National Anthem
JF-Expert Member
- Aug 9, 2022
- 19,177
- 56,121
Sawa sawa.. Nimekupata mkuuNdio mlivyodanganywa na Mwambukusi? ππ
Kama Kuna hiyo article basi DP World Yuko sahihi maana Ili upate faidia ya kibiashara,maritime business inataka usiwe na mshindani pembeni Yako.
The deficit in the budget is always bridged by external funding!! Ndio huko wanakwenda kukopa kiholela na kuongeza deni la Taifa ambalo mpaka sasa halibebeki!Government budget
Jiwe hana ubavu wowote wa kumfanya lolote JK,ni ujinga wako tuu ndio ulifanya usijue mishen town zake.Enzi ya Magufuli alikuwa hana dili alihamia kijijini ukwereni kwao Msoga; mara baada ya Jiwe kutwaliwa amerudi yuko full time mjini kufanya ufisadi wake!
Huyo mlie mtanguliza mbele ya haki ili muweze kukamilisha malengo yenu ya kufilisi maliasili za nchi nyie wanasiasa malaya!Jjiwe ni Nani kwenye hii nchi? Pimbi ww
Jiwe was too smart, alikuwa anamuweka karibu kwa kumteua mkewe ili kumsize up!!Jiwe hana ubavu wowote wa kumfanya lolote JK,ni ujinga wako tuu ndio ulifanya usijue mishen town zake.
Aliendelea na ratiba zake kama kawaida na Jiwe alimtuma huko Nje kama kawaida na Jiwe huyo huyo ndio alimteua Mke wake kuwa Mbunge then akawapa Majimbo Mke na Mtoto
Upuuzi,mtu smart angeishia kwenye kale kamashine? ππJiwe was too smart, alikuwa anamuweka karibu kwa kumteua mkewe ili kumsize up!!
Unaona sasa mnajitokeza na kukubali kuwa Magufuli kweli mlimtenda kwa kukorofisha kale kamshine kake!Upuuzi,mtu smart angeishia kwenye kale kamashine? ππ
Tulimtenda nini? Si aliumwa Moyo kamashine kakagoma au? ππUnaona sasa mnajitokeza na kukubali kuwa Magufuli kweli mlimtenda kwa kukorofisha kale kamshine kake!
Ndio maana mkakataa kifo chake kisichunguzwe nyie wanasiasa malaya.
Mlikachokochoa pale kwenye hospitali ya Kikwete ndio mwanzo wa kugoma na nyie mnajua hilo!Tulimtenda nini? Si aliumwa Moyo kamashine kakagoma au? ππ
Kwani yeye kama smart na watu wake walimpeleka hapo kufanya nini? Acha ubwege wewe pace maker ππMlikachokochoa pale kwenye hospitali ya Kikwete ndio mwanzo wa kugoma na nyie mnajua hilo!
Remembe KARMA works.
Huyu mzee ni jangili haswaEnzi ya Magufuli alikuwa hana dili alihamia kijijini ukwereni kwao Msoga; mara baada ya Jiwe kutwaliwa amerudi yuko full time mjini kufanya ufisadi wake!
Haya sasa wewe na mabwana zako mnakubali kuwa you have Magufuli's blood in your hands! It was a big mistake to take him there!!!Kwani yeye kama smart na watu wake walimpeleka hapo kufanya nini? Acha ubwege wewe pace maker ππ
Hatimaye maneno yawa kweli,ahadi yatimizwa ni ya ujenzi wa Bandari Mpya na kubwa ya Bagamoyo.
Hongera sana awamu ya 6,maneno kidogo vitendo vingi.
View attachment 2725953
Halima Okash, Mkuu wa Wilaya Bagamoyo amesema
"Mradi wa Bandari ya Bagamoyo ambao unatarajiwa kujengwa mpaka sasa tumeshapokea zaidi ya Bil. 40 kwa ajili ya ujenzi wa Bandari yetu mpya ya Bagamoyo. Kuanzia mwezi wa nane au wa sita tutaanza ujenzi wa Bandari yetu ya Bagamoyo ambayo itafungua fursa kwa wawekezaji mbalimbali kwenye eneo hili"
Pia soma:
- Serikali kuanza rasmi ujenzi wa Bandari ya Bagamoyo Septemba 2023
- Prof. Mbarawa: Serikali Imetenga fedha kwenye Bajeti ya Mwaka 2023/24 kuanza Ujenzi wa Bandari ya Bagamoyo
- Ndoto yatimia: Serikali kupitia TPA kuanza ujenzi wa Bandari ya Bagamoyo kuanzia mwaka huu wa 2023/24
Anajiozea huko Kwa sababu ya roho mbaya yakeHaya sasa wewe na mabwana zako mnakubali kuwa you have Magufuli's blood in your hands! It was a big mistake to take him there!!!
Hatimaye maneno yawa kweli,ahadi yatimizwa ni ya ujenzi wa Bandari Mpya na kubwa ya Bagamoyo.
Hongera sana awamu ya 6,maneno kidogo vitendo vingi.
View attachment 2725953
Halima Okash, Mkuu wa Wilaya Bagamoyo amesema
"Mradi wa Bandari ya Bagamoyo ambao unatarajiwa kujengwa mpaka sasa tumeshapokea zaidi ya Bil. 40 kwa ajili ya ujenzi wa Bandari yetu mpya ya Bagamoyo. Kuanzia mwezi wa nane au wa sita tutaanza ujenzi wa Bandari yetu ya Bagamoyo ambayo itafungua fursa kwa wawekezaji mbalimbali kwenye eneo hili"
Pia soma:
- Serikali kuanza rasmi ujenzi wa Bandari ya Bagamoyo Septemba 2023
- Prof. Mbarawa: Serikali Imetenga fedha kwenye Bajeti ya Mwaka 2023/24 kuanza Ujenzi wa Bandari ya Bagamoyo
- Ndoto yatimia: Serikali kupitia TPA kuanza ujenzi wa Bandari ya Bagamoyo kuanzia mwaka huu wa 2023/24
Kwa miaka 99 i.ewekezwa ndo watu wanahoji hapoAwe na Dili au asiwe na Dili Bandari lazima ijengwe na ujenzi ndio huo unaanza pesa Iko tayari.
Hakuna mradi unaosua sua Mzee,hata Sgr ingekuwa tayari sema manufacturer hajakamilisha Kutengeneza.Kuna miradi mikubwa bado inasua sua kwa mfano SGR ; waturuki wanagoma hawalipwi fedha zao. Kule Rufiji nako siku hizi hatusikii kitu kama kuna maendeleo au la!! Serikali makini ingefanya sequencing ya hii miradi mikubwa ili Serikali isianzishe miradi mingine mikubwa kabla ya kumaliza ile iliyoanzisha lakini haijaisha.!
Kuanzisha huu mradi wa Bandari ya Bagamoyo kwa kutumia hela za ndani kama ni Kweli utakuwa mzigo mzito kwa Wananchi wakati hiyo miradi mingine mikubwa haijaanza uzalishaji!! Hii yote ni shinikizo la Kikwete Kwa Samia kwani hakuweza kufanya hivyo enzi ya Magufuli!!! The lady is too weak!!
We utaenda pia huko shimoni Nyau weUpuuzi,mtu smart angeishia kwenye kale kamashine? ππ
Na wewe je?We utaenda pia huko shimoni Nyau we