Waipige juju Serikali.hapo sasa ndio panatakiwa matumizi ya uchawi, uchawi tusitumie tu kurogana wenyewe na kuharibiana maisha wakati wapo watu sahihi wakuwaroga..
Hapo inapaswa wachawi wote kwa manufaa ya wenzao zaidi ya 5000 wafanye mambo ili wasihame mahala hapo.
daaah 🤔🤔🤔😓Je, ni msukumo gani upo nyuma ya Serikali ya awamu hii na kuhamishwa kwa wakazi kutoka kwenye maeneo yao ya asilli?
Wakazi hawa wameishi katika eneo hilo zaidi ya miaka 40 sasa, TFS muda wote huo ilikuwa wapi?
Tanzania maeneo ya kutenga kwa ajili ya misitu ni mengi Sana ambayo hayana wakazi kabisa, kuna ulazima gani wa kugangania maeneo ambayo tayari yana makazi ya watu?
Je,kuna mradi wa siri unataka kufanyika katika eneo hilo kama tulivyosikia ya ngorongoro?
View attachment 2391180
Ile ni hifadhi, na wanaharibu sana , mikaa inayosafirishwa kwa majahazi kupitia bandari bubu inatoka wilaya ya handeniJe, ni msukumo gani upo nyuma ya Serikali ya awamu hii na kuhamishwa kwa wakazi kutoka kwenye maeneo yao ya asilli?
Wakazi hawa wameishi katika eneo hilo zaidi ya miaka 40 sasa, TFS muda wote huo ilikuwa wapi?
Tanzania maeneo ya kutenga kwa ajili ya misitu ni mengi Sana ambayo hayana wakazi kabisa, kuna ulazima gani wa kugangania maeneo ambayo tayari yana makazi ya watu?
Je,kuna mradi wa siri unataka kufanyika katika eneo hilo kama tulivyosikia ya ngorongoro?
View attachment 2391180
Serikali hairogekihapo sasa ndio panatakiwa matumizi ya uchawi, uchawi tusitumie tu kurogana wenyewe na kuharibiana maisha wakati wapo watu sahihi wakuwaroga..
Hapo inapaswa wachawi wote kwa manufaa ya wenzao zaidi ya 5000 wafanye mambo ili wasihame mahala hapo.
Serikali hairogekiWaipige juju Serikali.
Akili kama hizi ni janga.hapo sasa ndio panatakiwa matumizi ya uchawi, uchawi tusitumie tu kurogana wenyewe na kuharibiana maisha wakati wapo watu sahihi wakuwaroga..
Hapo inapaswa wachawi wote kwa manufaa ya wenzao zaidi ya 5000 wafanye mambo ili wasihame mahala hapo.
Mama anaifungua nchi.Je, ni msukumo gani upo nyuma ya Serikali ya awamu hii na kuhamishwa kwa wakazi kutoka kwenye maeneo yao ya asilli?
Wakazi hawa wameishi katika eneo hilo zaidi ya miaka 40 sasa, TFS muda wote huo ilikuwa wapi?
Tanzania maeneo ya kutenga kwa ajili ya misitu ni mengi Sana ambayo hayana wakazi kabisa, kuna ulazima gani wa kugangania maeneo ambayo tayari yana makazi ya watu?
Je,kuna mradi wa siri unataka kufanyika katika eneo hilo kama tulivyosikia ya ngorongoro?
View attachment 2391180
Roma aliona harakati kwa Tz hazilipiNchi imeuzwa vigogo wanapita ATM tuwakemee mafisadi wote wa CCM ila roma sijui kwa nn kaacha harakati alikuwa anatupa mawe kweli