Serikali yawaonya mashabiki wa Simba na Yanga kupokea Wageni

Kwa hiyo tunaanza kupangiwa namna ya kushangilia mpira? Mpira ni burdani, kila mtu anajua namna ya kuburudika nao. Haya yalianza, tutaua fan base ya mpira iliyopo nchini hivi hivi.
 
Mlishindwa kuwachukulia hatua Heris Raisi wa Yanga na manara Kwa kuvaa jezi za kaizer chief kisa Leo timu lenu lipo club bingwa mtuzuie haiwezekani sisi ni masandawana
Nyie ni Misambwanda?
 
Kama ndiyo hivyo bora azifutilie mbali hizo clabu za Simba na Yanga tu ieleweke moja,
Yaan serikal inatutesa kwenye bei za bidhaa bado imeona watu wanafurahi kwenye mambo ya soka na utani wa jadi imeona iweke uzibe wa kumchagulia shabiki nini afanye kwa furaha yake binafsi,
 
Washabiki wa Simba muwe makini.
Yanga hawana uvumilivu kama Simba.
Yanga wanafanyaga kila kitu kuwasapoti washindani wa Simba Kimataifa ili kuwasaidia waifunge Simba.
Juzi Jwaneng walipokelewa na wao.

Wanasimba mkivaa jezi za Sundawn uwanjani halafu Yanga ikafungwa mtaweza kufanyiwa Fujo na washabiki wa Yanga.

Fujo za kuweza kudhuru afya zenu.
Take Care.
 
Hii si mara ya kwanza timu zetu kufika robo fainali

Na sijawahi kusikia haya matamko

Lakini sisemi tu if haya matamko yanatoka kuibeba yanga
 
Kisasi ni haki. Tunawapokea Mamelodi Sundowns kwa kishindo. Wakati ule MANARA, Hersi na Senzo waliungana na Kaizer Chiefs na Serikali ilikaa kimya. Hakuna kulialia Sisi ni Afrika. Tusipangiane mapenzi. Ndiaana ndumbaro anamke wake na mie ninae wangu. Nikiipenda Mamelodi usiniingilie.
 
Moja ya Mawaziri vilaza, na huyu hawezi kukosekana. Badala ya kuwashauri TFF kuwaacha wachezaji wa Yanga na simba ili wajiandae ipasavyo dhidi ya mechi zao za hatua ya Robo fainali; na hivyo kuchagua wachezaji wapya na wale wanaocheza nje kwa ajili ya lile Bonanza la FIFA!!

Yeye anaona huo ushauri una tija sana! Amesahau kwanza hao mashabiki wenyewe viherehere wanawakilisha idadi ndogo sana ya mashabiki wa timu husika! Na pia athari yake siyo kubwa kama hiyo ya kuwachukua wachezaji waandamizi kwenye timu, na kuwapeleka kucheza kwenye hilo bonanza la Fifa.
 
Huyu kwenye hii Wizara Amefeli, harakati zake zote kwenye hii wizara ni kuifurahisha serikali
 
Wakati eng Hersi anawapokea Kaizer ilikuwa wapi??😃😃 kama me chama langu mamelod kitambon tuu na lazima nikawapokee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…