johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Anaitwa Thobias Andengenye, kwa sasa ni Mkuu wa Mkoa wa Kigoma. Anasema hiiiiKuna yule Kamishna Mkuu wa Zimamoto aliwahi kutumbuliwa enzi za JPM kwa tuhuma za kusaini mkataba aghali wa vifaa vya Zimamoto saa hizi atakuwa anachekelea tumboni. Alidhalilishwa sana kama mnakumbuka japo kwa sasa nadhani ana kau- RC sijui wapi huko.
Matokeo ya siasa kuingilia professionalism tena mbele ya kamera ndio kama hayo. Kwenye hili la Kariakoo hao Zimamoto wana la kujitetea; HATUNA VIFAA sawa kabisa na ukosefu wa PPE kwa madaktari kwenye issue ya COVID19.
... anawacheki tu!Anaitwa Thobias Andengenye, kwa sasa ni Mkuu wa Mkoa wa Kigoma. Anasema hiiii
Hizo Dron zinge fanya kazi nyingi hapoUle mkataba ulikuwa unaleta Dron hapo sokon ingefanyaje kazi? Lakini ata hivo huwezi kufanya mipango ya kusaini mkono wa takriban Trilion 1 huku baraza la waziri halijui chochote
Bwashee isijekuwa na wewe una faili kule maeneo yani nauli ya 300 kwa Dar ni karibu?Makao makuu ya Fire ni pua na mdomo na soko kuu la Kariakoo
Kwa daladala nauli ni tsh 300 tu!
Just a walking distance not more than 10 min. Watoto wanaoishi maeneo ya Fire hawajawahi kupanda daladala kwenda shule Benjamin Mkapa au Uhuru Mchanganyiko mbali kuliko Sokoni Kariakoo penyewe kutoka ilipo HQ ya Zimamoto.Makao makuu ya Fire ni pua na mdomo na soko kuu la Kariakoo
Kwa daladala nauli ni tsh 300 tu!
Zimamoto wenyewe wanatosha kufanya uchunguzi na kutoa majibu.
Serikali haijawahi kuwa serious linapokuja suala la majanga kuanzia tetemeko hadi Covid. Mizaha hutawala zaidi kuliko umakini. Tujiandae kudanganywa tena.Huo moto kuendelea kuwaka mpaka asubuhi hii ni uthibitisho bado tuna upungufu mkubwa wa vitendea kazi.
Hivi ina maana moto haujazimaHuo moto kuendelea kuwaka mpaka asubuhi hii ni uthibitisho bado tuna upungufu mkubwa wa vitendea kazi.
Hiyo kamatI ni muendelezo ule ule wa majibu mepesi kwenye maswali magumu, kamati itakuja na mapendekezo yake, yawekwe kapuni, maisha yaendelee.
Kufa kufaanaHuyo PM aseme tu anakuja kula bata za weekend Dar