mujibuside
Member
- Feb 24, 2014
- 14
- 3
Dah! Na iwe coz vijana wamesugua sana benchi hadi watasahau walivyojifunza vyuoni
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ee Mungu wasaidie hawa waalimu wetu ajira zao zitoke tupumzike kusikia huu wimbo wa kesho kesho.
Online business inayolipa kwa sasa, bofya hapa: Fast cash at home, click here n you wont believe it: Get your Home Based Job Guranteed Today and earn upto 9000$ Weekly - InternetDuty.comhttp://bit.ly/1o2QFRd
Mwaka jana nakumbuka walimu waliripoti kazini mwanzoni mwa Aprili. So sidhan kama mwezi Machi as stated kama itakua ni kweli ukizingatia kuwa mwezi huu ndio unaisha ijumaa hii.
Mkuu jiandae kuvuna aibu za kutosha kesho!!! Tar 26.na tafadhari usilikimbie jukwaa.Habari za Uhakika kutoka TAMISEMI zinasema kuwa Serikali kuu imetoa kibali cha Ajira Mpya za Walimu mwaka 2014.Taarifa zaidi zinaeleza kwamba Halmashauri zimeombwa kuanza maandalizi ya Kupokea Walimu wapya kuanzia tarehe 10 March.Majina ya Walimu wapya yatatolewa tarehe 26 February na tarehe ya kuripoti ni 10/03/2014-19/03/2014.Source Afisa Tamisemi.
Mkuu jiandae kuvuna aibu za kutosha kesho!!! Tar 26.na tafadhari usilikimbie jukwaa.