Vaccination coverage inasaidia nini kama huko ulaya wanao cover watu wengi zaidi bado wanaiogopa Corona?Unajua vaccination coverage ya Nchi ya uganda ni ngapi? Usipende kuzungumzia vitu ambavyo huvijui....
Sent from my CPH1819 using JamiiForums mobile app
Wabongo tuna copy & paste tu, wala hatujiulizi mara mbili, Mbowe alituambia kachanjwa lakini nae namuona anavaa barakoa!Machanjo ya kisanii haya. Hahahaaa...
Yaani mtu udungwe chanjo lakini bado corona ikuandame?
Maana ya chanjo ni nini sasa?
Huyu Mama Mungu atamlaani,kwa kwakutaka kuangamiza kizazi cha Watanzania,kisa apewe mkopo,hiyo chanjo hianze na uzao wake,Sisi hayo Mambo ya corona tulisha yasahau mda, yenye ndio anaanza kuyafufua kisa mkopo.Basi apige marufuku watu wasikusanyike viwanjani,vyuo vyote vifungwe,mashule yote yafungwe,magulio,afunge kila kitu,aweke Lock down,haone mziki wake.Watanganyika sio wajinga bado tunamsoma tu.Watanzania wana akili timamu, hawawezi kukubali kudungwa hayo machanjo toxic.
Watakaodungwa ni nyumbuh kama wewe mnaozurura mitandaoni bila dhima maalumu.
Huku mtaani mambo ni tofauti saanaa!!
Wapendwa wako ni wepi hao?
Hao mabaahasha zako ndo wapendwa wako?
Kama wewe na bahasha wako mnapenda chanjo haina tabu. Mkadungwe tu.
Lakini sisi tuko bize mno. Tunachapa kazi na tumeshasahau habari za sijui corona.
Hizo habari za corona huwa nazisoma kwenye TV na kwa machokoraa wa mitandaoni tu kama wewe msio na ajira inayotambulika.
Huku mtaani watu hawajui hata maana ya corona. Wako bize wanasaka pesa na kuchakarika balaa. [emoji818][emoji818]
Haya maoni ya machokoraa wa mitandaoni kuhusu corona ni maoni hafifu sana. Hayana uzito wowote ule na tumeshayapuuza kabla hata ya kuyasoma. [emoji818][emoji818]
Wewe vaa barakoa na beba sanitaiza mfukoni
Angalau nchi sasa inaonekana ina watu wenye akili. Nikikumbuka hata kutaja neno ''korona'' ilivyokuwa ni kama kosa la uhaini! Nikikumbuka wapumbavu kama yule meya wa Moshi aliyefukuza watu wenye barakoa kwenye mkusanyiko! Nikumbuka yule mama waziri wa afya alivyokuwa nusu ageuke kichaa mwokota makopo badala yake akawa kichaa mnywa juisi!Kama kawaida watakuja wale mburumundu wa kijani kupinga na kubeza taarifa hii badala ya kuchukua tahadhari.
Usijifiche.Wapendwa wangu ni mke wangu, wanangu, jamaa zangu na rafiki zangu
Usijifiche.
Tunajua nyinyi michele mna upendo wa dhati kwa mabahasha zenu. Hakuna cha mke wala nini.
Mwanzoni nilikuwa najiuliza kwanini unapenda kudungwa chanjo kwenye makalio..... kumbe unapenda sana ile kitu?
Duuuh!
Angalau nchi sasa inaonekana ina watu wenye akili. Nikikumbuka hata kutaja neno ''korona'' ilivyokuwa ni kama kosa la uhaini! Nikikumbuka wapumbavu kama yule meya wa Moshi aliyefukuza watu wenye barakoa kwenye mkusanyiko! Nikumbuka yule mama waziri wa afya alivyokuwa nusu ageuke kichaa mwokota makopo badala yake akawa kichaa mnywa juisi!
Vijana ndio wanalazwa kwa Corona?!
Huko ulaya wamechanjwa lakini bado wanaogopa watu wao wasitoke kwenda mataifa mengine, au wakirudi wawekwe karantini, UEFA Final iliyokuwa ichezwe Uturuki ikahamishiwa Ureno kisa Uturuki waliita iko kwenye "red list", sasa kama wamechanjwa waliogopa nini kwenda Uturuki?Jibu la kubahatisha tu, hata huko ulaya walikochanjwa kwa asilimia kubwa bado wanaiogopa Corona, haiwezekani uchanjwe halafu bado uje na habari za karantini.
Vijana ndio wanalazwa kwa Corona?!
Ubishi haukusaidii. Internet ni ya ku-share habari. Itumie kufuta ujinga. Siyo kupiga picha za makalio na kuposti. Soma hapa: People hospitalized with COVID-19 now have one overwhelming thing in common. They're not vaccinated..
Jibu la kubahatisha tu, hata huko ulaya walikochanjwa kwa asilimia kubwa bado wanaiogopa Corona, haiwezekani uchanjwe halafu bado uje na habari za karantini.
Huko ulaya wamechanjwa lakini bado wanaogopa watu wao wasitoke kwenda mataifa mengine, au wakirudi wawekwe karantini, UEFA Final iliyokuwa ichezwe Uturuki ikahamishiwa Ureno kisa Uturuki waliita iko kwenye "red list", sasa kama wamechanjwa waliogopa nini kwenda Uturuki?
Hahahaaaa....Unayo nafasi yako ya kudumu kwenye uzi huu:
Madhara ya Awamu ya Tano yanayofumbiwa Macho
Mabibi na mabwana awamu ya tano imepita na sasa kazi inaendelea katika awamu ya sita chini ya Rais Samia. Kwamba tupo awamu ya sita itakuwa kutojitendea haki mno kutoyaangazia kabisa madhara ya awamu ya tano kwa awamu ya sita yote chanya na hasi. Kwa uzi huu itoshe kuyaangazia madhara hasi ya...www.jamiiforums.com
Mipumbafu fulani isiyoelimika!!
Huna lolote wewe mjuaji tu.Kitu usichokijua ni kwamba virus kwa tapia yake hubadilika sura kadiri muda unavyopita. Ndiyo maana kuna variants nyingi za novel corona virus tangu igunduliwe 2019/20 km vile Alpha, Beta, Delta, nk.