"c. Jitihada za wanafunzi hawa kuwasiliana na viongozi wa wizara zimekwama. Kila mara wanaishia kuzungushwa zungushwa na viongozi wa wizara hiyo akiwemo Waziri wa Wizara hiyo Prof. Msolla ambaye amefikia kukata simu kila wanafunzi hao wanapompigia simu. Mwenyekiti wa Chama cha TLP Mhe Augustino Mrema alimuandikia Raisi Jakaya Kikwete kuhusu tatizo la wanafunzi hawa tangu tarehe 23/1/2007. Hii inamanisha kuwa Wizara hiyo hiyo imeshindwa kushughulikia matatizo ya wanafunzi hao. Habari tulizozipata zinaonesha kuwa wanafunzi wengine walioko nje ya nchi wanaokabiliwa na matatizo yanayolingana au kukaribiana na yale ya Ukraine ni wale wanaosoma nchini Cuba, na Urusi. Inamithilika sasa kuwa Wizara na Bodi ya Mikopo wanayo sera za kibaguzi dhidi ya nchi zilizokuwa zikifuata siasa za kijamaa. Hatujapata habari kama wanafunzi wanaosoma katika nchi za kibepari na hata wanaosoma nchi jirani kama vile Uganda na Kenya wanafanyiwa kama wanafunzi walio nchini Ukraine."
I still think this sudden interest is politically motivated just because these guys are in a critical condition;
If Mrema wrote the letter on '23/1/2007', within 14 days, or at most 28 days he should have expected a reply, or he should have followed up. At most, give it 3 months. April 23. BUT OOH NOO, people had to wait until students were sleeping outside, then it was ante-up!!
Hypocrisy, opportunism and just plain slow. For the opposition, this was one way to score big, and there are many other ways they can score big. Lakini wapo wapo tu.
Kweli, wabongo tuna mambo.