona kantri wakati hakuna lolote.
Hakuna nchi ya kiafrika inayoweza kuchanja zaidi ya asilimia 20 ya watu wake! Hivyo hiyo chanjo haiwezi kutupatia herd immunity inayotakiwa kutukinga na corona ambayo ni kuchanja asilimia 70!! Matumizi ya chanjo kwa hiźi nchi zetu ni kusaidia kuchanja wale ambao wanalazimika kusafiri nje ya nchi ili waruhusiwe na nchi wanakokwenda, fullstop! Hakuna cha kinga wala baba yake na kinga! Ni faida9 kwa mabeberu maana yanapiga pesa ndefu!! Ni biashara ya kulazimishwa na viongozi wetu wanajua!! Kwa masikitiko makubwa sana ni viongozi adimu sana wenye ubavu wa kuwaambia mabeberu hapana!
Njia nzuri ya kujilinda baada ya kumtanguliza Mungu ni kunawa mikono mara kwa maji kwa kutumia maji tiririka, kutakasa mkono mara kwa mara kwa kutumia sanitizer yenye alcohol 70%. Kujièpusha na misongamano ni muhimu. Lakini hili la barakoa ni kujipa ujasiri batili tu!
 
Uganda walichanjwa lakini wapi, hii Corona dawa ni kutoipa attention tu, kuvaa barakoa nako ni kama bahati nasibu, mimi nikivaa majirani zangu hawana habari nayo, na sidhani kama barakoa zinazuia 100% nyungu nayo haijathibitishwa popote, maombi?! kwani waganda hawamjui Mungu!, au Mungu ana upendeleo!, sijui tunahitaji kitu gani zaidi kuhusu huu ugonjwa ili tujikinge.
Unajua vaccination coverage ya Nchi ya uganda ni ngapi? Usipende kuzungumzia vitu ambavyo huvijui....

Sent from my CPH1819 using JamiiForums mobile app
 
Ni maombi!! Kupanga ni kuchagua! Sisi tulichagua kumtanguliza Mungu na tahadhari ikafuata nyuma, wao walitanguliza tahadhari na Mungu akapewa nafasj ya nyuma! Tofati ya Tanzania na mataifa yote mengine ni hiyo!! Mungu. Hapa Tanzania wapo wengi tu wasiomwamini Mungu lakini wamefaidika kwa Viongozi wetu kuwa wacha Mungu na wakakumbuka kumtanguliza Mungu mbele!!
#Kwanini viongozi wenu walikataa kutoa data? Mungu haziakiwi jaman, Ukuumwa nenda hospitali ukatibiwe over.

Sent from my CPH1819 using JamiiForums mobile app
 
Madalali wa chanjo mnapima upepo unavyoenda.

Mmeshatafuna pesa za wazungu mmebaki kuhaha na kutapatapa na hayo makorona yenu ya maigizo.

Hakika mtapata tabu sana.
 
Nashauri matumizi ya barakoa kwa kila mtu mahali popote pale na njia za kutumia vitakasa mikono zirudi kwa kasi kama ilivyokuwa awali....
Hizo barakoa kavae wewe na mmeo.

Usituletee ujinga wa mabarakoa hapa.
 
Ha ha nimeshapata awamu zote 3, hii chanjo ije tuu walio vulnerable waepuke kikombe, kwa my lifestyle siongei mengi [emoji1787] allergic to virus
 
Hao ni the brainwashed. Wamo humo boda boda, wapiga debe, sungu sungu na wa namna hiyo. Unategemea nini hapo mkuu?
Watanzania wana akili timamu, hawawezi kukubali kudungwa hayo machanjo toxic.

Watakaodungwa ni nyumbuh kama wewe mnaozurura mitandaoni bila dhima maalumu.

Huku mtaani mambo ni tofauti saanaa!!
 
Back
Top Bottom