jebs2002
JF-Expert Member
- Sep 3, 2008
- 9,604
- 8,812
Msema kweli mpenzi wa Mungu!Bila wizi hii mishahara tusingeweza kufanya jambo lolote
Ndo maana walimu wanalia Sana ni kwa sababu hawana sehemu ya kuokota .
Hakuna MTU ambaye haibi wala kupiga dili .