Serikali yatoa kibali ajira mpya za walimu.

Tunashukuru kwa maneno hayo mzazi, hakika tumechoka tetesi@
 
Dah waalim mnachekesha sana na hizo ajira, labda mkafundishe twishen ndo mtatoka. Other wise bora ata ufungue kibanda cha vocha!

Something is better than nothing ndugu so usidharau Ajira ya ualimu
 

Tunashukuru mzazi kwa kutufariji jama yn hapa tunaombea tu iwe kweli hiyo april 1
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…