Serikali za miji zingekataza kufuga maeneo ya miji na majiji.

Serikali za miji zingekataza kufuga maeneo ya miji na majiji.

Halafu analalamikiwa mfugaji wa ng'ombe wawili wa maziwa tu
[emoji16][emoji16][emoji16] sasa mkuu unazungumzia vipi utitiri wa library za kuuza cd za korean drama, na muvi za aina hiyo?
 
Nimeona mdau mmoja analalamika kero ya jirani yake anayefuga ng'ombe. Kwa nini serikali za miji hazikatazi kufuga maeneo ya mjini, badala yake wanakataza kulima mahindi na alizeti, vitu visivyo na madhara yoyote kwa mji? Huwa tunawaza kinyume nyume sana. Binadamu alianza kusumbuliwa sana na magonjwa baada ya kuanza kufuga, magonjwa yetu mengi yanatoka kwa wanyama. Mfano mzuri ni mafua ambayo kiasili ni magonjwa ya ndege. Kufuga wanyama kwenye maeneo ya makazi ni kero kubwa, ukiacha magonjwa bado kuna kero ya harufu na uchafuzi mwingine wa mazingira.

Mtu akitaka kufuga akanunue eneo nje ya mji/jiji. Si sawa wala ustaarabu kufuga kwenye makazi ya watu.
Kulima maharage na mimea isiyozidi futi mbili hainaadhara lakini mahindi na alizeti futi tano na zaidi ni vichaka hatari kwa uhalifu mijini. Ng'ombe namfuga chumbani kwangu wewe unalalamika! Unania mbaya naye.
 
Kulima maharage na mimea isiyozidi futi mbili hainaadhara lakini mahindi na alizeti futi tano na zaidi ni vichaka hatari kwa uhalifu mijini. Ng'ombe namfuga chumbani kwangu wewe unalalamika! Unania mbaya naye.
Ng'ombe analeta nzi na kufanya mtaa wote unuke, na magonjwa pia. Hivyo hivyo kwa nguruwe, kuku, punda, bata, mbuzi, kondoo nk. Sikuwahi ona mwizi kajificha kwenye mahindi yaliyopandwa nyumbani. Mwizi gani wa kujificha kwenye viploti vya mjini?
 
Kulima maharage na mimea isiyozidi futi mbili hainaadhara lakini mahindi na alizeti futi tano na zaidi ni vichaka hatari kwa uhalifu mijini. Ng'ombe namfuga chumbani kwangu wewe unalalamika! Unania mbaya naye.
Hawa ni waajiriwa wa serikali wanajiona wameyapatia maisha
 
Back
Top Bottom