Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 94,296
- 122,540
ni rahisi kupongezana kwa kauli nzuri kuliko kwa vitendo vizuri. Habari ambazo zinatiririka sasa hivi ni kuwa afisa mmoja (ngazi za juu) amezungumza na kusema serikali inawataka vijana hao "kurejea chuoni mara moja, wale wenye uwezo wa kurudi nyumbani warudi, na wale wasio na uwezo waombe watu wawasaidie nauli ya kurudi"..... !!! habari zaidi baadaye..
I'm trying to make sense out of that nonsense even though I know good and well that you can't make sense out of nonsense! That high ranking official can't be serious......Mwanakijiji are you sure you're not making this up?
"c. I still think this sudden interest is politically motivated just because these guys are in a critical condition;
If Mrema wrote the letter on '23/1/2007', within 14 days, or at most 28 days he should have expected a reply, or he should have followed up. At most, give it 3 months. April 23. BUT OOH NOO, people had to wait until students were sleeping outside, then it was ante-up!!
Hypocrisy, opportunism and just plain slow. For the opposition, this was one way to score big, and there are many other ways they can score big. Lakini wapo wapo tu.
Kweli, wabongo tuna mambo.
"c. Jitihada za wanafunzi hawa kuwasiliana na viongozi wa wizara zimekwama. Kila mara wanaishia kuzungushwa zungushwa na viongozi wa wizara hiyo akiwemo Waziri wa Wizara hiyo Prof. Msolla ambaye amefikia kukata simu kila wanafunzi hao wanapompigia simu. Mwenyekiti wa Chama cha TLP Mhe Augustino Mrema alimuandikia Raisi Jakaya Kikwete kuhusu tatizo la wanafunzi hawa tangu tarehe 23/1/2007. Hii inamanisha kuwa Wizara hiyo hiyo imeshindwa kushughulikia matatizo ya wanafunzi hao. Habari tulizozipata zinaonesha kuwa wanafunzi wengine walioko nje ya nchi wanaokabiliwa na matatizo yanayolingana au kukaribiana na yale ya Ukraine ni wale wanaosoma nchini Cuba, na Urusi. Inamithilika sasa kuwa Wizara na Bodi ya Mikopo wanayo sera za kibaguzi dhidi ya nchi zilizokuwa zikifuata siasa za kijamaa. Hatujapata habari kama wanafunzi wanaosoma katika nchi za kibepari na hata wanaosoma nchi jirani kama vile Uganda na Kenya wanafanyiwa kama wanafunzi walio nchini Ukraine."
I still think this sudden interest is politically motivated just because these guys are in a critical condition;
If Mrema wrote the letter on '23/1/2007', within 14 days, or at most 28 days he should have expected a reply, or he should have followed up. At most, give it 3 months. April 23. BUT OOH NOO, people had to wait until students were sleeping outside, then it was ante-up!!
Hypocrisy, opportunism and just plain slow. For the opposition, this was one way to score big, and there are many other ways they can score big. Lakini wapo wapo tu.
Kweli, wabongo tuna mambo.
Hapa sasa ni hukumu mbovu. Mimi si msemaji wa Mrema lakini najua kwamba baada ya kuaandika hii barua alifuatilia na ndiye kiongozi pekee senior wa upinzani aliyeendelea kutoa tamko mara kwa mara kuhusu suala hili toka awali. Na baadaye Mvungi na Mbatia wakaanza kufuatilia na wamefanya vikao vya mara kwa mara na wazazi wa hawa watoto. CHADEMA tulikuwa kimya wakati wote katika hatua za awali. Na ilikuwa deliberate. Sakata la hawa wanafunzi lilianza toka mwaka jana, Dr ambae ni mmoja wa aliyeratibu kuwapeleka Ukraine alinifuata ofisini tukazungumza kwa kina sana na kukubaliana kuchukua hatua mapema kabisa. Kabla sijaanza mchakato wenyewe kichama akanifuata na kunieleza kwamba wazazi wa watoto wameomba CHADEMA kama chama cha siasa kisiingilie kwa kuwa serikali imeonyesha nia ya kusaidia na kwamba tukiingilia kati litachukua sura ya kisiasa. I advised the party to back off. Tumerejea katika suala hili baada ya kuona limefikia acute stage. Ambayo mtanzania yoyote mwenye kujali anapaswa kuingilia kati. Namshangaa Lowasa anasema aachwe anakula wakati vijana wa kitanzania wako ughaibuni hawana uhakika wa chakula. Kula gani huko kusikokishwa au anakula 'nchi'?
Kuna mambo ambayo unaweza usiingilie kati ukiipa muda serikali kutenda; lakini serikali ya Tanzania inaelekea kutopenda kutenda mpaka panapotokea mivutano. Ndio Managament by Crisis hiyo!
JJ