Serikali yatumia Sh27.83 bilioni kulipa fidia ajali, magonjwa kazini

Serikali yatumia Sh27.83 bilioni kulipa fidia ajali, magonjwa kazini

peno hasegawa

JF-Expert Member
Joined
Feb 24, 2016
Posts
14,255
Reaction score
23,949
Katibu Mkuu,Ofisi ya Waziri Mkuu(Kazi,Vijana,Ajira na Wenye ulemavu,Mhandisi Cyprian Luhemeja,amesema gharama za fidia zimeongezeka kutoka Sh13.19 bilioni kwa kipindi kilichoishia Juni 2021 hadi kufikia Sh27.93 bilioni kwa kipindi kilichoishia Juni 2023 huku taarifa ya baadhi ya mifuko ya hifadhi ya jamii hapa nchini kwa kipindi cha mwaka mmoja Julai 2020/21, ajali zilizoripotiwa zilikuwa 1889 na kati hizo vifo vilikuwa 75.
 
Back
Top Bottom