Serikali 'yazilegezea' Bureau De Change kupambana na uhaba wa Dola

Serikali 'yazilegezea' Bureau De Change kupambana na uhaba wa Dola

Watahangaika weee lakini hawatatoboa. Mambo ya kujifanya wanabadili kila kitu alichoweka JPM yanawatokea puani. Kama serikali inadhani wafanya biashara wapo kwa ajili ya kulinda maslahi ya taifa basi ni wazi kuwa pale juu hakuna mtu.
Kwahiyo maduka 18 nchi nzima ni sawa?
 
Kwa Tanzania hii lolote linawezekana. Hii inaweza kuwa deal mpya mjini. Am sure ni vigogo hao hao ndo wamepeleka maombi Ngoma ikifunguliwa wanaserereka Tu.
 
Mkuu unashindwa kuelewa kiini cha matatizo ya upungufu wa dola mitaani.
Usipolielewa tatizo ,kama wanasiasa wengi walivyo, basi utafikiri Bureu De Change ndio tatizo.

Niliwahi kueleza kuwa upungufu wa dola unatokana na serikali yenyewe kutoa zabuni makandarasi wa kigeni.
Sasa serikali inapowalipa wageni hawa wananunua dola kwa bei yoyote hadi kufikia dola moja kununuliwa kwa Tshs 2,800.

Mwananchi wa kawaida sasa anakosa huduma ya kuuziwa dola na Bureu DC.
Jamani forex zinanunuliwa kwa kuruka bureau na kutoroshwa nje na Watanzania wenye ability fulani. BOT wanajua kwa hiyo maduka ya kubadili forex yasipofungwa kilio cha mbwa kitaendelea
 
Jamani forex zinanunuliwa kwa kuruka bureau na kutoroshwa nje na Watanzania wenye ability fulani. BOT wanajua kwa hiyo maduka ya kubadili forex yasipofungwa kilio cha mbwa kitaendelea
Maduka ya Forex siyo tatizo, Maduka hayo yananunua na kuuza fedha HAWATENGENEZI Forex, hilo tulielewe.
Hivyo ukosefu wa Forex ni kwa sababu ya overdemand, simple laws of economics, when there is a scarcity of a product , demand goes up and prices rise.

Tatizo kubwa kwa serikali yetu, kwanza hawajui kwa nini kuna overdemand ya Forex, pili hawajui kuwa tatizo kubwa ni wao wenyewe huko serikalini, kwa kutengeneza kundi la wasaka dola wakubwa, waliopewa miradi mikubwa na wana wanalipwa kwa fedha za madafu.
Nia ya wasaka dola hao ni kununua dola, kwa bei yoyote ili warudishe fedha kwao.
Hilowengi serikalini hawalielewi.
Halafu kuna mtu anatamba kuwa yeye ni Dokta wa uchumi, wakati hizi simple analysis hazioni.
 
NIKIKUMBUKA LILE JIWE LILO VURUGA BILA KUJUA.ILA CRYPTO ITAWAKOMESHA SI MNASEMA TUACHE KUTUMIA SUKARI KISA UHABA .
 
Nisiwe mnafiki, njoo utafute smartphone tu, ukishapata ingia mitandao ya mahusiano tafuta danga la kueleweka likutunze, wewe sio wa kupata shida bhana..
 
Back
Top Bottom