Serikali yatoa Bilioni 40 za kuanza ujenzi Bandari ya Bagamoyo

Enzi ya Magufuli alikuwa hana dili alihamia kijijini ukwereni kwao Msoga; mara baada ya Jiwe kutwaliwa amerudi yuko full time mjini kufanya ufisadi wake!
Jiwe hana ubavu wowote wa kumfanya lolote JK,ni ujinga wako tuu ndio ulifanya usijue mishen town zake.

Aliendelea na ratiba zake kama kawaida na Jiwe alimtuma huko Nje kama kawaida na Jiwe huyo huyo ndio alimteua Mke wake kuwa Mbunge then akawapa Majimbo Mke na Mtoto
 
Jiwe was too smart, alikuwa anamuweka karibu kwa kumteua mkewe ili kumsize up!!
Alimjua kuwa ni mwizi akishirikiana na GSM kuiibia nchi kwa hizo unazoziita mission town zake.
 
Upuuzi,mtu smart angeishia kwenye kale kamashine? πŸ˜‚πŸ˜‚
Unaona sasa mnajitokeza na kukubali kuwa Magufuli kweli mlimtenda kwa kukorofisha kale kamshine kake!
Ndio maana mkakataa kifo chake kisichunguzwe nyie wanasiasa malaya.
 
Unaona sasa mnajitokeza na kukubali kuwa Magufuli kweli mlimtenda kwa kukorofisha kale kamshine kake!
Ndio maana mkakataa kifo chake kisichunguzwe nyie wanasiasa malaya.
Tulimtenda nini? Si aliumwa Moyo kamashine kakagoma au? πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Mlikachokochoa pale kwenye hospitali ya Kikwete ndio mwanzo wa kugoma na nyie mnajua hilo!
Remembe KARMA works.
Kwani yeye kama smart na watu wake walimpeleka hapo kufanya nini? Acha ubwege wewe pace maker πŸ˜‚πŸ˜
 
Kwani yeye kama smart na watu wake walimpeleka hapo kufanya nini? Acha ubwege wewe pace maker πŸ˜‚πŸ˜
Haya sasa wewe na mabwana zako mnakubali kuwa you have Magufuli's blood in your hands! It was a big mistake to take him there!!!
 


Tunaendelea kuwapa pesa DP world! Baasa ya kuwapa pesa za world bank
 

Kuna miradi mikubwa bado inasua sua kwa mfano SGR ; waturuki wanagoma hawalipwi fedha zao. Kule Rufiji nako siku hizi hatusikii kitu kama kuna maendeleo au la!! Serikali makini ingefanya sequencing ya hii miradi mikubwa ili Serikali isianzishe miradi mingine mikubwa kabla ya kumaliza ile iliyoanzisha lakini haijaisha.!
Kuanzisha huu mradi wa Bandari ya Bagamoyo kwa kutumia hela za ndani kama ni Kweli utakuwa mzigo mzito kwa Wananchi wakati hiyo miradi mingine mikubwa haijaanza uzalishaji!! Hii yote ni shinikizo la Kikwete Kwa Samia kwani hakuweza kufanya hivyo enzi ya Magufuli!!! The lady is too weak!!
 
Hakuna mradi unaosua sua Mzee,hata Sgr ingekuwa tayari sema manufacturer hajakamilisha Kutengeneza.

Umeme mwezi wa 2 unaanza majaribio.

Mwisho Nchi haijengi miradi kama mtu binafsi eti udubirie mradi uishe ndio uanze mwingine,huo ujinga peleka kwenye history,economics haisemi hivyo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…