Je, ni msukumo gani upo nyuma ya Serikali ya awamu hii na kuhamishwa kwa wakazi kutoka kwenye maeneo yao ya asilli?
Wakazi hawa wameishi katika eneo hilo zaidi ya miaka 40 sasa, TFS muda wote huo ilikuwa wapi?
Tanzania maeneo ya kutenga kwa ajili ya misitu ni mengi Sana ambayo hayana wakazi kabisa, kuna ulazima gani wa kugangania maeneo ambayo tayari yana makazi ya watu?
Je,kuna mradi wa siri unataka kufanyika katika eneo hilo kama tulivyosikia ya ngorongoro?
Wakazi hawa wameishi katika eneo hilo zaidi ya miaka 40 sasa, TFS muda wote huo ilikuwa wapi?
Tanzania maeneo ya kutenga kwa ajili ya misitu ni mengi Sana ambayo hayana wakazi kabisa, kuna ulazima gani wa kugangania maeneo ambayo tayari yana makazi ya watu?
Je,kuna mradi wa siri unataka kufanyika katika eneo hilo kama tulivyosikia ya ngorongoro?