mie nnatupa malalamiko yangu kwa jf
jamani hawa ndugu zetu wamefikia wapi?
hapa ilikuwa kila thread lazima tukute picha za ndugu zetu hawa, na wengine wakalivalia njuga na kufanya bidii hadi kurusha matangazo na kufikisha habari kila mwahala.
pia tukawa tunaletea hali ya mambo invyoendelea kila siku sio wiki, lkn sasa ni muda hatuna habari yyte.
tuliona mchango ukinadiwa hapa waliobahatika walitoa ila nini kilichoendelea hatukijui.
tuliona petition kunadiwa na kuhimazana tusajili hapa nini kiliendelea hatujui.
vyama vya upinzani nao wakaona ndio pa kutokea kuna mmoja yeye akasema kawapelekea habari yote ya mahojiano na mkuu wa nchi na mwenziwe anaekula ikawa nnasikia yanasikilizwa makao makuu buguruni na kwengineko ila nini kinafuata hatujaeleweshwa tena?
sasa kunani? au ndio tulivyo ? maana hii imewekwa kapuni na sasa tumeingizwa tena uwanjani mwili wa amina ukaguliwe, waje scotland yard, na mengi hili hatujalikamilisha tunaibuka na hili, sasa huu ndio umakini.
wengine tunawaita wasanii jee hawa tuwaiweteje? nnaomba sana nieleweshwe japo ukisema hivi wengine hununa, hupenda kutugeuza wa sesere tuimbe nyimbo wazitakazo wao tu. na kila walionalo wao tuseme hewalwah bwana