Haya sasa zimetangazwa Leo tar 27 mtabir hakuwa mbali sana
hiv kumbe had leo hii kuna wananch hawajitambui kiasi hiki sikuelewa.....tena mtu alie katka ulimwengu huu wa digital.....ETI UALIM NI UMASKINI elimika ww nyangema.watu kamanyie ndo hua mnakuwa wa kwanza kulalamika matokeo mabovu.......hv kwanza ww ni mtanzania kweli au mkongo......duuuu
hiv kumbe had leo hii kuna wananch hawajitambui kiasi hiki sikuelewa.....tena mtu alie katka ulimwengu huu wa digital.....ETI UALIM NI UMASKINI elimika ww nyangema.watu kamanyie ndo hua mnakuwa wa kwanza kulalamika matokeo mabovu.......hv kwanza ww ni mtanzania kweli au mkongo......duuuu
Hawajasema watatoa wiki ijayo, wamesema mwezi ujao
Nendeni mm sitegemei kuwajiriwa mjasiriamali bado yupo juu maotaka ajira mtanyanyaswa tu mwezi wa sita nami natangaza ajira 20 uwasibu 2 kubeba box 15 mkurugenzi 1 secretariet wa 2 mshahara juu kuliko walimu 45000
Acha kuwavunja watu mioyo brother!