Uchumi wa Tanzania umekuwa kwa Asilimia 5.4 tofauti na matarajio ya awali ya Asilimia 4.7 katika robo mwaka ya kwanza ya Mwaka huu wa 2022.
Uongozi wa Rais Samia Suluhu Hassan katika kukabiliana na athari za UVIKO-19 na Mgogoro wa Vita ya Urusi na Ukraine umedhihirisha uimara na ukomavu Kwa mujibu wa Takwimu.
Pato ghafi la robo mwaka (Quarterly GDP) imefikia wastani wa TZS Trilioni 34.9 kutoka Trilioni 33.1 Kipindi cha Mwaka 2021.
Kilimo kimechangia 19.6%, jambo hili linatoa tumaini kubwa kwa wakulima kutokana na ruzuku kubwa ya pembejeo katika kilimo inayoendelea kutolewa na serikali.
Juhudi za kukuza italii, uwekezaji, mazingira rafiki ya biashara, mapinduzi katika kilimo, ujenzi wa miundombinu ya kisasa na huduma bora za jamii ni baadhi ya mambo yanayofanywa kwa weledi na Rais Samia Suluhu Hassan.
Watanzania tunazo sababu nyingi za kumpongeza kiongozi wetu huyu makini.
Uongozi wa Rais Samia Suluhu Hassan katika kukabiliana na athari za UVIKO-19 na Mgogoro wa Vita ya Urusi na Ukraine umedhihirisha uimara na ukomavu Kwa mujibu wa Takwimu.
Pato ghafi la robo mwaka (Quarterly GDP) imefikia wastani wa TZS Trilioni 34.9 kutoka Trilioni 33.1 Kipindi cha Mwaka 2021.
Kilimo kimechangia 19.6%, jambo hili linatoa tumaini kubwa kwa wakulima kutokana na ruzuku kubwa ya pembejeo katika kilimo inayoendelea kutolewa na serikali.
Juhudi za kukuza italii, uwekezaji, mazingira rafiki ya biashara, mapinduzi katika kilimo, ujenzi wa miundombinu ya kisasa na huduma bora za jamii ni baadhi ya mambo yanayofanywa kwa weledi na Rais Samia Suluhu Hassan.
Watanzania tunazo sababu nyingi za kumpongeza kiongozi wetu huyu makini.