ndayilagije
JF-Expert Member
- Nov 7, 2016
- 7,491
- 8,304
Zinapandisha maji mlimani bila pampu.
Mambo mengine wala hayataki hata shule yaani.
1.mtu akitaka maandamano si u mwache afanye.
2.unataka ufanisi kazini, biashara zisiwepo ofisini,lipa vizuri.!!utashangaa na roho yako.
3.unataka elimu bora,peleka vifaa vya kufundishia shuleni.
4.unataka huduma bora za afya?peleka vitendea kazi na malipo mazuri.
5.hutaki wasichana wabebe mimba eeh,wape usafiri!huwezi? jenga hostel shule.
6. Unataka,unataka,unataka!!!lakini hufanyi kitu,!are you dreaming? Nani anapenda rushwa,si njaa tu.
Mambo mengine wala hayataki hata shule yaani.
1.mtu akitaka maandamano si u mwache afanye.
2.unataka ufanisi kazini, biashara zisiwepo ofisini,lipa vizuri.!!utashangaa na roho yako.
3.unataka elimu bora,peleka vifaa vya kufundishia shuleni.
4.unataka huduma bora za afya?peleka vitendea kazi na malipo mazuri.
5.hutaki wasichana wabebe mimba eeh,wape usafiri!huwezi? jenga hostel shule.
6. Unataka,unataka,unataka!!!lakini hufanyi kitu,!are you dreaming? Nani anapenda rushwa,si njaa tu.