micky massawe
Member
- Jan 30, 2014
- 29
- 4
Namngoja mheshimiwa alietaarifu walimu wapya kuajiriwa February 26...ikipita hapo ctokaa nisikilize tena tetesi nitangoja mpaka pale yatakapotimia kwel...maana tetesi zilikuepo tokea September mwaka Jana.......