mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 88,759
- 123,368
Sana aise,kweli aliyeshiba hawezi kumjali mwenye njaaMchakato wenyewe wa kuleta/kununua dawa unachukua miezi.
Maskini tuna maisha mafupi sana
Ova
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sana aise,kweli aliyeshiba hawezi kumjali mwenye njaaMchakato wenyewe wa kuleta/kununua dawa unachukua miezi.
Maskini tuna maisha mafupi sana
Pengine Serikali inauza formulation za Italy, Germany n.k wakati sekta binafsi formulation hizo hizo wanatoa India na Uchina. Kuna tofauti ya ubora......Natania lkn.😅😅Nilimpeleka mgonjwa wangu hospital moja ya rufaa mkoa fulani, Daktari aliandika dawa nikanunua kwenye duka la hospitali husika isipokuwa dawa moja hawakuwa nayo. Hivyo nikaenda kununua duka la nje, nilipofika nilimuomba muhudumu anipigie hesabu zile dawa nilizonunua hospitali, nilishangazwa aliponipa bei yao kuwa ni Tsh. 39,500/= wakati hospitali nilinunua Tsh. 54,000/= . Nikasema sitonunua tena dawa kwenye maduka ya hospitali/serikali.
Sent from my TECNO KD7 using JamiiForums mobile app
Nilimuuliza mtoa huduma alisema hivyo hivyo kwamba watu wanatoa maelekezo lakin huku chini utekelezaji wake ni mgumu sanaHili suala linalitafuna sekta nyingi sana sio afya tu! Mtu anaajiriwa moja kwa moja makao makuu hajui ngazi za chini uhalisia upoje the unakuta ndio mtoa maamuzi
Ccm???Sana aise,kweli aliyeshiba hawezi kumjali mwenye njaa
Ova
Denk bei zao ni za majuu, wabongo hizo bei hatuzieeziPengine Serikali inauza formulation za Italy, Germany n.k wakati sekta binafsi formulation hizo hizo wanatoa India na Uchina. Kuna tofauti ya ubora......Natania lkn.[emoji28][emoji28]
Pigia mstari basi mkuuCcm???
Fake newsKwanza bei ya dawa kwa hospital za serikali ni mara mbili ya hospital binafsi.
Hao wapiga mapambio ya sifa ya "walala hai" huwezi waona hapa.