#COVID19 Serikali yatoa angalizo maambukizi mapya ya Corona

Kuna watu wangependa tupate wimbi la tatu na wanalingoja kwa hamu sana wapate kitu cha kuzungumza! Mungu alishatuponya na corona!! Tahadhari tunaendelea kuchukua! Ila nchi zingine za kiafrika zinadanganya kuwa kuna wimbi la tatu ili wapate mkopo!!! Akili zingine hapa Afrika wala huwezi kuzielewa! Isitokee hapa kwetu!!
 
Acha upumbavu wa kurukia watu usiowajua humu. Nani alikwambia mimi Mzee? Mwenye matatizo ya akili ni wewe wahi Mirembe.
Nikujue mara ngapi wewe kibabu,

Utazeekea huko Canada I am telling you.

Pigwa hiyo chanjo wewe na vitoto na vijukuu vyako.

Kibabu kijinger kabisa hiki.
 
Hahahaha mpuuzi kweli wewe!
Nikujue mara ngapi wewe kibabu,

Utazeekea huko Canada I am telling you.

Pigwa hiyo chanjo wewe na vitoto na vijukuu vyako.
 
Poleni sana Mkuu I hope hajaambukiza hapo nyumbani.
kibongo bongo kiukweli hakuna aliechukua tahadhari..
hata walioenda kumtoa hospital na kumuosha hawakuvaa mask zaidi ya gloves tuu..mungu atunusuru tuu.
bado tunachukulia poa sana hii kitu
 
Hunijui sikujui unaonyesha jinsi ulivyo mpumbavu na KUKURUPUKA kujifanya unanijua. Wahi mirembe kabla hujaanza kuokota makopo barabarani.
Huna lolote wewe ushazeeka ,
 
Poleni sana.
kibongo bongo kiukweli hakuna aliechukua tahadhari..
hata walioenda kumtoa hospital na kumuosha hawakuvaa mask zaidi ya gloves tuu..mungu atunusuru tuu.
bado tunachukulia poa sana hii kitu
 
Wapi nilipoishabikia wewe? Hebu weka mstari ambao nimeshaibikia Covid. Acha KUKURUPUKA soma kwa kituo uelewe kilichoandikwa.

Wala usishangae, ndiyo wale mburumundu mkuu.
 
Reactions: BAK
Mungu baba muumba wa mbingu na nchi tunakushukuru kwa kuiponya nchi yetu na korona. Tunakuomba uendelee kutukinga na corona. Wewe ndiwe kinga yetu na ngome yetu! Mataifa yote yanashangaa jinsi ambavyo umetulinda na corona!! Wengine wanakataa kuamini lakini matokeo ya usalama wa nchi yetu utawalazimisha waamini! Ninakuomba Baba katika Jina lipitalo majina yote Jina la Yesu Kristo na wote wampendao Mungu waseme -AMINAAAA.
 
Heri Taifa lile ambalo Mungu wa Israel ni Mungu wao
 
Kuna watu wa ajabu sana Mkuu. Utadhani niliandika kichina hivyo hakuelewa kilichoandikwa.

Hao ni the brainwashed. Wamo humo boda boda, wapiga debe, sungu sungu na wa namna hiyo. Unategemea nini hapo mkuu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…